Ukitaka mke au mume wa ndoa, tafuta Msafwa

Ukitaka mke au mume wa ndoa, tafuta Msafwa

Wanyiha usithubutu maana wengi ni washirikina
Navyojua kila kabila washirikina wapo ila hao wanyiha unaowasemea wewe labda wale vilaza ambao hawajaenda shule na wanaoishi vijijini, mi gf wangu mnyiha na hana shida adabu ipo A+ na anajua wajibu wake katika kila nyanja,she is very promising hata kuwa mke!
 
loooh mwanaume muongo wew, nimesoma nao pale loleza girls wanagawa ka pipikijiti siku za likizo na lile jibaridi la pale sasa..
 
Wanyiha wapo fresh sana, wastaarabu mno sio vicheche ila wana wivu mno...kwa matumizi ya mke ni OK ila kwa umalaya tu utapata dhambi bure msela!
Hapana sitaki kuwaletea umalaya. Mimi ni kijana nileyetulia na nisiyependa kabisa ukicheche.
 
Navyojua kila kabila washirikina wapo ila hao wanyiha unaowasemea wewe labda wale vilaza ambao hawajaenda shule na wanaoishi vijijini, mi gf wangu mnyiha na hana shida adabu ipo A+ na anajua wajibu wake katika kila nyanja,she is very promising hata kuwa mke!
Hongera sana. Siku ukimuacha namuomba mm. Nimevutiwa sana na hizo sifa,

Upo sehemu gani kwanza
 
Hongera sana. Siku ukimuacha namuomba mm. Nimevutiwa sana na hizo sifa,
Upo sehemu gani kwanza
Nipo DSM now, kumuacha labda nipate jembe zaidi but so far ana mbegu nzuri na upstairs ni kwere!
 
Mkuu Juvenile kabila haliolewi anaolewa mtu. Sidhani kama kabila ni sifa kubwa katika kupata mke ama mume. labda kama unawapigia debe wasafwa. Binafsi ninawafahamu sana wasafa na nimeishi nao kwa muda mrefu sana, sifa ulizowapa hazi-apply kwa wote automatically. NO. hizo hutokea on indiviual basis.

Na ili uone kuwa nawafahamu vizuri naongezea hayo yalielezwa na mkuu Shemtibuko hapo juu. sehemu nyingine walipo wasafwa ni Uyole, Mbalizi, Igoma, Ilungu, Ilomba, Ntangano, Nsongwi, Mantanji, Inyala, Kawetele, Iduda n.k. na majina yao ya asili ni kama (kwa wanaume)Shungu, Mbwiga, Ndele, Nzunye, Mwava(kwa wanawake) Tabu, shimba, Nzoho, Ilongo ama Yilongo, Shaali, Mbozyo, Mwisyo, Shoogoo.
Majina yao nimeyapenda Mkuu
 
Tatizo wengi wafupi mno yaani ni ndi ndi ndi.

Halafu weusiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.

Sie tunaopenda white chicks zinazong'aa kama taa ya power saver tunapata tabu sana.
Haaaaa kumbe urefu Ndo kugezo cha kuoa. Sawa asante bro kwa kunielimisha
 
Shida kubwa ya wanawake wa makabila ya mbeya ni rangi na shape. Wana rangi nyeusi sana, ukiona kang'aa ujue mkorogo. Na shape zao kama tuta la viazi.

Sasa hao wasafwa na ufupi juu. Ndiyo maana waaminifu kwenye mahusiano.

Na kwa kawaida wanawake wabaya wa shape na sura ndiyo waaminifu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom