good luck,ila vijana wa humu,be careful
Uko wapi wa kunitoa upweke jamani..? Nimekuwa nikisoma thread humu za kutafuta wenza nami nimeona nijiunge ili niweze kutafuta mwenza. Please nipo serious. Mi ni mwanamke mwenye miaka 30,muislam,nina mtoto na ni muajiriwa.
good luck,ila vijana wa humu,be careful
Niko hapa, ni PM Fasta kabla hawajaja wengi!Uko wapi wa kunitoa upweke jamani..? Nimekuwa nikisoma thread humu za kutafuta wenza nami nimeona nijiunge ili niweze kutafuta mwenza. Please nipo serious. Mi ni mwanamke mwenye miaka 30,muislam,nina mtoto na ni muajiriwa.
good luck,ila vijana wa humu,be careful
Ki-sugar, Wamekufanyaje? sema tujilekebishe fasta au wivu mamaa?good luck,ila vijana wa humu,be careful
ooo karibu sana jamvini je uko tayari kufuata dini yangu ya upagani ili tushee hilo penzi lako..:rockon::A S-coffee:
kila la heri ongea upate msaada wifi wa hapahapa
toa mawasiliano yako tafadhali!
Kila la kheri, ila usiwe na papara, vinginevyo utajuta na kuilaumu nafsi iliyokutuma kutangaza humu
hapana,nahitaji muislam mwenzangu