Jean piaget
Senior Member
- Mar 15, 2014
- 143
- 34
Hi , Hii ni kwa mtazamo wangu, maana kuna wimbi kubwa la wadada kukimbilia wanaumme (wazee) wenye pesa na vitu vya thamani, soon hao wazee wakifulia hao wadada hawaendelei kua nao tena.
jamani hao si zaidi ya machangudoa wajipangao barabarani? Maana wenyewe wako open, siyo kama hawa wanaojiuza Indirect.
Tujadili hili kwa ungwana wakuu.
jamani hao si zaidi ya machangudoa wajipangao barabarani? Maana wenyewe wako open, siyo kama hawa wanaojiuza Indirect.
Tujadili hili kwa ungwana wakuu.