Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,365
- 21,743
Kama huna hela,, ata uwe mcheshi kiasi gan,,, utaonekana tuu boyaaaaaa,,,,
Taften pesa jaman
Taften pesa jaman
Sehemu yako ya siri inapata tabuu sanaUkitaka mimi nikupende naomba ml. 60 tu .
siitaji jingine.
ukiwa na zaidi ni call .
Kwani usipompenda atapata hasara gani? sasa hivi humpendi anapata hasara gani?Ukitaka mimi nikupende naomba ml. 60 tu .
siitaji jingine.
ukiwa na zaidi ni call .
Hivi kweli kila kitu mnaamini mtu akisema shauri zenu.Kwani usipompenda atapata hasara gani? sasa hivi humpendi anapata hasara gani?
Fanyakazi hakuna mteremko wa hivyo kwenye maisha.
Ulikua unapima upepo eeh?!Hivi kweli kila kitu mnaamini mtu akisema shauri zenu
Fanya kazi ipi tukiienda kwenye maandiko it's my right for you to give me money yes utakula kwa jasho utatunza familia ikiwemo hadi cooking washing disehs house work and everything for me i will give you kids only so utajaza aa yakheUlikua unapima upepo eeh?!
Fanya kazi hakuna mteremko dunia ya leo.
Unajua kupika its your right na pia kufua na kuwash dishes kunitunza na kila kitu it's your resposibilities my friend.Ulikua unapima upepo eeh?!
Fanya kazi hakuna mteremko dunia ya leo.
Toka lini nimekua ur friend??!!Unajua kupika its your right na pia kufua na kuwash dishes kunitunza na kila kitu it's your resposibilities my friend.
so ukijidanganya eti sisi ndio hatuelewi sana kuwa nani aliambia atakula kwa uchungu ni nyie acheni uvivu fanyeni kazi tule na tuwalele watoto wenu.
Haya sijasema wewe ni rafiki yangu nope huo ni usemi humu sina best friend na best people and your not in my list .Toka lini nimekua ur friend??!!
Achana na fikra tegemezi,narudia tena,fanya kazi hakuna mteremko kwenye dunia ya leo,hizo hadithi zako haziwezi kubadili kitu.
Sawa endelea kumsubiri wa kukuhonga milioni 60 humu,good luck.Haya sijasema wewe ni rafiki yangu nope huo ni usemi humu sina best friend na best people and your not in my list .
so jipange usitegemee upewe hela na wanawake ni wewe umtunze.
Ml. 60 natania tu sio kweli nikitaka humu siwezi pata i am sure of that kabisa .Sawa endelea kumsubiri wa kukuhonga milioni 60 humu,good luck.
Sio rahisi kushindwa kwa muda mrefu uliotumia.Nina ushahidi binafsi ...
Wakati nikiwa kijana ....
Kulikuwa na mrembo hivi alikuwa akiwatolea watu wengi nje. Nilipoonana naye nikawa naongea naye kwa mara ya kwanza, wenyeji wa pale walinambia najisumbua wala siwezi pata kitu. Niliwambia kuwa nimezaliwa kuweza na ni lazima nitaweza.
Nilichokifanya nilibadili mfumo wa maongezi na badala yake nilianza kuwa naye sehemu ambazo haziruhusu kutenda mambo hayo (sex).
Baada ya miezi kama sita hivi, yeye ndo alianza kunionea wivu kwani alitamani muda mwingi niwe naye. Alijenga mazingira ya kila Jumapili kuja nyumbani. Tulizoeana na ndugu na marafiki zetu walitufahamu kama marafiki (sio wachumba wala wapenzi).
Siku ya siku nilipojaribu tu ... ilikuwa kama kumsukuma aloinama.
Have a good day,usichukulie serious mkuu,tupo pamoja.Ml. 60 natania tu sio kweli nikitaka humu siwezi pata i am sure of that kabisa .
itakuwa miujiza