Ukiwa hivi wanawake lazima wakupende

Ukiwa hivi wanawake lazima wakupende

Katika dunia hii,huwezi kupendwa na watu wote au kuchukiliwa na watu wote,ni ngumu sana kumridhisha kila mtu,live ur life,life is too short kukaa kuhangaika na kutaka kupendwa na kila mtu.

Huwezi ishi bila hao watu mkuu
 
Nikipendwa na Mungu inatosha,apo kaka umeongea point ya muhimu sana
Na pia Kijana inakupasa kuwa nadhiifu,msafi,kujituma huo ni wajibu wangu ili niweze kuendelea kiuchumi mambo mengine yatanyooka yenyewe

Ukifanya hayo hata Mungu atakupenda, hivyo si wanawake tuu
 
Back
Top Bottom