Ukitapeliwa usifanye haya. Ni janga!

Ukitapeliwa usifanye haya. Ni janga!

"Habari yako mzazi? Mwanao amezidiwa tupo nae hospitali, tafadhali wasiliana nami kwa namba hii........"
"Habari yako kijana, nafasi za jeshi zimetoka, nina nafasi 4 tu, kama bado unahitaji tuwasiliane kwa namba hii......"
 
Uko serious? Kuna mafala wamenitapeli 7m mwezi wa 5 huu sijawafanya kitu bado natafakari tu. Ila sijasamehe.
Kama uko serious mi napenda waokote makopo wote 3 mbwa wale.

Inaelekea hujakoma wewe, kwa sababu bado hujajifunza!
 
Ukiliwa wewe sio kila mtu ameliwa mzee baba, we kama umeliwa pambana usiliwe tena.
Usiinite mzee baba tena, hili jina siitwi na wamama, wasichana au wanawake it's deserved for gentlemen kuniita not everyone including in particular.
 
Na kwakuongezea hapo, ukishagundua umetapeliwa usianze kulia kwa sauti kubwa, kupiga mayowe na kugalagala chini. Sanasana hapo utawapa faida watu wengine watakaokua wanakuangalia na kufa mbavu kwa vicheko.

Mwisho kabisa ukitapeliwa usipoteze muda wako KWENDA POLISI!
Kwenda Polisi ni kujichoresha! Bora kujifungia ndani ulieeeeee! Then futa machozi, toka room uende ukasake mahela, maisha yanaendele
 
"Habari yako mzazi? Mwanao amezidiwa tupo nae hospitali, tafadhali wasiliana nami kwa namba hii........"
"Habari yako kijana, nafasi za jeshi zimetoka, nina nafasi 4 tu, kama bado unahitaji tuwasiliane kwa namba hii......"
Huu umburura wamekuja nao last week nikawatimua
 
Hii ya mwanao anaumwa niliwahi kutumiwa wakati mwenyewe sina mtoto nikaishia kuwasikitikia tu.

Siku nyingine nilitumiwa sms ninadaiwa hela ya kodi na mwenye nyumba nikaishia kucheka tu, wale watu wapuuzi kweli.

Utapeli niliofanyiwa ni kutolipwa hela yangu baada ya kuwakopesha panya fulani.
Huu umburura wamekuja nao last week nikawatimua
 
Juzi tuu kuna jamaa kani call ooh sijui nna wazungu wanataka vinyago so nataka utusaidie wewe uwe ndio kama mwenyeji wetu hapo daslam na bla bla nyiingi mara nikupe namba ya boss wangu uongee nae,.lol nilicheka kwa nguvu maana daah basi tuu halafu jamaa nikimuona namkumbuka fresh kabisaa kaka smart nini ana muonekano ila ndio hivyo tena,.naona ndio mishe zake mjini hizo.
Dah! Hadi kwenye vinyago tunapigwa tu!? Hatare!!
 
Kuna jamaa amenitapeli juzi buku 8 [emoji23] aniunge vocha [emoji23] babu ananilazimisha tumtoe kafara aje kuokota korosho[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] najiuliza nimwadabishe au[emoji39][emoji39]
 
Watoto wa mjini ndio wanaongozwa kwa kutapeliwa ila huwa wanakaa kimya ili wasionekane maboya.
Nalog off
 
Mpe adhabu ya kupata kwikwi 30 kila baada ya dakika moja
Kuna fala alinitapeli kahela kangu ka ufuta,... Sasa hivi anaokota makopo tu mitaani. Hapa nafikiria cha kufanya kuhusu alosepa na Korosho zangu
 
Back
Top Bottom