Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,211
- 42,074
plus ntwaraDodoma+Singida+Tabora Mikoa hiyo ni naikubali kwa ugumu wa maisha.
plus ntwaraDodoma+Singida+Tabora Mikoa hiyo ni naikubali kwa ugumu wa maisha.
Ukicompare na Dar,Mbeya,Mwanza etchivi mnaposema vitu gharama mnamaanisha kama vitu gani? na umelinganisha na wapi ambapo ni rahisi?
kama vitu gani mkuuUkicompare na Dar,Mbeya,Mwanza etc
kama vitu gani mkuu
" AKUNA " mahali utashindwa kuishi ~~~, ni kama kiswahili cha darasa la pili akuna maana yake ni kujisugua kama unawashwa.Sasa" kujikuna" mahali labda mwilini itahusikaje na kushindwa kuishi??.Kichwa cha habari hakieleweki.Habari za watu wa humu, naamini mu wa wazima .sky eclat anawapa salamu yupo hpa tangu jana .
Any way tuachane na hayo niende moja kwa moja kwenye mada.
Haya ni maoni yangu na utafiti wangu, so ukija hapa kupinga pinga kwa hoja na sio kwa msisimko.
ARUSHA ni mji ambao unafahamika kwa kuwa na wingi wawageni toka nje ya nchi, wanaokuja kutembelea vivutio vya utalii ikiwemo kutazama wamasai(jokes) na mbuga za wanyama.
Nimeishi mikoa karibia mingi hapa tizo isipokuwa mikoa miwili tu ikiwa ni Ruvuma na Kagera Kiukweli kama umeshawahi kukaa Arusha ukafika tu ukiwa hauna chochote na ukaweza ku toboa na ukaweza ku maintain life ya pale basi ujue hakuna mkoa utashindwa ku survive ,huu ni mtazamo wangu na utafiti wangu mdogo ,sijui kwa nyie wenzangu mnasemaje japo wengi walisema
Ukiweza kuishi dar hamna mkoa utashindwa kuishi mimi niliwakatali kabisa .ama kwa hakika Arusha maisha yako juu kuliko pengine ,sio kwa chakula ,gharama za nyumba na hata mahitaji mengine ya muhimu hii nikutokana na kuwa ni jiji la utalii ,watu kuuza bidhaa kama wanawauzia wazungu.
Nawasilisha.
Ulikua swaswa au wapi mkuu...manake wa kisasa huku fresh tuu...Dah nakuunga mkono dodoma ni Jiwe kimaisha mimi palinishinda
Arusha tisa, Kumi Iringa. Ukitoboa kuishi Iringa utaishi mkoa wowote Tz. Dar mbona maisha easy sana!!Habari za watu wa humu, naamini mu wa wazima .sky eclat anawapa salamu yupo hpa tangu jana .
Any way tuachane na hayo niende moja kwa moja kwenye mada.
Haya ni maoni yangu na utafiti wangu, so ukija hapa kupinga pinga kwa hoja na sio kwa msisimko.
ARUSHA ni mji ambao unafahamika kwa kuwa na wingi wawageni toka nje ya nchi, wanaokuja kutembelea vivutio vya utalii ikiwemo kutazama wamasai(jokes) na mbuga za wanyama.
Nimeishi mikoa karibia mingi hapa tizo isipokuwa mikoa miwili tu ikiwa ni Ruvuma na Kagera Kiukweli kama umeshawahi kukaa Arusha ukafika tu ukiwa hauna chochote na ukaweza ku toboa na ukaweza ku maintain life ya pale basi ujue hakuna mkoa utashindwa ku survive ,huu ni mtazamo wangu na utafiti wangu mdogo ,sijui kwa nyie wenzangu mnasemaje japo wengi walisema
Ukiweza kuishi dar hamna mkoa utashindwa kuishi mimi niliwakatali kabisa .ama kwa hakika Arusha maisha yako juu kuliko pengine ,sio kwa chakula ,gharama za nyumba na hata mahitaji mengine ya muhimu hii nikutokana na kuwa ni jiji la utalii ,watu kuuza bidhaa kama wanawauzia wazungu.
Nawasilisha.