BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,376
- 8,118
Kuna mambo ya ajabu sana wanafunzi wanafanyiwa hasa kwenye jiji la Dar. Makondakta na Madereva wananyanyasa sana Watoto mara wakatae kuwacha Chenji, mara wakatae kuwapakia kabisa, wengine wanazua wanafunzi kukaa kwenye siti hata kama gari haijajaa.
Sasa ndugu mzazi/mlezi wewe unaposhuhudia matukio hayo huwa unachukua hatua gani? au unashangaa tu na kucheka?
Nadhani kabla ya kulalamikia Mamlaka zichukue hatua, ni bora abiria wengine tuwe tunachukua hatua kwa kuzuia unyanyasaji huo.
Sasa ndugu mzazi/mlezi wewe unaposhuhudia matukio hayo huwa unachukua hatua gani? au unashangaa tu na kucheka?
Nadhani kabla ya kulalamikia Mamlaka zichukue hatua, ni bora abiria wengine tuwe tunachukua hatua kwa kuzuia unyanyasaji huo.