Ukishindwa kupata njia za kupata pesa ukiwa umelala ujue utafanya kazi mpaka unakufa

steve_shemej

JF-Expert Member
Nov 26, 2015
1,092
1,433
Jaman kuna jambo tunapaswa kulitambua kuhusu maisha

usiku syo muda wa kufanya mapenzi ni mda wa kufikilia kupata pesa kusudi ukiamka hasubui njia uzifanyie kazi

ila sisi wabongo hatujui hilo ushauli wangu TUMIA USIKU KUWAZA MAENDELEO NA SYO KUFANYA MAPENZI
 
SWAHIBA TUKIFIKIRIA PESA TU TUTAZAANA VIPI???HIZO PESA UNAMTAFUTIA NANI SASA KAMA HUTAFUTI WATOTO!!!!WATOTO WANAPATIKANA VIPI SASA KAMA HUFANYI MAPENZI.BAADA YA KAZI UNABURUDIKA NA MAPENZI PESA ZIPO TU
 

Similar Discussions

3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom