Ukizeeka unataka kuwa nani?

🤣🤣🤣Yaan tabu tupu aisee...ila siyo kama vya ujanani sahivi nimejizeekea Kasi yake ni ndogo...vile ilikuwa ni mihemko hadi unachanganyika...majukumu now kedee🙌
Unajichukulia sheria tu...
 
Hakuna ku retire
 
Nionavyo, utakavyokuwa uzeeni ni experience ya uliyokutana nayo ujanani.
 
Ikiwa ni maajaliwa nitapofika basi nizungukwe na afya njema, pili rasilimali vitu, mifugo hasa ng'ombe kadhaa tuu, mbuzi,. Migomba muhimu aseeh Tena sana.....

Niwe mganga wa kienyeji Hawa vijana wa sasa watakosa mganga wa kienyeji 😂
 
Miaka 47 tayari nashinda kwenye l Banda la kuku na Nina kuku hata 30 hawajifika. Muda wangu wa ziada nashinda nao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…