Ukitaka usitekwe achana na yasiyokuhusu

Ukitaka usitekwe achana na yasiyokuhusu

Njia pekee ya kutotekwa na kuishi kwa amani ni kujitenga na mambo yasiyokuhusu.kila mtu akisimama kwa upande wake hamna atakayekuja kukuteka.wewe Kama NI mbunge simamia KERO za wananchi waliokuchagua.usitake kuingilia system nyingine kwani litakalokupata ni baya sana na halitasaidia chochote kwako na kwa wengine..Faida za kukaa kimya ni nyingi Kuliko za kubwabwaja
Takataka
 
Vipi ikitokea mtetezi wa wanyonge apige marufuku utekaji Kwa kuwaambia siku akitekwa au kupotea MTU ndani ya mkoa wako kuanzia RPC, RC Na kamati yote ya ulinzi nayo ipotoleee huko huko yaani wakamatwe wakapotelee ndani je atatekwa MTU hapo?
 
Njia pekee ya kutotekwa na kuishi kwa amani ni kujitenga na mambo yasiyokuhusu.kila mtu akisimama kwa upande wake hamna atakayekuja kukuteka.wewe Kama NI mbunge simamia KERO za wananchi waliokuchagua.usitake kuingilia system nyingine kwani litakalokupata ni baya sana na halitasaidia chochote kwako na kwa wengine..Faida za kukaa kimya ni nyingi Kuliko za kubwabwaja
Acha upumbavu ndege john, usijitie wendawazimu!
 
Njia pekee ya kutotekwa na kuishi kwa amani ni kujitenga na mambo yasiyokuhusu.kila mtu akisimama kwa upande wake hamna atakayekuja kukuteka.wewe Kama NI mbunge simamia KERO za wananchi waliokuchagua.usitake kuingilia system nyingine kwani litakalokupata ni baya sana na halitasaidia chochote kwako na kwa wengine..Faida za kukaa kimya ni nyingi Kuliko za kubwabwaja
Of coz lakini nafikiri ubongo wako umesahahu kuwa hakuna binaadamu asie husika na maisha ya kila siku katika maeneo yote ya Kiuchumi, Kisiasa na Kijamii

Pole Ndg. Ni woga tu wa kupokwa madaraka ndio unawasumbua na waongeaji Kama wewe Basi utakuta ananeemeka kwa namna moja au nyingine na udhalimu unaondelea
 
Njia pekee ya kutotekwa na kuishi kwa amani ni kujitenga na mambo yasiyokuhusu.kila mtu akisimama kwa upande wake hamna atakayekuja kukuteka.wewe Kama NI mbunge simamia KERO za wananchi waliokuchagua.usitake kuingilia system nyingine kwani litakalokupata ni baya sana na halitasaidia chochote kwako na kwa wengine..Faida za kukaa kimya ni nyingi Kuliko za kubwabwaja
zamu ya Bashite na vikaragosi vyake inakuja post October 2020.
mimi ningekuwa ndiye wewe ningeanza mapema kujipanga kwa mbizi kwenda Comoros au Seychelles yasinikute ya kunikuta!
 
zamu ya Bashite na vikaragosi vyake inakuja post October 2020.
mimi ningekuwa ndiye wewe ningeanza mapema kujipanga kwa mbizi kwenda Comoros au Seychelles yasinikute ya kunikuta!
Unaota
 
Kwa hiyo mkiteka watu na kuwauwa ndio uchumi utapaa na wananchi watakuwa na maisha mazuri?
 
Nikiambiwa kama wewe ulizaliwa kwa kupitia tundu ya nyuma basi nitaamini! Mimi siku ambayo familia ya waliotekwa wakiamuwa kutetea haki zao nitawaunga mkono 100%.
 
Njia ya kuwauwa wapinzani haijawahi kufanikiwa nchi yoyote. Wana haki ya kupaza sauti ili serikali ijue madudu yake. Bila upinzani
Imara nchi haiwezi kuwa na maendeleo.
 
Acheni Tabia za utoto wa kiutuuzima
Njia pekee ya kutotekwa na kuishi kwa amani ni kujitenga na mambo yasiyokuhusu.kila mtu akisimama kwa upande wake hamna atakayekuja kukuteka.wewe Kama NI mbunge simamia KERO za wananchi waliokuchagua.usitake kuingilia system nyingine kwani litakalokupata ni baya sana na halitasaidia chochote kwako na kwa wengine..Faida za kukaa kimya ni nyingi Kuliko za kubwabwaja
 
Njia pekee ya kutotekwa na kuishi kwa amani ni kujitenga na mambo yasiyokuhusu.kila mtu akisimama kwa upande wake hamna atakayekuja kukuteka.wewe Kama NI mbunge simamia KERO za wananchi waliokuchagua.usitake kuingilia system nyingine kwani litakalokupata ni baya sana na halitasaidia chochote kwako na kwa wengine..Faida za kukaa kimya ni nyingi Kuliko za kubwabwaja

Samahani Mr. Poyoyo, iv Moh aliingilia yapi yasiyomuhusu??
 
Njia pekee ya kutotekwa na kuishi kwa amani ni kujitenga na mambo yasiyokuhusu.kila mtu akisimama kwa upande wake hamna atakayekuja kukuteka.wewe Kama NI mbunge simamia KERO za wananchi waliokuchagua.usitake kuingilia system nyingine kwani litakalokupata ni baya sana na halitasaidia chochote kwako na kwa wengine..Faida za kukaa kimya ni nyingi Kuliko za kubwabwaja

We na MO Dewji Nani anakaa kimya!!? Lakini mlimteka tena aliyetekwa anakuwa na Amani Zaidi sababu amethubutu kusema wengine tunatamani tutekwe sababu tutauliZwa na kuadhibiwa siku ya kiama. Kwa muislam kukaa kimya ni sawa na dhambi nyingine. How long shall we seat aside and look, mkitapanya uchumi, amani na Uhuru wa hata wachache.
 
Njia pekee ya kutotekwa na kuishi kwa amani ni kujitenga na mambo yasiyokuhusu.kila mtu akisimama kwa upande wake hamna atakayekuja kukuteka.wewe Kama NI mbunge simamia KERO za wananchi waliokuchagua.usitake kuingilia system nyingine kwani litakalokupata ni baya sana na halitasaidia chochote kwako na kwa wengine..Faida za kukaa kimya ni nyingi Kuliko za kubwabwaja

Mjinga akili zako ni za kitoto sana! wewe bado mfanyakazi/mwajiriwa usiye na matumaini hata ya kumiliki meza ya kuuza nyanya sokoni kihalali siku shoga zako wakikufukuza hata kwenye hiyo kazi inayokufanya ujambe hovyo!
Halafu Inawezekana kabisa hata sheria na kanuni unazowapangia mkeo na watoto wako zikawa za kipumba.vu vile vile!! Mwenye akili huwezi kubeza watu wanaopigania haki ya nchi hii kwa kalamu tu wanatekwa na kuuawa hovyo kama nguruwe pori. Au kisa kwa sababu umeridhika na buku saba basi unafikiri sie sote mazwazwa?
Lets do it this way!!...Kwa sababu zangu tu za ki-paka shume nitie team nyumbani kwako usiku mmoja navamia nichukue mkeo au mwanao mmoja wa kike kibabe na mashine full magazine halafu ukileta mdomo na purukushani za kijinga nakupa kichapo/vitasa vya kutosha kama mtoto mbele ya mkeo na watoto halafu natoweka na mmoja wao kusikojulikana....How about that?

Baada ya hapo mtoto wa kiume huwezi kuja hapa kucheka cheka na kuandika ulichoandika!
Nyie watu wengine mnaijaza dunia kimakosa sana pumba.vu nyie!
 
Chadema wanatekana wao kwa wao kugombea uenyekiti

Na wewe umeamua kujitoa akili kama (dege la machinjioni) ndege JOHN au? Mwenzio tumemshughulikia kakimbia na wewe nyoosha kidole tu jifanye kama unajikuna utaelewa tu! Watu wanaharibu amani ya nchi nyie mnaleta mizaha kama wanawake wauza miili mabarabarani!! Ebo!
 
Back
Top Bottom