Ukiwatoa wabunge, Wahadhiri wa Vyuo Vikuu vya Umma ndio wanalipwa mishahara mikubwa

Mwalimu wangu profesa mmoja akiwa anatoa mhadhara alisema yeye anazidiwa mshahara na mbunge pekee tofauti na hapo hakuna kada nyingine hapa Tanzania yenye mishahara minono.

Mwisho mwalimu(profesa) akatushauri tusome kwa bidii tufanye kazi katika vyuo vikuu ili tupate ujira mnono(mlima)
Huyo anafrustration zake muache na ujinga wake
 
Professa si tulikubaliana analipwa million 6 au?
Duh mi sekta binafsi huo mshahara nilikua nalipwa 4 years back na bachelor yangu. Na other benefits juu,gari kali,nyumba kali, airtime 180k kwa mwezi, perdiem 250k kwa siku nikitoka nje ya kituo cha kazi...na makolokolo mengine kama credit card with 80 percent cash advance and purchase, makopo ya maziwa, membership ya corporate clubs etc. Serikalini sometimes miyayusho sijui ni uoga
 
Duh mi sekta binafsi huo mshahara nilikua nalipwa 4 years back na bachelor yangu. Na other benefits juu,gari kali,nyumba kali, airtime 180k kwa mwezi, perdiem 250k kwa siku nikitoka nje ya kituo cha kazi...na makolokolo mengine kama credit card with 80 percent cash advance and purchase, makopo ya maziwa, membership ya corporate clubs etc. Serikalini sometimes miyayusho sijui ni uoga
Naomba connection mkuu
 
Kuna jamaa operator wa mtambo flan hiv adim sana katika moja ya migodi ya Barrick anakunja 15M kwa mwezi dah jamaa ana bahat sana huo ujuz wenyewe alipelekwa kusomea na haohao wa canada.

Professor wako atakua anavuta hata 20M hivi si ndio?
Bila shakaa mkuuu

Sent from my SM-G955F using JamiiForums mobile app
 
Mwalimu wangu profesa mmoja akiwa anatoa mhadhara alisema yeye anazidiwa mshahara na mbunge pekee tofauti na hapo hakuna kada nyingine hapa Tanzania yenye mishahara minono.

Mwisho mwalimu(profesa) akatushauri tusome kwa bidii tufanye kazi katika vyuo vikuu ili tupate ujira mnono(mlima)
Mwalimu wangu profesa mmoja akiwa anatoa mhadhara alisema yeye anazidiwa mshahara na mbunge pekee tofauti na hapo hakuna kada nyingine hapa Tanzania yenye mishahara minono.

Mwisho mwalimu(profesa) akatushauri tusome kwa bidii tufanye kazi katika vyuo vikuu ili tupate ujira mnono(mlima)
Wewe na mwalimu wako wote ni vihiyo.
 
Ni mhadhiri wa urubani levo ile ya juu kabisa na amefikia daraja (la muundo wa cheo kazini) lile la mwisho kabisa!

Mpe hi Senior huyo
 
Mwalimu wangu profesa mmoja akiwa anatoa mhadhara alisema yeye anazidiwa mshahara na mbunge pekee tofauti na hapo hakuna kada nyingine hapa Tanzania yenye mishahara minono.

Mwisho mwalimu(profesa) akatushauri tusome kwa bidii tufanye kazi katika vyuo vikuu ili tupate ujira mnono(mlima)
Soma komenti zote za wachangiaji, haihitajiki Phd kupata ukweli wa Professor wako alichokisema
.
Wewe ni academician wa chuo. Ulitaka kujua kama mnalipwa zaidi ya kada zingine. Ukweli ni kuwa mnapigwa gepu kubwa sana na baadhi ya kada nyingi
 
Back
Top Bottom