Judgement
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 10,327
- 4,779
Ukiota jua utavuna mwezi inategemea aliyekupanda kama alikua anakumwagilia vizuri maji, kukuwekea mbolea kwa wakati n.kNiko nje naota jua ...
Ukiota jua utavuna mwezi inategemea aliyekupanda kama alikua anakumwagilia vizuri maji, kukuwekea mbolea kwa wakati n.kNiko nje naota jua ...
Saaana yan raha sana na huwa naenjoy sana ninapokukagua wewe kuliko BADILI TABIA coz ni msumbufu sana na ana masifa sana na Simu kila saa lollolest! na somo lilikuingia, cku hizi unakagua haswaaaaa, no upekuzi, nipo na Erickb52, tumemaliza ukaguzi, tunacheck movies!
niko peke yangu aiseee!
khaaaaaaaaaaaa! umetumwa na Young_Master uniwekee fitna niachike nn?? na siachiki ng'o! my babu Asprin mwahhhhh! Erickb52 asikurushe roho wala nn, kha!Saaana yan raha sana na huwa naenjoy sana ninapokukagua wewe kuliko BADILI TABIA coz ni msumbufu sana na ana masifa sana na Simu kila saa lol
Oh honey.... Your Mmmwaaahh accepted with lots of love.khaaaaaaaaaaaa! umetumwa na Young_Master uniwekee fitna niachike nn?? na siachiki ng'o! my babu Asprin mwahhhhh! Erickb52 asikurushe roho wala nn, kha!
Heheheeeee hajatumwa mtu aiseee lolkhaaaaaaaaaaaa! umetumwa na Young_Master uniwekee fitna niachike nn?? na siachiki ng'o! my babu Asprin mwahhhhh! Erickb52 asikurushe roho wala nn, kha!
khaaaaaaaaaaaa! umetumwa na Young_Master uniwekee fitna niachike nn?? na siachiki ng'o! my babu Asprin mwahhhhh! Erickb52 asikurushe roho wala nn, kha!
Mie niko na my honey cacico tunajikumbushia tulivyokuwa tunaenda shule....... Mapenzi yatu yalianzia zamani jamani... Hapo kina Yummy na BADILI TABIA walikuwa bado hatujawaoa.
Heheheeeee hajatumwa mtu aiseee lol
niko na wife hapa nataka nichambue karanga
Niko poa kaka..NambieKaka upo?
Hee! Peke yako? Unajifunza uchawi?
Kuwanga ?
Niko poa kaka..Nambie
Za kupotea
Nipo abiria wenzangu tunaelekea znz