Chagga King
JF-Expert Member
- Jul 6, 2011
- 1,931
- 1,178
Nimebahatika kutembelea sehemu mbali mbali zenye makabila tofauti Tanzania; Nimejitahidi kuwa mchunguzi kwa kushuhudia na kuongea na ndugu, jamaa na marafiki walio katika ndoa!Nimegundua wanaume wengi waliooa kabila la kipare wanfuraha sana ndani ya ndoa zao.
Sifa kubwa zilizosemwa na wanandoa hawa wa kiume wa makabila toka kusini mpaka kaskazini, mashariki mpaka magharibi ni kama zifuatazo:
1. Wanawake wa kipare wanamheshimu sana mume na ni waaminifu sana
2. Sio wepesi wa hasira na hawana visasi
2. Wanawake wa kipare ni wakarimu sana kwa wageni wa pande zote mbili kwao na ukweni, na hata kwa marafiki!
4.Wanawake wa kipare wanajua sana kulea watoto katika maadili mema
5.Ni wachapakazi sana
Hizi ndizo sifa nilizoweza kuzifupisha kutokana na udadisi wangu.
HONGERA WAPARE, NATAMANI NINGEKUWA SIJAOA HUYU MCHAGA
WANGU!NINGEENDA UPARENI!
[/QUO
...ugonjwa ulionao unaitwa "kumchoka mkeo" Na dalili zake Ni kusifia wake za watu, kumkosoa mkeo Mara kwa Mara, kuwa Na mada Kama hizi, Na said Ni kuchepuka...bro where have u been to decide since u wanted to be married.
Kati ya kabila ambalo usithubutu kuoa ni hilo hapo:
1.Ni wafitini sana na wenye majungu wasiotaka maendeleo
2.Wanapenda sana ushirikina kupita kiasi na ushahidi ninao kwa wanawake zaidi ya kumi
3.Ukioa huko wakwe wanahamia kwako wote kule kwao wanahama
4.Hawapatani na majiran hata watendewe wema vipi
5.Wanapenda sana chini a.k.a michepuko
USHAURI: Usithubutu kukutwa utajuta maisha yako;;;;;;;;;;;;;
Nadhani hizo sifa zilizotolewa na MTENDAHAKI ni kinyume......
'Blaza' eee ondoa shaka hwa ni majirani kabisa, mmoja Mchaga mwingine Mpare. Leta maneno sasa.Hivi Evelyn Salt ni kabila gani? na Mafikizolo ni kabila gani? nawapenda sana hawa wanawake. ninaandaa mipango mizuri juu yao!! :wave::smile-big:
Nimebahatika kutembelea sehemu mbali mbali zenye makabila tofauti Tanzania; Nimejitahidi kuwa mchunguzi kwa kushuhudia na kuongea na ndugu, jamaa na marafiki walio katika ndoa!Nimegundua wanaume wengi waliooa kabila la kipare wanfuraha sana ndani ya ndoa zao.
Sifa kubwa zilizosemwa na wanandoa hawa wa kiume wa makabila toka kusini mpaka kaskazini, mashariki mpaka magharibi ni kama zifuatazo:
1. Wanawake wa kipare wanamheshimu sana mume na ni waaminifu sana
2. Sio wepesi wa hasira na hawana visasi
2. Wanawake wa kipare ni wakarimu sana kwa wageni wa pande zote mbili kwao na ukweni, na hata kwa marafiki!
4.Wanawake wa kipare wanajua sana kulea watoto katika maadili mema
5.Ni wachapakazi sana
Hizi ndizo sifa nilizoweza kuzifupisha kutokana na udadisi wangu.
HONGERA WAPARE, NATAMANI NINGEKUWA SIJAOA HUYU MCHAGA
WANGU!NINGEENDA UPARENI!
'Blaza' eee ondoa shaka hwa ni majirani kabisa, mmoja Mchaga mwingine Mpare. Leta maneno sasa.
Oa mpare at your own risk! Mi nilioa mpare na ninajuta Mungu tu ndio anayejua jiasi gani cha majuto. Haniheshimu kama mume, anataka anikalie, anaendekeza mambo ya kwao tu na ndugu zake, n.k. Hizo sifa ulizotaja hapo juu wapare hawana, trust me. Oa mhehe, mi nlikua na gf wa kihehe, full heshima sema tu tamaa ikafanya nikamuacha na kwenda kwa hili lipare.
Mmmmh, hii research inabidi tuinundie kamati ya uchunguzi.
tha wa mlala wenyu.
Hapo penye red ndo makabila mengi yameshindwa mkuu!Hapo mbele umeniongezea uelewakumvumilia mwanaume ktk shida na raha lakini Once hela ikipatikana utaziona tru colors!, wepesi kuvua ile nguo ya ndani, ubahili.. The list is infinity........
Pole mkuu, hayo uliyoniambia hapo ni nyongeza ya ufahamu wangu!nadhani kama unayosema ni kweli basi hawa ndugu nilowauliza wamenipotosha!LAKINI kwa ukarimu, AMINI NAKWAMBIA HAWA WATU NI WAKARIMU SANAOa mpare at your own risk! Mi nilioa mpare na ninajuta Mungu tu ndio anayejua jiasi gani cha majuto. Haniheshimu kama mume, anataka anikalie, anaendekeza mambo ya kwao tu na ndugu zake, n.k. Hizo sifa ulizotaja hapo juu wapare hawana, trust me. Oa mhehe, mi nlikua na gf wa kihehe, full heshima sema tu tamaa ikafanya nikamuacha na kwenda kwa hili lipare.
Kama ya Twaweza tu....
Samaki mmoja akioza haina maana wote wameoza.
acha kuropoka kiongozi, haikusaidii. Nenda upareni fanya sensa. Katika jamii zilizoumizwa na ngoma wala hatumo kivile.