Safety last
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 4,227
- 1,389
Mdomo wake umekaa vizuri kwa shughuli tofauti tofauti
mh unafull technique. Kweli umejizatiti kuwapoteza. Hizi njia usinge zipost kwani itakuwa noma wote wakikuiga.
yaani acha njia hii waijue wadada wote.manake mmezidi sasa,yaani jitu hata halikujui eti linamwaga sera! mie straight forward tunaanza ku-negotiate mahari kabisa,babangu ntamalizana nae mwenyewe!
hahaha umenichekesha sana leo lol