jebs2002
JF-Expert Member
- Sep 3, 2008
- 8,837
- 7,604
HahahahahA, hapana, mhehe...Mkeo ni MMACHAME?
HahahahahA, hapana, mhehe...Mkeo ni MMACHAME?
Hahahahahaha....ahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahaha.
umenifurahisha sana mkuu.
ulilala sitting rum kama week 3 hiv ......halaf ukasamehewa na kuambiwa urudi uwanjani.
hapo mkuu be careful sana sana sana sana.
Kamwe msichepuke.Tusichepuke kweli? Halafu endelea kutuita hivyo tu...
Na hapo ndiyo kibwebwe kinapoanzia ila mm huwa naona mwanaume ni kuwa strong akisema ho mimi ninaenda kwetu ukimleta mwambie njia nueupe mama SEPA!!Hali ni ngumu,ukisema umtunze kwa Siri mama mtoto haridhiki anahisi unampa matunzo kidogo anaamua aliweke wazi akiamini atapata kikubwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio rahisi kama unavyodhani, tunajitahidi ila tukishindwa basi jamaa atusamehe tu.Kamwe msichepuke.
Yaani unaniambia hivyo kweliSio rahisi kama unavyodhani, tunajitahidi ila tukishindwa basi jamaa atusamehe tu.
Si nimekuambia najitahidi nisichepuke mpenzi!!Yaani unaniambia hivyo kweli
Kwahiyo baby unanichepukia kumbe
Si nimekuambia najitahidi nisichepuke mpenzi!!
Nimependa mwandiko wako, hongera sana, una uwezo mzuri wa kuelezea jambo.Kuna mtu nilikuwa na uhusiano naye, tulianza vizuri sana, baada ya miezi kadhaa, naona jamaa Yuko stressed muda wote, najiuliza nilicho misbehave kwake mpaka awe hivyo sikioni, nikimuuluza hana majibu......... Baadae ananiambia tufanye kila kinachowezekana nibebe mimba ili tuanze process nyingine (kuna kitu hakikuwa sawa Ila sikutoa ushirikiano maana nilikuwa nimesoma upepo). Nilimwambia tu kama ningetaka mtoto, ungekuta ninaye, lkn kwa sasa siko tayari, Mimi siyo incubator, kwamba nibebe, nilee mwisho wa siku unakuja kuchukua mtoto kiulaini!
Muda huo namchunguza kimya kimya (maana alikuwa ananichukulia poa, akihisi kuwa alivyo, hawezi kuchunguzwa). Nilichokiona, mpaka muda ule alikuwa na watoto 3, kila mmoja na mama yake, na wote aliwakuta ni single mothers, kipindi ananiambia nibembe mimba kumbe kuna mama mwingine anasubiri kujifungua mtoto mwingine muda wowote, kwa hiyo mtoto wa nne. Yote hayo alikuwa na diary ambayo huwa anaificha kwenye gari, na siku nimegusa alifahamu (ana alama zake, siwezi ongea sana) ila sikumuonesha reaction yoyote......... Nikawaza, Mimi mtoto wa baba, nasubiri na Mimi kuzaa mtoto wa tano?! Nikaamua kuachana naye, nilipata usumbufu mkubwa, lkn pia alilia, akasema hata yeye hapendi past yake, ila pia hawezi ibadilisha. Akaomba nimpe muda, na hataki kuzaa na Mimi bila commitment......... Tulifundishwa kuvumilia eti? The perfect man doesn't exist eti? Ukitaka mzuri mfungue kwa karatasi? Ndo ujinga uliokuja kichwani mwangu. Nikarudiana naye.
Mwezi X tukachukua likizo (imepita miaka, si niliamua kuvumilia?) Tuanze process, Mungu asante, siku kadhaa kabla ya likizo tuligombana ugomvi ambao siuelewi mpaka Leo. Tulikata mawasiliano, na nikawa nimeepuka hilo balaa. Naamini Mungu ananiwazia mema zaidi.........
wanaume tungekuwa na aklili nzuri tungekuwa tunasubiri tu watoto wa ndoa yaani ukishachanganya nyumba hainaga amani kabisa na ukute unapenda watoto kama mimi yaani ukimleta nyumbani kila analofanyiwa na wife home utaona anaonewa maana abadan hawezi kupata malezi sawa na wa kwake
Taja hili kabila mkuuHahahaaa kuna kabila wanafanyaga hivyo lakini wao hawazai na michepuko-mabinti, wao wanazaa na mwanamke mwenye ndoa kabisaaa.
Uzidi kuwa na akiliwanaume tungekuwa na aklili nzuri tungekuwa tunasubiri tu watoto wa ndoa yaani ukishachanganya nyumba hainaga amani kabisa na ukute unapenda watoto kama mimi yaani ukimleta nyumbani kila analofanyiwa na wife home utaona anaonewa maana abadan hawezi kupata malezi sawa na wa kwake