Jaguar
JF-Expert Member
- Mar 6, 2011
- 3,440
- 1,029
[MKE];(akiongea kwa hasira),mume wangu uko wapi mpaka mida hii saa 4 za usiku? [MUME];Mke wangu unalikumbuka lile duka la urembo ambalo tuliukuta ule mkufu wa dhahabu ambao ulisema unaupenda sana halafu nikakwambia sina hela ila nikasema ipo siku nikipata hela nitakununulia? [MKE];Yes,yes napakumbuka dear,enhee niambie! [MUME];Okay sasa kwa nyuma yake kuna bar,nipo nakunywa hapa!