Ukiwa mkweli kabisa kutoka moyoni, How are you? Unaendeleje na hali?

I'm ok, considering the state of so many others that have less than me.

I'm alive, kuna wengi waliamka na mipango mingi ila sasa wamelala kwenye umauti, so I'm ok.

Kuna wengine wamelala vitandani kwa maradhi wakitamani kuwa na robo ya afya niliyonayo, so I'm really ok.

I'm ok, maana nimekula, inawezakana isiwe nilichotaka kula, lakini nimepata chakula. Kuna waliokuwa na njaa na hawana uwezo wa kupata hata theluthi moja ya nilichopata leo.

I'm ok, despite there being heavy rains, nina hakika nina pa kulala, inawezakana isiwe hekalu, lakini ni bora kuliko yule alie aidha kwenye mafuriko ama asie na pahala pa kulala kabisa.

I'm ok, maana nina familia inayonisubiri nyumbani, inawezakana kusiwe na vicheko tu huko nyumbani, but I know I have people to mourn and rejoice with, kuna ambao wana uchungu lakini hawana wakushea nao.

So, I'm grateful for what I have, inawezekana isiwe yale yote ninayoyataka lakini yananifaa kulinganisha na wengi ambao hawana kabisa. I'm ok in every sense of the word OKAY.
Hacha kuleta mahubiri hapa! Una hela! Malazi, makazi, familia unaimudu! Ndo tunataka
 
Wana MMU,

Wengi tukisalimiana unaambiwa good moorning, unajibu tu kukamilisha salamu. Unaulizwa unaendeaje na hali unajibu fasta tu salama wakati ukweli ni kwamba unakaribia ku give up, maisha yako yameshikiliwa na ki uzi chembamba tu kiasi kwamba upepo ukipiga kidogo tu umekwenda.

Wengine moyo umechoka unaona kama dunia hii sio seheu yako, hata kufikiria huenda dunia haikuwa tayari kukupokea, lakini ukisaliwa unajibu aaah salama, umekamilisha salamu huyo unaenda zako.

Ukiwa mkweli kabisa, How are you? Unaendeleaje na hali?
Ukweli kabisa kutoka moyoni utauexpose kwa mtu tu barabarani asiye mwandani wako?

Tangu dunia ianze kustaarabika haijatokea hivyo hata kwa wahenga.

Utamaduni wa salamu ni mfumo uliowekwa wa kiubinadamu kuonesha upendo na nidhamu, lakini si kwa malengo ya kuelezeana madhila na madhaifu pamoja na changamoto zetu zinazotukabili.

Baada ya salamu, changamoto na shida huelezwa kwa mtu mahususi anayeweza kushauri ama kuzitatua, siyo ovyo ovyo tu kwa mtu yeyote usiye na nasaba naye.

Pia ukumbuke salamu zimegawanyika kama sehemu mbili: kuna inayotolewa kwa indivisual na kuna ya public, mfano wa mwalimu kaingia darasani na kusalimia,...'wanafunzi hamjamboo?' na wanafunzi wanaitikia kwa mkupuo...sasa hii emb ijengee hoja maana nayo ni salamu vile vile.
 
Mi kuna wakati baadhi ya simu/message huwa sijibu kwasababu sitaki kuulizwa kama niko poa nianze kudanganya I'm owwkey while I'm not, wala sitaki kuambia kila mtu ukweli either.

Nimeanza wiki na some really great news, mastress yaliyokua yamekomaa na mimi tokea last year are no longer an issue, so...niko poa sana!😊

Na wewe vipi Cute Wife ...how is you??
 
Mi kuna wakati baadhi ya simu/message huwa sijibu kwasababu sitaki kuulizwa kama niko poa nianze kudanganya I'm owwkey while I'm not, wala sitaki kuambia kila mtu ukweli either.

Nimeanza wiki na some really great news, mastress yaliyokua yamekomaa na mimi tokea last year are no longer an issue, so...niko poa sana!😊

Na wewe vipi Cute Wife ...how is you??
Kufunguka muhimu
 
Mi kuna wakati baadhi ya simu/message huwa sijibu kwasababu sitaki kuulizwa kama niko poa nianze kudanganya I'm owwkey while I'm not, wala sitaki kuambia kila mtu ukweli either.

Nimeanza wiki na some really great news, mastress yaliyokua yamekomaa na mimi tokea last year are no longer an issue, so...niko poa sana!😊

Na wewe vipi Cute Wife ...how is you??
I miss you Miss Dr Lizzy 🙂
 
Mi pia Manyanza 🙂
Ni wewe ulikua umejificha au ni mimi nimepunguza kuzurura humu jukwaani??
Jamiiforums ni kubwa sana Miss Lizzy, yawezekana nilikuwa England kule Liverpool, wewe ulikuwa zako home kwako Selfika tu. Lakini tumekutana hapa MMU 😀😀😀
 
Back
Top Bottom