Zack Abdul
JF-Expert Member
- Mar 9, 2026
- 636
- 570
Kuna watu ambao hawakudhuru wao wenyewe, lakini wanafurahi kwa siri pindi wengine wanapokudhuru. Hawakushambulii, lakini hufurahia anapokushambulia mtu mwingine. Baadhi ya watu wenye chuki na uadui hawana ujasiri wa kukabiliana nawe moja kwa moja.✍️