Ukishazoea kushi na mwanamke ni ngumu sana kumudu maisha ya Ubachela

Tatizo ni Yale mazoea ya mguu umekaa vibaya umeweka!!,baridi kidogo umeweka!!,joto kidogo umeoga umeweka!!....
Ngono ndio inachochea kukumbuka Malaya kiboya
 
Natumia nguvu nyingi sana nisimoigie yule mwanamke ila sijui kama ntafanikiwa, Upweke ni jambo ngumu sana
Nilipitia hiyo hali, ila kwasasa imeisha kabisa na kuisahau.

USHAURI: Hauko busy enough, cha kufayana zidisha muda wa kazi, chosha sana mwili na makazi huko nje ukirudi gheto iwe ni kulala tu.

Huku ukifanya hayo Panga pisi ingine huko nje, ikikubali vuta ndani ishi nayo, usirudi nyuma kumshawishi arudi au kumtafuta kivyovyote vile UTAHARIBU ZAIDI, hawa viumbe wakishajijengea fikra na mawazo kwamba unampenda sana au hauwezi kuishi bila yeye hakuna rangi utaacha kuiona.
 
Screenshot_20240209-220924.png
 
Ni kweli ndugu yangu.
Nikikumbuka tunavyochezaga karata na kuwa na evening walk basi najihisi mkiwa napo nikasafiri tu kidogo lakini kwanzia saa kumi na mbili jion unyonge unajisogeza karibu sijui nikipigwa kibuti itakuwaje jamani.

Naombeni mnifungie 3dry mlima sayuni hizi sio akili zangu ndugu wananchi wa tizediei
 
Ni kweli ndugu yangu.
Nikikumbuka tunavyochezaga karata na kuwa na evening walk basi najihisi mkiwa napo nikasafiri tu kidogo lakini kwanzia saa kumi na mbili jion unyonge unajisogeza karibu sijui nikipigwa kibuti itakuwaje jamani.

Naombeni mnifungie 3dry mlima sayuni hizi sio akili zangu ndugu wananchi wa tizediei
linakulia timing tu..😀
 
Karibu ubachelani utazoea tu utakua kama sisi mi kitu nachowaza hapa ni siwezi kulala bila kuchemsha chai bila kunywa chai usingizi sipati.

Mawazo ya mapenzi yako mbali sana
 
Back
Top Bottom