hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 54,314
- 80,187
Daah nakuonea wivu sana maninerrrr zangu
Connection ni tourism ikirudi jiingize huko, au nenda ughaibuni. Mimi niliishi nao abroad. Kule ma-blacks tunagombaniwa unakuta miji mingi mko wachache sana na tunawapa mademu wa kizungu penzi balaa kwa hio wanatupenda balaa. Kama umewahi kusikia msemo "if you ever go black, u will never go back" unamaanisha.. mzungu akishaonja kitu ya black, kwa asilimia kubwa hataki wazungu wenzake tena. Japo wangu mie alikuja olewa na white mwenzake tu. Hehehe.