Ridhwani Mbaraka
JF-Expert Member
- Jun 18, 2017
- 484
- 1,135
Nimetembea mikoa kadhaa na nimeona mengi ya aina hii. Lakini kusema ukweli nilipofika Wilaya moja ya mkoa wa Kusini nilikutana na Mwanamke mwenye umri wa wastani wa miaka 28 hivi anaeonekana anajitambua na ana malengo.
Nilimhoji, nikaelewa kuwa ni mgeni maeneo hayo ametokea mikoa ya Kaskazini. Na kwamba ana mtoto mmoja lakini pia ni first born katika familia yao iliyo na kipato kidogo kutokana na Baba kutekeleza familia.
Katika maelezo yake anasema kwao wanajua yuko wilaya hiyo lakini hawajui kama anafanya kazi hiyo. Wakati mwingine unamkuta ana njaa, mie nampa pesa ya kula..Nilifanya hivi karibia siku tano lakini kilichotokea ni yeye kunishangaa.
Anamuuliza yule Chief/Mpishi kwamba inakuaje mimi namnunulia chakula na kuongea nae sana lakini hata namba ya simu simuombi. Next day akaniomba namba kwakua tayari tulikua tumezoeana kiasi. Ulipofika usiku wa saa tano akanipigia simu kuniambia anakuja, nikamwambia ninahitaji kuongea nae kirefu na kwamba muda huo mimi nilikuwa nimechoka na ninahitaji kupumzika ila atafute nafasi nyingine na hasa siku atakazokia mapunziko.
Kwa bahati mbaya muda huo hakuupata, nililazimika kufata muda wake ambao ni kuanzia saa SITA. Alikuja kikazi, tukalala alfajiri ya saa 10 akaondoka kurudi geto kwao. Nilijaribu kuongea nae na kuendelea kumdadisi akawa anaendelea kuongea yanayomhusu. Kubwa ni malengo yake ya kutafuta mtaji wa kufungua duka la nguo Dsm au Arusha.
Muda wangu wa kukaa eneo hilo ukawa umeisha natakiwa kusafiri. Nikamwambia nitabeba majukumu kadhaa ili mshahara na tips zako uendelee ku-save. Nikamlipia chakula cha siku 10 65,000/ kwa makubaliano kila baada ya siku 10 nitamtumia.
Nikasafiri, akaniunganisha na mama yake mzazi na wakati huo kulikua na harakati za mdogo wake kumpeleka form five. Hawakuwa na uwezo huo lakini mimi nililazimika kumtumia mama yake laki 2. Mtoto akapelekwa shule.
NILIAMUA kufanya utafiti binafsi ili nijue ni mzoefu au ni kweli kafika ulimwengu ule kutokana na shida za familia? Vijana niliowapa kazi ile walifanya kazi kwa uaminifu mkubwa. Ikabainika kwamba ile ni kazi kwake na muda anaoutumia ni huo (Kati ya saa 7 usiku na 10Alfajiri)
Malipo ambayo analipwa na wateja ni wastani wa 30,000/
Taarifa zilikusanywa kwa siku tano na zoezi likawa endelevu. Sikumsanua bali nikaona niongeze ahadi za kutimiza ile ndoto yake ili nione anaweza kutoka kwenye huo ulimwengu. Nikaanza kumsaidia vile vitu alivyoniambia vinamsumbua zaidi hasa Kwa mama yake na mtoto. Lakini hakupunguza chochote, badae nikamtengenezea formula ya kupata mtaji anaoutaka kwa mwezi mmoja
Shida ikawa kuanza michakato ya kunifata hiyo formula ...huku kazi ya kumwangalia ikiendelea bila yeye mwenyewe kujua.
Mwisho nikagundua haya :
Let us be serious about this!
Kuokoa maisha ya samaki mmoja kwa kumrudisha majini Kati ya wengi walioachwa na maji kutokana na upepo mkali ni kulinda uzao kuliko kudhani ni kupoteza muda.
Nilimhoji, nikaelewa kuwa ni mgeni maeneo hayo ametokea mikoa ya Kaskazini. Na kwamba ana mtoto mmoja lakini pia ni first born katika familia yao iliyo na kipato kidogo kutokana na Baba kutekeleza familia.
Katika maelezo yake anasema kwao wanajua yuko wilaya hiyo lakini hawajui kama anafanya kazi hiyo. Wakati mwingine unamkuta ana njaa, mie nampa pesa ya kula..Nilifanya hivi karibia siku tano lakini kilichotokea ni yeye kunishangaa.
Anamuuliza yule Chief/Mpishi kwamba inakuaje mimi namnunulia chakula na kuongea nae sana lakini hata namba ya simu simuombi. Next day akaniomba namba kwakua tayari tulikua tumezoeana kiasi. Ulipofika usiku wa saa tano akanipigia simu kuniambia anakuja, nikamwambia ninahitaji kuongea nae kirefu na kwamba muda huo mimi nilikuwa nimechoka na ninahitaji kupumzika ila atafute nafasi nyingine na hasa siku atakazokia mapunziko.
Kwa bahati mbaya muda huo hakuupata, nililazimika kufata muda wake ambao ni kuanzia saa SITA. Alikuja kikazi, tukalala alfajiri ya saa 10 akaondoka kurudi geto kwao. Nilijaribu kuongea nae na kuendelea kumdadisi akawa anaendelea kuongea yanayomhusu. Kubwa ni malengo yake ya kutafuta mtaji wa kufungua duka la nguo Dsm au Arusha.
Muda wangu wa kukaa eneo hilo ukawa umeisha natakiwa kusafiri. Nikamwambia nitabeba majukumu kadhaa ili mshahara na tips zako uendelee ku-save. Nikamlipia chakula cha siku 10 65,000/ kwa makubaliano kila baada ya siku 10 nitamtumia.
Nikasafiri, akaniunganisha na mama yake mzazi na wakati huo kulikua na harakati za mdogo wake kumpeleka form five. Hawakuwa na uwezo huo lakini mimi nililazimika kumtumia mama yake laki 2. Mtoto akapelekwa shule.
NILIAMUA kufanya utafiti binafsi ili nijue ni mzoefu au ni kweli kafika ulimwengu ule kutokana na shida za familia? Vijana niliowapa kazi ile walifanya kazi kwa uaminifu mkubwa. Ikabainika kwamba ile ni kazi kwake na muda anaoutumia ni huo (Kati ya saa 7 usiku na 10Alfajiri)
Malipo ambayo analipwa na wateja ni wastani wa 30,000/
Taarifa zilikusanywa kwa siku tano na zoezi likawa endelevu. Sikumsanua bali nikaona niongeze ahadi za kutimiza ile ndoto yake ili nione anaweza kutoka kwenye huo ulimwengu. Nikaanza kumsaidia vile vitu alivyoniambia vinamsumbua zaidi hasa Kwa mama yake na mtoto. Lakini hakupunguza chochote, badae nikamtengenezea formula ya kupata mtaji anaoutaka kwa mwezi mmoja
Shida ikawa kuanza michakato ya kunifata hiyo formula ...huku kazi ya kumwangalia ikiendelea bila yeye mwenyewe kujua.
Mwisho nikagundua haya :
- Kweli anahitajika na familia kutatua shida za mama, nyumba yao inayohitaji matengenezo makubwa, kusaidia ndugu zake, mwanae na yeye mwenyewe.
- Kweli anahitaji msaada kwani hata afanyaje hawezi kupunguza mzigo alionao peke yake lazima apate MTU serious ili awe backup yake.
- Kutoka katika huo ulimwengu anataka lakini hawezi kwa sababu inaonekana imeshakua tabia. Kwamba hata siku ambayo hana mteja halali/anakua hapati usingizi mpaka around saa 11 alfàjiri. Na kwamba hata akifanikiwa kupata mtaji anaoutafuta bado atakua mtumwa wa kazi hiyo.
Let us be serious about this!
Kuokoa maisha ya samaki mmoja kwa kumrudisha majini Kati ya wengi walioachwa na maji kutokana na upepo mkali ni kulinda uzao kuliko kudhani ni kupoteza muda.