Ukiumizwa usikubali kuua thamani yako

Ukiumizwa usikubali kuua thamani yako

Wanawake wana mahesabu makali sana, ukikua utaelewa. Formulae yangu ni hii, kuutumikia msamaha ni ngumu sana. Ningekuwa mwanaume, mara ya kwanza tu mke wangu ananifumania ningebeba rambo ya nguo zangu nisepe.


(nna hamu nijue huyo mama alicheka tu ama alimrudishia mumewe 'unq kibamiq ndo maana umeshindwa kukausha bwawa' lol. )
Ni true isipokuwa ni ngumu sana,kuna jirani yangu mama mwenye watoto 4 mumewe alikuwa anatoka na binti jirani,huyo mume kamwambia kimada mke wangu ana bwawa na k yake nilikuta wameiharibu wanaume wengine,kuna siku pakatokea fumanizi yule kimada anamtukana yule mama yale maneno machafu alioambiwa na yule mume mbele za watu na watoto na mume akawa anapigilia misumari,kweli wewe una bwawa,baadae mume kamwomba msamaha wanaishi ila mke alikonda ghafla nadhani mawazo,aisee ningekuwa mimi nisingeweza kuendelea kuishi na huyo jamaa,.ebu angalia hilo jambo mke lazima atakawa na huzuni kila siku
 
Wanawake wana mahesabu makali sana, ukikua utaelewa. Formulae yangu ni hii, kuutumikia msamaha ni ngumu sana. Ningekuwa mwanaume, mara ya kwanza tu mke wangu ananifumania ningebeba rambo ya nguo zangu nisepe.


(nna hamu nijue huyo mama alicheka tu ama alimrudishia mumewe 'unq kibamiq ndo maana umeshindwa kukausha bwawa' lol. )

Alikaa kimya sisi majirani tukamwambia nenda ndani utaendelea kudhalilika.nilimuonea huruma ilikuwa mwaka jana mkuu ,ile hali inamsumbua mpaka leo,anasema kabisa hakuna kitu kinamuumiza km hicho ,so unakuta kuna vitu vinaharibu hisia kiasi kwamba naona yule mama kusamehe inakuwa kazi kidogo
 
Ushauri ni mzuri,
japo kiuhalisia utekelezaji wake ni mgumu.
 
Ni true isipokuwa ni ngumu sana,kuna jirani yangu mama mwenye watoto 4 mumewe alikuwa anatoka na binti jirani,huyo mume kamwambia kimada mke wangu ana bwawa na k yake nilikuta wameiharibu wanaume wengine,kuna siku pakatokea fumanizi yule kimada anamtukana yule mama yale maneno machafu alioambiwa na yule mume mbele za watu na watoto na mume akawa anapigilia misumari,kweli wewe una bwawa,baadae mume kamwomba msamaha wanaishi ila mke alikonda ghafla nadhani mawazo,aisee ningekuwa mimi nisingeweza kuendelea kuishi na huyo jamaa,.ebu angalia hilo jambo mke lazima atakawa na huzuni kila siku

Pole yake huyo Mama pia Hongera kwake kwa kuwa na Moyo wa kusamehe na kuvumilia.
Mi nahisi wakati mwingine kusamehe ni kipaji kwa hiyo siyo Kila mtu anaweza kuwa nacho kipaji hicho.
 
Wewe sijui royna uliyeandika haya maneno, I acknowledge you, you have HEART, there are so much to learn from here. I will hurt you with forgiveness, happiness and move forward.
 
Mwili u radhi lakini moyo ni dhaifu hakuna anayependa kuumia ila ndo unajikuta umeshazama kutoka ndo issue
 
All tha best mdada....nimejifunza kitu nitajaribu kujicontrol sababu nina temper flani ambayo inaweza nifanya kujibu mtu ninavyojickia.hakuna kitu ?mbacho sipendi kama mtu kudisturb akili yangu sababu naamini ina mambo ya kufanya mtu anapoisumbua nakereka sana


Take it easy 😊 binadam tuneumbwa na madhaifu muhimu kujua kujicontrol Tu wala hainaa hajaa ya kuweka kinyongo tena ikibidi cheka nae aliekukosea ishi kawaida kabisa kwa style hii ukiweza lazima umuumize mtu moyo
 
Yeah Nilikuwa na Hilo tatizo na lilifikia sehemu ambayo sikuwa naweza kuliondoa bila msaada wa watu. Kila wakati nilikuwa nikiwatenda wasichana walionipenda kisa ni mimi kutendwa hapo nyuma. Sikujali Walivyokuwa Wakilia Bali nilifurahi kuona Namimi nasababisha maumivu kwa wengine. Lakini kwasasa nimeacha baada ya kugundua kuwa hata kama nikiwatenda hawa nitakuwa najiumiza mwenyewe kwani Aliyenitenda haumizwi na Chochote. Nisameheni Sana
 
Hakika huu ujumbe nimeupenda na kufurahishwa nao nimejikuta nafarijika kwa kuusoma
 
Yeah Nilikuwa na Hilo tatizo na lilifikia sehemu ambayo sikuwa naweza kuliondoa bila msaada wa watu. Kila wakati nilikuwa nikiwatenda wasichana walionipenda kisa ni mimi kutendwa hapo nyuma. Sikujali Walivyokuwa Wakilia Bali nilifurahi kuona Namimi nasababisha maumivu kwa wengine. Lakini kwasasa nimeacha baada ya kugundua kuwa hata kama nikiwatenda hawa nitakuwa najiumiza mwenyewe kwani Aliyenitenda haumizwi na Chochote. Nisameheni Sana

Amen shemeji, huwezi kupata furaha kamwe kwa kuumiza wengine au kwa kuishi na uchungu. Utajiua mwenyewe taratibuuuu
 
Yan nimejifunza hata nikiumizwaaa nitakaa na uchungu nitaliaaaa na Mungu wangu had uchungu uishe kama kanisan nitalala huko mradi tu nipate aman. Nikikaa miez kadhaa aah nasahau baada ya hapo namove on. Hata nikikumbuka bt sio kwa uchungu bt najisemea tu asante Mungu. Ila watu muwe mnaogopa machozi ya watu. Sababu siyo mazur kabisaaa yanaweza kukudhuru . mtu anapolia anaongea maneno mengi saana mabaya. Wale wooote mlio nitenda nimewasamehe na Mungu awasamehee
 
Pole yake.
Kuna vitu maishani usipochukua hatua mwenyewe kuvibadilisha vitakupokonya furaha yako na uhai baadae. The ---- of staying in a hopeless relationship kwa ajili ya watoto ni uongo manake watoto wanahitaji kuishi nyumba yenye furaha na amani ili wajifunze kupenda na kupendwa.
:hand: ana alternative mbili tu. Amkubali mumewe na kumsamehe na waishi kwa furaha milele (hadi hapo mume atakapoamua hataki furaha tena na kurudia matukio), ama afunge virago akalianzishe upya.
Alikaa kimya sisi majirani tukamwambia nenda ndani utaendelea kudhalilika.nilimuonea huruma ilikuwa mwaka jana mkuu ,ile hali inamsumbua mpaka leo,anasema kabisa hakuna kitu kinamuumiza km hicho ,so unakuta kuna vitu vinaharibu hisia kiasi kwamba naona yule mama kusamehe inakuwa kazi kidogo
 
na wakati unajiua taratiibu, huku oppressor wako anakula maisha, living his/her dream life.
Raha ni kujipa mwenyewe aisee
Amen shemeji, huwezi kupata furaha kamwe kwa kuumiza wengine au kwa kuishi na uchungu. Utajiua mwenyewe taratibuuuu
 
its very true kwa kweli...kujifunza kujipa thamani ni somo kubwa sana maana ukishaitambua thamani yako mara zote itakuwa kubwa kuliko maumivu na hiyo itakusaidia kuface realities za maisha...tatizo kubwa ni namna ya kutofautisha kufikiri kwa kutumia akili na kufikiri kwa kutumia moyo...maana mara nyingi tunapoamua kwa kufuatia pendekezo la moyo huwa baadae tunaumia..nibora tutumie akili japo mara zingine kunaugumu wake.
 
umenena vyema sana mpendwa.kuna maisha baada ya kuumizwa
 
na wakati unajiua taratiibu, huku oppressor wako anakula maisha, living his/her dream life.
Raha ni kujipa mwenyewe aisee

Teh afu sometimes Mungu ana makusudi jamani. Yani mtu anaweza akakutenda ya kukutenda afu kwa akili zako za kibinadamu unatamani Mungu amuadhibu mapema. Bahati mbaya zaidi unakuta Mungu anambariki huyo mtu than ever teh
 
Back
Top Bottom