Ukisikia neno siri unaelewa nini?

Ukisikia neno siri unaelewa nini?

😅🤣🤣 aisee !
Sasa nifanyaje mkuu, nikimwambia acha habari zako anaingiwa unyonge, ya nini kutiana unyonge kwa vitu vidogo... na anajua sipendi ila hana namna, atakaa siku 2,3 lakini atakwambia tu... 🤣😂
 
🤣🤣🤣 we leo una nini
Upiemugi ndio wapi huko tandahimba au 😅😅😅
Screenshot 2026-07-07 043304.png


Kwa hiko kibahasha 😛 😛 😎
 
Hahahaha u too philosophical ujue!
Serious?
Mimi kuishia darasa la saba na leo naonekana mtu wa philosophy

Hii ni kubwa sana ningefika elimu ya juu naona ningekua na impact aisee

Thank you bro 🙏☺️
 
Serious?
Mimi kuishia darasa la saba na leo naonekana mtu wa philosophy

Hii ni kubwa sana ningefika elimu ya juu naona ningekua na impact aisee

Thank you bro 🙏☺️

Utakua hujijui au hujitambui labda! Madarasa has nothing to do with ya mental power, unajua posts zako zinahitaji mtu awe kashiba kuzielewa? Acha kuchangia, yani kwa jf ya kisasa unatengeneza niche ya wachache sana wanaokuelewa ujue! Km ndio la saba hili basi unatisha! Una kitu cha ziada for sure...
 
Utakua hujijui au hujitambui labda! Madarasa has nothing to do with ya mental power, unajua posts zako zinahitaji mtu awe kashiba kuzielewa? Acha kuchangia, yani kwa jf ya kisasa unatengeneza niche ya wachache sana wanaokuelewa ujue! Km ndio la saba hili basi unatisha! Una kitu cha ziada for sure...
Nashukuru sana mkuu
Napokea pongezi hizi nzuri kutoka kwako

Pongezi kama hizi zikitoka kwa mtu kama wewe hua inapendeza na inavutia sana ☺️

Karibu tuendelee kuifurahia JF
Na kutag sehemu moja wa mwisho kwa leo right?
 
Nashukuru sana mkuu
Napokea pongezi hizi nzuri kutoka kwako

Pongezi kama hizi zikitoka kwa mtu kama wewe hua inapendeza na inavutia sana ☺️

Karibu tuendelee kuifurahia JF
Na kutag sehemu moja wa mwisho kwa leo right?

Sometimes naloa yani, ndo shida 😛

Ndio upiemugi pia unajua kuna wakati unakutana na malaika hata hujui then ukiangalia kwa makini ndio unagundua kumbe huyu ni Rafaeli au Gabrieli au Fanueli
 
Sometimes naloa yani, ndo shida 😛

Ndio upiemugi pia unajua kuna wakati unakutana na malaika hata hujui then ukiangalia kwa makini ndio unagundua kumbe huyu ni Rafaeli au Gabrieli au Fanueli

Piemu sio siri ujua kwa definition ya uzi huu lakini!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom