Given Edward
JF-Expert Member
- Jan 11, 2011
- 850
- 202
Katika shule fulani ya kishua ya ghorofa 5 hivi ilitokea katika darasa la juu kabisa mwalimu alimtuma mwanafunzi mmoja akamchukulie chaki chini kwenye ground floor. Hasa wakati amebakisha ngazi nne kufika chini ile anataka kukunja tu anasikia sauti inasema "UKISHUKA NAKUMEZA". Jamaa kila akijikaza kwenda sauti ndio inazidi "UKISHUKA NAKUMEZA".
Mwisho wa siku akamfuata mwalimu na kumwambia kuna mtu anataka kummeza. Wakabebana na mwalimu wake hadi ile sehemu."MKISHUKA NAWAMEZA". Mwalimu akajiuliza amejuaje tuka wawili bila kutuangalia? Mwalimu woga ukamjaa balaa kwa vile shule imeingiliwa na jambazi linaloua watu. Akapiga simu polisi na baada ya dk 15 polisi wakaja na FFU ndani wakiwa wamechafuka bunduki na risasi. Wakapanda mpaka ile sehemu wakajipa ujasiri wakatokea mbele ya yule jamaa na mibunduki yao.
Cha ajabu wakakuta kumbe ni chizi anaongea na makamasi yake. Pale mara ya kwanza lilikuwa kutoka tundu moja hivyo akawa anasema "UKISHUKA NAKUMEZA" halafu baadaye wakati na mwalimu anakuja ikawa matundu yote mawili ndo akawa anasema "MKISHUKA NAWAMEZA".
Mwisho wa siku akamfuata mwalimu na kumwambia kuna mtu anataka kummeza. Wakabebana na mwalimu wake hadi ile sehemu."MKISHUKA NAWAMEZA". Mwalimu akajiuliza amejuaje tuka wawili bila kutuangalia? Mwalimu woga ukamjaa balaa kwa vile shule imeingiliwa na jambazi linaloua watu. Akapiga simu polisi na baada ya dk 15 polisi wakaja na FFU ndani wakiwa wamechafuka bunduki na risasi. Wakapanda mpaka ile sehemu wakajipa ujasiri wakatokea mbele ya yule jamaa na mibunduki yao.
Cha ajabu wakakuta kumbe ni chizi anaongea na makamasi yake. Pale mara ya kwanza lilikuwa kutoka tundu moja hivyo akawa anasema "UKISHUKA NAKUMEZA" halafu baadaye wakati na mwalimu anakuja ikawa matundu yote mawili ndo akawa anasema "MKISHUKA NAWAMEZA".