Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 24,909
- 33,485
Kabisa na bavicha wanaziokota kila siku!Fedha mtaani ishaanza kurudi katika awamu ya 6,ujenzi unaendelea kwa kasi sana! Kipindi cha JIWE watu walikuwa hawajengi hawana hela....Mikumi tena kwa SSH.
Na si mikumi 10 tu, bali milele tena kwa mama na ccm mbele kwa mbele