Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,035
- 12,805
Kila la heri budaa....Aisee ngoja nichangamkie fursa faster
Maisha ni fursa!!
Kila la heri budaa....Aisee ngoja nichangamkie fursa faster
Wengi wako hivyo, ila wachache wana roho ya upendo. Mimi kuna kibinti kiliwahi kunipa ela yake ya mtaji kilichopewa na baba yake dah wanawake wengine wana roho nzuri maskini. Ila japo sikukitendea wema ila nilikuja kukilipa mara zaidi ya tatu mambo yangu yalipokaa sawa. Bora ningemuoaga yule binti ila haina noma maisha yanaendelea na kamwe siwezi kurudisha wakati nyuma.Kwanini wanawake wengi ikatokea ukayumba kidogo au ukamwambia mpenzi wangu nisaidie kiasi fulan Ntrejesha anasema sina, huku unajua anayo,
Tabia inakera sana,
Wanawake wa kiafrika ndio wako hivyo. Nilikuwa na mchumba wa kizungu, tena mrembo haswaa kiasi kwamba tukitembea majamaa walikuwa wanampa miluzi kibao kila kona tukitoka out au tukitembea tu. Kwao ni matajiri sana, na baba yake ana private jet. Basi akaja tz, tukienda vacation mfano Dar au Zenj kutoka arusha tunakaa mahoteli ya $400 au zaidi kwa siku. Analipia kila kitu. Hata safari mafuta ya gari analipia yeye. Mimi anasema hela yangu niiweke kwa ujenzi tu. Tatizo alikuwa very controlling. Yani sikuwa na uhuru kabisa. Hapo ndio tukashindwana. Akarudi kwao akaolewa na mzungu mwenzake. Ilichukua muda mrefu sana maumivu kuisha. Pia penzi lake kwa kitanda hakuna hata mdada wa Tz hadi sass aliyemfikia. Kwa hio kama kwako kuwa controlled sio shida, tafuta mrembo mzungu. Ila binafsi pia kiuchumi niko sawa namshukuru Mungu. Kwa hio siwezi uza freedom yangu ili tu eti niwe na mzungu anayeni-control kila kitu
Huyo mwanamke wa hivyo usipomuoa uje hapa nikupige makofi. Mwanamke wa hivyo hata uzee wako utakula vizuri.Hujapata wewe anayekupenda! Mi wangu huwa hadi ananikopea vikoba! Ashawahi ingia benki kwa ajili ya mama kumpeleka hosp
Hahahahah kuna watu wanaweza shangaa wanawake hawa hutokeaga wapi ila wapo katika jamii hii hii ya maharamia. Mie pia nilishakulaga laki 6 ya baba mkwe 😂😂😂 kimasihara tu.Wengi wako hivyo, ila wachache wana roho ya upendo. Mimi kuna kibinti kiliwahi kunipa ela yake ya mtaji kilichopewa na baba yake dah wanawake wengine wana roho nzuri maskini. Ila japo sikukitendea wema ila nilikuja kukilipa mara zaidi ya tatu mambo yangu yalipokaa sawa. Bora ningemuoaga yule binti ila haina noma maisha yanaendelea na kamwe siwe kurudisha wakati nyuma.
Kabisa yaani umeandika pointi kubwa mnoUtamuombaje hela mwanamke wako?
Mimi hata nikiwa na matatizo mazito simwambii mwanamke wangu.bora nife nayo lakini si kumwambia najua mwanamke Hana msaada kwenye matatizo ya mwanaume.
Ukimpenda mtu hum control, huyo mzungu alikuwa hajui nini maana ya kupenda. Huwezi kumpelekesha mtu ati kisa unampenda. Let love flow freely.Hapo alikuwa amekuoa ndio maana alitaka kukucontrol.
Kabisa yaani umeandika pointi kubwa mno
Matatizo yake yote anakulundikia weweHizi ndio akili ambazo zimepelekea ile tabia ya kuombana hela za luku na kodi pale unapoonesha tu nia ya kumtaka binti huko barabarani. Kujimwambafy!!!
Kweli kabisa mkuu binti akikupenda anakupenda kweli ila sema mara nyingi unakuta tunawaumiza tu. Sasa kuna kingine nilikuwa nacho kinaona sina kitu kinasikilizia tu wakati nakaa nacho sasa kumbe kina lak 4 kwenye begi dah. Nilipoziona kiliona aibu sana.Hahahahah kuna watu wanaweza shangaa wanawake hawa hutokeaga wapi ila wapo katika jamii hii hii ya maharamia. Mie pia nilishakulaga laki 6 ya baba mkwe 😂😂😂 kimasihara tu.
Mwanamke anayekupenda licha ya adabu tu yuko tayari kuspend hela yake on you na wala hajali. Thats an immediate indicator kuwa hauko na mnafiki. Mwanamke mbinafsi hawezi kubali kutumia hata sh.100 yake na hata siku ukikwama utajuta.
Ukimpenda mtu hum control, huyo mzungu alikuwa hajui nini maana ya kupenda. Huwezi kumpelekesha mtu ati kisa unampenda. Let love flow freely.
Kuna mshkaj alipata changamoto hadi kufkuzwa anapoish lkn mwanamke wake hakuthubutu kutoa pesa ya kodi akidai anamuendekeza..... imagine mke ana kazi lkn alikua yuko tayar warudishe vitu kwa wazazi jamaa apambane anavyojua apate kodi.... nlishangaa sana... kuna siku jamaa anarudi kwa stress za ajabu ananiambia amekuta slip ya bank akaunt ya mke wake inasoma 2.5m.... jamaa sku iyo alilia sana... kwa vile mi naelewa nguvu ya penz na pia sikutaka kumjudge sana mke coz pia huenda walikua na hitilaf na hiyo ndo adhabu... nlimshaur tu apambane na alikua anakaa kwangu... baada ya 7month mambo yalirud km kawaida na amechukua nyumba saiv mambo yanaenda akiwa na mkewe...Hii Sub topic inabidi iongezwe kwenye somo la uraia kwenye mambo ya Courtship and Marriage!!!
Iitwe "Jinsi ya kumpata mke"
Nishawaambia humu a million times kama mwanamke wako hawezi ku spend on you thats not a reliable partner. Mwanamke wa kuwa nae au kuoa hakikisha si mbinafsi maana maisha yana changamoto sana usijiongezee tabu kuwa na mwanamke mbinafsi.
Mwanamke ambaye unamsaidia full ila yeye hawezi kukusaidia ukimhitaji ni mshenzi tu na hafai.
Hewaaa.....
We ukifika ishi Kama wale mayanki wa Rio de Janeiro washindao Copa Cabana beach....![]()


Yaani Ni sawa na kulikumbatia bomu ipo siku litakugeuka na kukulipukia tu 😁😁😁Hii Sub topic inabidi iongezwe kwenye somo la uraia kwenye mambo ya Courtship and Marriage 😂!!!
Iitwe "Jinsi ya kumpata mke"
Nishawaambia humu a million times kama mwanamke wako hawezi ku spend on you thats not a reliable partner. Mwanamke wa kuwa nae au kuoa hakikisha si mbinafsi maana maisha yana changamoto sana usijiongezee tabu kuwa na mwanamke mbinafsi.
Mwanamke ambaye unamsaidia full ila yeye hawezi kukusaidia ukimhitaji ni mshenzi tu na hafai.
😀😀😀😀% kubwa ya wanawake ni wabinafsi kuna mmoja mpaka ilipidi nimpige chini kwa hasira japo alikuwa mchepuko tu lakini nikianza nae kitambo sanaa tangu niko chuo wao ni family friend mpaka nikipokuja kuoa bado nlikuwa namega kisela tatizo lake ndo km hivyo ni mfanyakaz serikalin lakin ukimpanga apoint au akufate mkoa ulipo basi hata akitumia nauli yake atataka umrudishie hata akitumia boda ya buku atataka buku lake lirud nilivumilia yakanishinda nkamchana live siku moja nkapiga chini mazima
1in millionsHujapata wewe anayekupenda! Mi wangu huwa hadi ananikopea vikoba! Ashawahi ingia benki kwa ajili ya mama kumpeleka hosp
Connection ni tourism ikirudi jiingize huko, au nenda ughaibuni. Mimi niliishi nao abroad. Kule ma-blacks tunagombaniwa unakuta miji mingi mko wachache sana na tunawapa mademu wa kizungu penzi balaa kwa hio wanatupenda balaa. Kama umewahi kusikia msemo "if you ever go black, u will never go back" unamaanisha.. mzungu akishaonja kitu ya black, kwa asilimia kubwa hataki wazungu wenzake tena. Japo wangu mie alikuja olewa na white mwenzake tu. Hehehe.Hebu nipe connection ya hao wazungu namimi nifaidi mema ya dunia