Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,650
- 20,997
Watanzania tumekosa kabisa shule ya maisha. Nashangaa huyu anaogopa kubemenda watoto sababu kapiga malaya!! Sijui yeye anaelewa kubemenda ni nini?Kubendeka mtoto ni ukosefu wa lishe tu.
Watanzania tumekosa kabisa shule ya maisha. Nashangaa huyu anaogopa kubemenda watoto sababu kapiga malaya!! Sijui yeye anaelewa kubemenda ni nini?Kubendeka mtoto ni ukosefu wa lishe tu.