Ukitongoza msichana wa siku hizi jipange

Teh teh..Ila ukipata msichana anayetaka kutambulishwa home ujue huyo anajielewa kidogo..Wanawake waruwaru kuwapeleka home inabidi ufanye kazi ya ziada aisee
Hahaha kutaka kutambulishwa kwenu sio guarantee ya mtu kujielewa. Kuna watu wana hobby ya "kutambulishwa". Na huko kutambulishwa kwenyewe ndo ile home kwenu wanijue tu kama nipo au ndo kukamilisha mambo?
Teh teh...Wana hobby za ajabu ajabu hawa..Cha msingi ni kujitoa ufahamu tu na ww..Kuna mmoja aliniambia hobby yake ni kuteleza kwenye barafu..Jibaba nikachoka
Teh teh hobby on fleek. Ahsante sana
 
Hahaha kutaka kutambulishwa kwenu sio guarantee ya mtu kujielewa. Kuna watu wana hobby ya "kutambulishwa". Na huko kutambulishwa kwenyewe ndo ile home kwenu wanijue tu kama nipo au ndo kukamilisha mambo?

Teh teh hobby on fleek. Ahsante sana


Hahah...You Only Live Once!!

Halafu mfilipino breakfast na maua flan mekundu mezani pembeni ya ule mnara wa paris asubuhi ya valentine ni amazing flan sana kabla ya lunch na dinner :p:p
 
Hahah...You Only Live Once!!

Halafu mfilipino breakfast na maua flan mekundu mezani pembeni ya ule mnara wa paris asubuhi ya valentine ni amazing flan sana kabla ya lunch na dinner
We did that last weekend. Mfilipino nina vitu amazing store, subiri tu videos, utashaaa
 
Hahaha kutaka kutambulishwa kwenu sio guarantee ya mtu kujielewa. Kuna watu wana hobby ya "kutambulishwa". Na huko kutambulishwa kwenyewe ndo ile home kwenu wanijue tu kama nipo au ndo kukamilisha mambo?
Teh ..Hobby ya kutambulishwa sio..Nope,Anayetaka kutambulishwa atleast utamuona yuko serious na yuko tayari kuwa committed...

Teh teh hobby on fleek. Ahsante sana
Mnazingua sana nyie wakina Beyonce wa kwa mtogole
 
Wabari Wakuu!


Maisha yetu yanazidi kubadilika kila kukicha, kuna mambo hapo mwanzoni hayakuwepo na kuna mengine pia yalikuwa yanatokea. Uolewaji wa wanawake katika jamii zetu kwa kipindi cha nyuma ulikuwa ni wa kufuata maadili na misingi ya jamii.

Kadri ya ulimwengu unavyozidi kwenda ndio na mambo yanazidi kubadilika, mfano uchumba wa siku hizi sio dili tena kama zamani. Watu wamekuwa wakitumia neno uchumba kwa lengo la kupata kile wanachokitaka, maana inaaminika uchumba ni hatua kubwa inayofikiwa na wapenzi kabla ya ndoa.

Siku hizi ukimtongoza mwanamke anakuwa mwepesi sana wa kuhalalisha mahusiano yenu yawe wazi, hata kama mwanaume huna mpango wa kumuoa tayari wao wanakuwa wanaonyesha dalili zote za kutaka kuolewa.

Wanaume wengi hata humu JF wamekuwa wakilalamika kuhusu hichi kitu. Sijajua hasa tatizo ni nini mpaka wanafikia katika hatua hiyo, ukimtongoza binti leo kesho tayari hata ndugu wameshajua.

Hebu tujadili hili jambo kwa pamoja.
Mkuu hakuna tatizo hapo..those are tactics, ni kuwa ana assume kuwa ikifahamika kwa ndugu jamaa na wengine hata ukitaka kumpiga chini utaona noma kama unajiheshimu na jamii inakuheshimu...utakuwa unajiuluza "nikimuacha watanionaje?"..

Hii mambo hata zamani ilikuepo kiaina ila nowdays soko la waolewaji limekua #pasua sana kwahiyo hio ni survival mechanism ili waoaji mnajifanya bado mpo mpo mnaswe.

Wengi wetu tumeoa/kuolewa kwa kutambulishwa kibishi tukashindwa kuruka au umpe mimba then awaambie dada zako uone noma uoe.
 
Hahahah...huyo aliuwaa barafu zipi kwa mfano hapa kariakoo...?

ungechoka zaidi valentine hii angetaka umpeleke pale paris kwenye ile eiffel tower:D:D
Teh teh..Unadhani hata anajielewa basi..Instagram inamdanganya
 
Wengine wanajigeuza mama wenye nyumba kabisa... hii yote ni kutokana na wanaume wengi matapeli na walaghai wa mapenzi...
 
Mmmmh!! Yaani vuuup tu ndugu zangu wakujue , hebu rudia research yako.
 
Kwanini unamtongoza wakati huna malengo naye????? Nini hatima ya mahusiano unayotaka kuanzisha naye????
 
Inategemea na unatongoza wapi. Sio kweli kwamba pote ukitongoza mara moja ushajulishwa kote.Hiyo ni alama ya ama kuwa na uliberali na uwazi uliopita kipimo ama desperation.

Na kama una nia nzuri, kwa nini uogope kutambulishwa??

Kama unataka kuchovya tu asali bila kuchonga mzinga, tafuta anayetaka hivyo pia, hatakusumbua kukutambulisha kopte ndani ya wiki.

Kitu cha msingi ni kutafuta mnayeendana. La sivyo mtaumizana.
 
ha ha ha.. kama kweli.. kuna mtu analalamika kamzingua suster du kwenye harusi. kesho yake tu kawekwa profile picture watsup my huby.. kaka zake demu na dada zake demu wote wamemjua plus marafiki wa sister du nao wanawish happy relation kwa profile pic ya shemeji yao...

jamaa alijutaaa



Hayo mapenzi ya whatsapp mimi yananikela hatari nilikuwa nae mmoja tukigombana tu anakimbilia kuweka profile kwenye whatsapp za uswahili...nikaona huyu bora nimpe likizo bila malipo aiseee
 
Teh teh...Wana hobby za ajabu ajabu hawa..Cha msingi ni kujitoa ufahamu tu na ww..Kuna mmoja aliniambia hobby yake ni kuteleza kwenye barafu..Jibaba nikachoka


Hahahahahahahahaha.....mkuu kaboom nafikiri ulikuwa kwenye mtihani mkubwa halafu wewe upo bongo na safari zimepigwa stop
 
Vitu vinavyochangia.

1. Kuanza mapenzi katika Umri Mdogo. Hii ndio tunaweza sema ni kubwa kuliko zote sababu mabinti wengi wanlkifika 20 anakuwa ameshatembea na wanaume hata kumi. Tayari alishaumizwa vya kutosha kwahiyo we mwanaume ndo uko chuo au umemaliza chuo au ndo umeanza kutoka kimaisha ndo unawaza sasa nawe uanze kutafta mpenzi. Kwahiyo kabla we hujamconfirm tayari ye ashajiconfirm maana yuko desperate kuolewa ashachoka.

2. Chereko ya TBC na vipindi vingine kama hivyo.

Yaan hili ni jipu kwa wadada maana wakiangalia hivi vipindi akili inaruka wanawaza kuolewa tu na kufunga ndoa ya kifahari. Kwahiyo hiyo ukijilengesha tu sijui nakupenda tayari anakuita we mchumba na anataka mfunge ndoa ili na yeye aonekane chereko. Ukimuuliza baada ya hapo maisha yatakuwaje, hajui chochote.

So wazazi wanawajibu wa kukaa na watoto wao toka wakiwa darasa la tatu kuanza kumfundisha maisha. Mzazi unakuta anamfundisha mtoto kukatika ekotite unategemea hapo akikua kitatokea nini. Baadae oooo watoto wa siku hizi, kumbe mzazi hujijui. Pumbafu kabisa
Jamaa unaakili sana. Clap clap
 
Back
Top Bottom