steve_shemej
JF-Expert Member
- Nov 26, 2015
- 1,092
- 1,433
Jaman kuna jambo tunapaswa kulitambua kuhusu maisha
usiku syo muda wa kufanya mapenzi ni mda wa kufikilia kupata pesa kusudi ukiamka hasubui njia uzifanyie kazi
ila sisi wabongo hatujui hilo ushauli wangu TUMIA USIKU KUWAZA MAENDELEO NA SYO KUFANYA MAPENZI
usiku syo muda wa kufanya mapenzi ni mda wa kufikilia kupata pesa kusudi ukiamka hasubui njia uzifanyie kazi
ila sisi wabongo hatujui hilo ushauli wangu TUMIA USIKU KUWAZA MAENDELEO NA SYO KUFANYA MAPENZI