Labda uhamie shamba mkoani 🐒Natumia nguvu nyingi sana nisimoigie yule mwanamke ila sijui kama ntafanikiwa, Upweke ni jambo ngumu sana
Nilipitia hiyo hali, ila kwasasa imeisha kabisa na kuisahau.Natumia nguvu nyingi sana nisimoigie yule mwanamke ila sijui kama ntafanikiwa, Upweke ni jambo ngumu sana
😳huyo mwanamke wa kumweka hivyo muda wote ulimtoa wapi Mkuu?Tatizo ni Yale mazoea ya mguu umekaa vibaya umeweka!!,baridi kidogo umeweka!!,joto kidogo umeoga umeweka!!....
Ngono ndio inachochea kukumbuka Malaya kiboya
Shida jamaa hajamuelewa mtoa mada ambae anasumbuliwa na upweke sio ngono.😳huyo mwanamke wa kumweka hivyo muda wote ulimtoa wapi Mkuu?
🤣🤣🤣🤣🥴yeye kawaza kutumbukiza tuShida jamaa hajamuelewa mtoa mada ambae anasumbuliwa na upweke sio ngono.
linakulia timing tu..😀Ni kweli ndugu yangu.
Nikikumbuka tunavyochezaga karata na kuwa na evening walk basi najihisi mkiwa napo nikasafiri tu kidogo lakini kwanzia saa kumi na mbili jion unyonge unajisogeza karibu sijui nikipigwa kibuti itakuwaje jamani.
Naombeni mnifungie 3dry mlima sayuni hizi sio akili zangu ndugu wananchi wa tizediei
Aliyeuziwa cheni ya bandia,kapewa hela ya bandia😁😁unyama ni mwingi blazalinakulia timing tu..😀
kivumbi kitakapoanza mi nitaziba masikio nione watu wanavyotusuana vizazi..😅Aliyeuziwa cheni ya bandia,kapewa hela ya bandia😁😁unyama ni mwingi blaza
Vızazi vilishaanza kutusuana mapema sana Adam na Eva walipofukuzwa katika bustani ya Eden.kivumbi kitakapoanza mi nitaziba masikio nione watu wanavyotusuana vizazi..😅
haya nikutakie sikukuu njema ya majivu..😀Vızazi vilishaanza kutusuana mapema sana Adam na Eva walipofukuzwa katika bustani ya Eden.
Hallelujah