kinyama nje
JF-Expert Member
- Jul 3, 2017
- 1,839
- 2,461
Haya wangalelo Na dalaja mbili mkuje mtupe ukweli. Ninacho furahia arusha ni watoto wa kimbulu kwenye mabaa mengi hela yako tu
Arusha noma tupo tunapambana mkuu,vitu gharama sana arifu charii ya R.
If You Can Make it Here, You Can Make it Anywhere.
Wapi huko mkuu!?kijijini kwetu nyanya moja ya kupikia ni shiling 300 na bado watu wanatoboa
Ilikuwaje?Kinachonikera Arusha ni ubabe ubabe asee, tunaotumia daladala tunaona hali hii
Huko nairobi ulishi kama chokoraa,ulikuwa unalala mtaa gani,pole umepitia maisha matata sana,hali ya hewa ya nairobi sio rafiki kwa kulala mtaani.WEWE NI LIMBUKENI WA MAISHA...ila pia hongera kwa kummega mtoto Sky Eclat usiku kucha.
Anyway. Mkuu, watu tumeishi na kusurvive Nairobi...huna ndugu, huna rafiki, unalala nje...kwenye vibaraza, ila ukiamka ni mwendo wa suti na tai. The same happened in Mombosa, Mwanza na Cairo misri. WHAT IS ARUSHA? I can survive and lieve anywahere.
I can make life anywhere..hii ndio faida pekee ya kupigika na kujifunza mengi.
maraWapi huko mkuu!?
Mkoa upi huo?
Umeongea ukweli...pale ni home so hujaongopa!Maisha ni mipango ndugu na sio sababu ya kuwa sehem flan utafanikiwa na sehemu ingine hufanikiwi.. iwapo utajua ni nini unakihitaji katika kubadilisha maisha yako na ukakikazia hakika utafanikiwa haijalishi uko mkoa gani au nchi gani..nimeishi Arusha miaka ya kutosha lakini kitu kikubwa kilichofanya nisiupende huo mji ni kwamba wakaazi wengi na watu wanaofanikiwa hapo wanapenda Sana dhuruma, shortcut na pia wanaabudu Sana fedha pia wengi wa vijana hapo ni wezi na baadhi yao walipata kuwa rafiki zangu pasipo mimi kujua kuwa kumbe kuna mishe za ziada wanafanya kujiongezea kipato..hata baadhi ya wazazi wanatambua kabisa Kijana wetu ni mpigaji lakini akirudi na pesa wanamuona kama jasiri na kumpa heshima zote..nalisema hili kwa uhakika maana rafiki yangu mmoja alikuwa ananihadithia siku walipowekewa mtego wa kuuwawa yeye na kaka yake lakini walinusurika..kumbuka hapa kaka mtu na mdogo mtu wote majambazi na wazazi wao wanajua na nilipomdadisi akanambia usione dingi yangu anamali zote hizo na yeye pia alikuwa mpigaji kwenye ujana wake..yapo mengi na sna kuhusu maisha ya Arusha bila kusahau kugeukwa na rafiki yako wakati mnafanya dili Yan anakugeuka na kukuuza bila huruma kabisa.. mnisamehe ntakaokuwa nimewakwaza lakini hiyo ndo experience yangu ya kuwa Arusha. Ndo maana hata wazungu wengi sana wameshalizwa hasa pale walipojaribu kushilikiana na wakazi wa Arusha, ninawajua wazungu zaidi ya 3 ambao pia nimarafiki zangu waliogeukwa na watu wa Arusha na kuwazunguka ili wao ndo wawe wamiliki wa kila kitu. Nina mengi Sana kuhusu huo mji nashukuru Mungu niliweza kutoka huko baada ya dhamira yangu kunisuta juu ya mwenendo wa kimaisha kiujumla na nikachukua maamuzi ya kuhama huko na ndipo niliweza kuona mwanga katika maisha yangu kwa sasa nimebaki kama Mtalii kuitembelea Arusha
Nilikuwa kariobangi, and I dated the most intelligent kikuyu girl...her company alongside my pastor (congolese) inspired my career. I am a devil to what I do now, I am super. very super...only bcoz those 2 people saw my potential.Huko nairobi ulishi kama chokoraa,ulikuwa unalala mtaa gani,pole umepitia maisha matata sana,hali ya hewa ya nairobi sio rafiki kwa kulala mtaani.
Sirikali nayo inachangia Mikodi kibao ndio maana na price zinapanda.Mnakosea wapi Arusha wakati Nairob vitu ni rahisi