Ukitapeliwa usifanye haya. Ni janga!

Ukitapeliwa usifanye haya. Ni janga!

Ijumaa ya tarehe 10 mwezi huu, July 2020 nimepigwa Tshs 2,680,000 na watu wanaojifanya ni wafanyakazi wa NMB. Wanakupigia simu wanakwambia kuwa wanaboresha huduma za NMB mkononi application. Usiwape muda wa kuwasikiliza. Ni matapeli wakubwa aisee.
 
Ijumaa ya tarehe 10 mwezi huu, July 2020 nimepigwa Tshs 2,680,000 na watu wanaojifanya ni wafanyakazi wa NMB. Wanakupigia simu wanakwambia kuwa wanaboresha huduma za NMB mkononi application. Usiwape muda wa kuwasikiliza. Ni matapeli wakubwa aisee.
Pole sana unaweza kutuelezea walikupiga vipi ili nasi tunape kujua
 
Kuna fala alinitapeli kahela kangu ka ufuta,... Sasa hivi anaokota makopo tu mitaani. Hapa nafikiria cha kufanya kuhusu alosepa na Korosho zangu
Mkuu nina wangu aliniletea ujinga wa wizi wa M kama 5, nataka nimshughulikie kienyeji ila sijapata fundi, nikucheki inbox?
 
Somo zuri sana,
na 90% ukitapeliwa ujue imepita hiooo..
Wewe kajifungie ulie weeeee......

Watu tumetapeliwa 50M na korosho tumetulia zetu tuuu, wala hatumuendei kwa mganga...
Mi nimetapeliwa juzi tu mtu kulima nyanya nimetumia 7m hamna cha nyanya wala nini dah watu hawana huruma all in all Mungu ni mwema atakupa kwa stail ingine
 
Back
Top Bottom