Ukitaka usitekwe achana na yasiyokuhusu

Ukitaka usitekwe achana na yasiyokuhusu

Njia pekee ya kutotekwa na kuishi kwa amani ni kujitenga na mambo yasiyokuhusu.kila mtu akisimama kwa upande wake hamna atakayekuja kukuteka.wewe Kama NI mbunge simamia KERO za wananchi waliokuchagua.usitake kuingilia system nyingine kwani litakalokupata ni baya sana na halitasaidia chochote kwako na kwa wengine..Faida za kukaa kimya ni nyingi Kuliko za kubwabwaja
Hayo unayoyasema yasiyotuhusu ni taping Na yameandikwa wapi ili tuyasimamie kuepuka kutekwa
 
Njia pekee ya kutotekwa na kuishi kwa amani ni kujitenga na mambo yasiyokuhusu.kila mtu akisimama kwa upande wake hamna atakayekuja kukuteka.wewe Kama NI mbunge simamia KERO za wananchi waliokuchagua.usitake kuingilia system nyingine kwani litakalokupata ni baya sana na halitasaidia chochote kwako na kwa wengine..Faida za kukaa kimya ni nyingi Kuliko za kubwabwaja
hapo kwenye kero za wananchi, wananchi wa jimbo langu wanalalamika hawajapandishiwa mshahara kwa miaka 4 sasa.
una uhakika nikipaza sauti kwa maandamano non-stop kuhusu hilo linalonihusu kama muwakilishi wa wananchi sitotekwa???

Je, Akwelina alipigwa risasi kwasababu alifatilia yasiyomuhusu????
 
Njia pekee ya kutotekwa na kuishi kwa amani ni kujitenga na mambo yasiyokuhusu.kila mtu akisimama kwa upande wake hamna atakayekuja kukuteka.wewe Kama NI mbunge simamia KERO za wananchi waliokuchagua.usitake kuingilia system nyingine kwani litakalokupata ni baya sana na halitasaidia chochote kwako na kwa wengine..Faida za kukaa kimya ni nyingi Kuliko za kubwabwaja
Duh! Sikuawahi kujua Kama wewe mtoa mada ni mtu usiye na akili kiasi hiki!
 
Tulipigania uhuru mtukalishe kimya, ULAANIWE KAMA KWELI MUNGU YUPO

Njia pekee ya kutotekwa na kuishi kwa amani ni kujitenga na mambo yasiyokuhusu.kila mtu akisimama kwa upande wake hamna atakayekuja kukuteka.wewe Kama NI mbunge simamia KERO za wananchi waliokuchagua.usitake kuingilia system nyingine kwani litakalokupata ni baya sana na halitasaidia chochote kwako na kwa wengine..Faida za kukaa kimya ni nyingi Kuliko za kubwabwaja
 
Njia pekee ya kutotekwa na kuishi kwa amani ni kujitenga na mambo yasiyokuhusu.kila mtu akisimama kwa upande wake hamna atakayekuja kukuteka.wewe Kama NI mbunge simamia KERO za wananchi waliokuchagua.usitake kuingilia system nyingine kwani litakalokupata ni baya sana na halitasaidia chochote kwako na kwa wengine..Faida za kukaa kimya ni nyingi Kuliko za kubwabwaja
Kamwambie mamaako.
 
Njia pekee ya kutotekwa na kuishi kwa amani ni kujitenga na mambo yasiyokuhusu.kila mtu akisimama kwa upande wake hamna atakayekuja kukuteka.wewe Kama NI mbunge simamia KERO za wananchi waliokuchagua.usitake kuingilia system nyingine kwani litakalokupata ni baya sana na halitasaidia chochote kwako na kwa wengine..Faida za kukaa kimya ni nyingi Kuliko za kubwabwaja
Just because you do not take an interest in politics doesn't mean politics won't take an interest in you.” Pericles, 495-429 BCE.
 
Waliona haziwatoshi wakawateka na kuwapora pesa zao chungu nzima. Majizi na majambazi makubwa haya.

Mo Na yule wa mabasi tena ni makada haswaa kindakindaki Na chama wanasaidia kutoa Pesa zao.Je hawa kosa lao nn?
 
Njia pekee ya kutotekwa na kuishi kwa amani ni kujitenga na mambo yasiyokuhusu.kila mtu akisimama kwa upande wake hamna atakayekuja kukuteka.wewe Kama NI mbunge simamia KERO za wananchi waliokuchagua.usitake kuingilia system nyingine kwani litakalokupata ni baya sana na halitasaidia chochote kwako na kwa wengine..Faida za kukaa kimya ni nyingi Kuliko za kubwabwaja
Akili yako mbaya sana kwa taifa hili !!!. Si shangai wapo wanaoshabikia kupotezwa kwa baadhi ya waTz kisa tu furaha ya nafsi zao. Nchi hii ni ya wananchi wote. Wale mashabiki wa utawala na wale wa upinzani . Na hakuna mwenye uhalali wa kunyamazisha wengine. Siyo njia tulioichagua, na kama ndiyo tulioichagua basi tumepotea.

Washauri wawe na uzalendo kwa nchi yao badala ya kwa mtu binafsi . Walianza kwa kina Mawazo na wanaendelea na sijamsikia mtu hadharani akikemea jambo hili baya. Badala yake kuna lugha za kujihami na nyingine za vitisho. Kumbukeni yaliotokea CA kikundi kilichokuwa kikinyanyaswa kilipoamua kulipiza .
 
Njia pekee ya kutotekwa na kuishi kwa amani ni kujitenga na mambo yasiyokuhusu.kila mtu akisimama kwa upande wake hamna atakayekuja kukuteka.wewe Kama NI mbunge simamia KERO za wananchi waliokuchagua.usitake kuingilia system nyingine kwani litakalokupata ni baya sana na halitasaidia chochote kwako na kwa wengine..Faida za kukaa kimya ni nyingi Kuliko za kubwabwaja
Ivi mnalipwa kiasi gani kuhangaika na damu za watu?
 
Njia pekee ya kutotekwa na kuishi kwa amani ni kujitenga na mambo yasiyokuhusu.kila mtu akisimama kwa upande wake hamna atakayekuja kukuteka.wewe Kama NI mbunge simamia KERO za wananchi waliokuchagua.usitake kuingilia system nyingine kwani litakalokupata ni baya sana na halitasaidia chochote kwako na kwa wengine..Faida za kukaa kimya ni nyingi Kuliko za kubwabwaja
lNi mjinga na mpumbavu tu anaweza kuwaza kama wewe; na Ni Mjinga na mpumbavu tu anayeweza kufuata ushauri wako huu!!!!
 
Waliona haziwatoshi wakawateka na kuwapora pesa zao chungu nzima. Majizi na majambazi makubwa haya.

Hata wao walidhani wako Salama awana hamu.Shetani hana rafiki.Bado wabangua korosho inatakiwa nao walimie meno labda watakuwa Na akili
 
hapo kwenye kero za wananchi, wananchi wa jimbo langu wanalalamika hawajapandishiwa mshahara kwa miaka 4 sasa.
una uhakika nikipaza sauti kwa maandamano non-stop kuhusu hilo linalonihusu kama muwakilishi wa wananchi sitotekwa???

Je, Akwelina alipigwa risasi kwasababu alifatilia yasiyomuhusu????
"Daudi Mchambuzi," Wananchi wa Kijiji changu wanadai ahadi yao ya shs. 50,000,000/- walizoahidiwa Mwaka 2015 hadi sasa hawajapata na hawajui wamuulize Nani. Wananihimiza niongoze maandamano kwenda wilayani kumuuliza DC. Nami nimewaambia wasubiri hadi ziara ya Rais Magufuli ifike wilayani ndipo waibuke na mabango mkutanoni.
 
Njia pekee ya kutotekwa na kuishi kwa amani ni kujitenga na mambo yasiyokuhusu.kila mtu akisimama kwa upande wake hamna atakayekuja kukuteka.wewe Kama NI mbunge simamia KERO za wananchi waliokuchagua.usitake kuingilia system nyingine kwani litakalokupata ni baya sana na halitasaidia chochote kwako na kwa wengine..Faida za kukaa kimya ni nyingi Kuliko za kubwabwaja
Amini nakwambia siyo kweli!. Nauye kwa mfano aongelee issues za korosho kisha abaki salama??.....kama unadhani kukaa kimya ndo salama basi wajidanganya, utakuja kuguswa kwa namna tofauti kabisa na ulivyo dhani/tarajia, wanao furukuta kidogo ndo walio kutengenezea hako ka usalama unako dhani ukimya ndo chanzo chake.
 
Back
Top Bottom