Natamani nirudi utotoni uje unifundishe🤣🤣🤣🤣🙌
Sio mkuu wa shule tu hata afisa elimu kata wao na wa wilaya wote watasanda sijui wanalishwaga nini huko vyuoni ni waoga vibayaKuna jamaa alisema ukitaka kujua walimu ni waoga we tafuta landcruiser hardtop tafuta na marafiki zako wanne mvae suti alafu vamia shule yoyote unaweza kumpiga mkwara mkuu wa shule lisaa lizima bila kukuuliza we ni nani
Nafikiri shida kubwa inaanzia kwenye wizi wa kura...nawaza kwa sautiYaan ufanye Kaz ya kumtoa kamasi,kumlinda,kumpa elimu na malezi stahiki....lakini akipata ufahamu kupitia wewe mwenyewe ageuke aanze kukuona mjinga,fala,maskini....
Okee okee,sawa mie ni maskini,Nina tabu na maisha...lakini je huwezi shukuru pamoja na umaskini wangu bado niliweza kukufungua hilo lifuvu? Kwani kumshukuru mtu inagharimu bei gani?
Haya sawa,twala dagaa na ugali,kwanini usumbuke na maisha yetu ambayo hayakuharibii cheo chako Wala kukuharibia future yako.Ifikie hatua tujifunze kumweshimu mtu na hali aliyonayo hatakama umemzidi Sana.Yaan tuache kushughulika na maisha ya mtu ambaye huna msaada nae.
Hivi walimu sijui tuliwakosea nini eti nyie nyumbu?🥴🤭
Hapana hamdharauliwi, ila mmekuwa walaini sana, CCM inawategemea nyie, ila ikipata mnasahaulika, umesahau mwenda zake hakuwaongeza hata mshahara,madaraja mkabaki pale pale lakini pamoja na yote hayo ni nyie wenyewe mkawa mnaimba nyimbo za kumsifu kwenye uchaguzi ni nyie wenyewe huwa mnaguhusika kuiba kura, tunajiuliza imekuaje? Walimu mnaofundisha ujasiri, iweje nyie hamna ujasiri? mnafundisha Haki na kupigania haki iweje haki zenu hamzipiganii? yaani mwalimu pamoja na kusoma kwake na umahiri wake anaweza kuchapwa fimbo na mkuu wa wilaya ambaye ana kadigrii kamoja What went wrong? Mwalimu aliyekuwa anaheshimika mtaani leo haeshimiki tena nini kimewakuta walimu?????? kuna mwalimu alijitahidi kumvimbia mpaka Raisi lakini angalieni walimu mlivyomsemaYaan ufanye Kaz ya kumtoa kamasi,kumlinda,kumpa elimu na malezi stahiki....lakini akipata ufahamu kupitia wewe mwenyewe ageuke aanze kukuona mjinga,fala,maskini....
Okee okee,sawa mie ni maskini,Nina tabu na maisha...lakini je huwezi shukuru pamoja na umaskini wangu bado niliweza kukufungua hilo lifuvu? Kwani kumshukuru mtu inagharimu bei gani?
Haya sawa,twala dagaa na ugali,kwanini usumbuke na maisha yetu ambayo hayakuharibii cheo chako Wala kukuharibia future yako.Ifikie hatua tujifunze kumweshimu mtu na hali aliyonayo hatakama umemzidi Sana.Yaan tuache kushughulika na maisha ya mtu ambaye huna msaada nae.
Hivi walimu sijui tuliwakosea nini eti nyie nyumbu?🥴🤭
ila hongereni,,wabunge wanatokea kwenu huko❤️🤣🤣🤣🤣 Yaan hii kazi ni balaa🥴
🤣🤣🤣🤣 Hii kazi yahitaji moyo Ila tunashukuru tunalea watoto mamyNina rafiki yangu nI mwalimu serikalini jana alikuwa anaenda shule Saa tatu ,nikamwambia mbona umechelewa job hivyo ,akanijibu "kwa kazi ipi haswa ,kazi yenyewe stress tupu Mishahara yenyewe zero" Nawahi nini
Inasikitisha Sana😓Hapana hamdharauliwi, ila mmekuwa walaini sana, CCM inawategemea nyie, ila ikipata mnasahaulika, umesahau mwenda zake hakuwaongeza hata mshahara,madaraja mkabaki pale pale lakini pamoja na yote hayo ni nyie wenyewe mkawa mnaimba nyimbo za kumsifu kwenye uchaguzi ni nyie wenyewe huwa mnaguhusika kuiba kura, tunajiuliza imekuaje? Walimu mnaofundisha ujasiri, iweje nyie hamna ujasiri? mnafundisha Haki na kupigania haki iweje haki zenu hamzipiganii? yaani mwalimu pamoja na kusoma kwake na umahiri wake anaweza kuchapwa fimbo na mkuu wa wilaya ambaye ana kadigrii kamoja What went wrong? Mwalimu aliyekuwa anaheshimika mtaani leo haeshimiki tena nini kimewakuta walimu?????? kuna mwalimu alijitahidi kumvimbia mpaka Raisi lakini angalieni walimu mlivyomsema
Wao wenyewe ndo wa kwanza pia kuvaa kofia na vitenge vya ccm toleo la kwanza🤣Hapana hamdharauliwi, ila mmekuwa walaini sana, CCM inawategemea nyie, ila ikipata mnasahaulika, umesahau mwenda zake hakuwaongeza hata mshahara,madaraja mkabaki pale pale lakini pamoja na yote hayo ni nyie wenyewe mkawa mnaimba nyimbo za kumsifu kwenye uchaguzi ni nyie wenyewe huwa mnaguhusika kuiba kura, tunajiuliza imekuaje? Walimu mnaofundisha ujasiri, iweje nyie hamna ujasiri? mnafundisha Haki na kupigania haki iweje haki zenu hamzipiganii? yaani mwalimu pamoja na kusoma kwake na umahiri wake anaweza kuchapwa fimbo na mkuu wa wilaya ambaye ana kadigrii kamoja What went wrong? Mwalimu aliyekuwa anaheshimika mtaani leo haeshimiki tena nini kimewakuta walimu?????? kuna mwalimu alijitahidi kumvimbia mpaka Raisi lakini angalieni walimu mlivyomsema
Hatushindani we si umetaka kujua kwanini mnadharaulika, kuna watumishi wana maisha magumu kama askari magereza? Lakini kwanini hawadharauliki km nyie? Kunifundisha aeiou haizuii kuuona ukilaza mlionao, mikopo kausha damu nyie, kutapeliwa nyie, kujiliza nyie, kama mmeweza kutufundisha mnashindwa nini kujisimamia mkaheshimika kama walimu wa enzi ya nyerere?Oke Oke vizuri,kwahiyo unakubali akili ya kilaza ndiyo iliyokufikisha hapo...au ulisoma na kuandika kwa juhudi zako.
Sawa,yeye katapeliwa kwako ni kilaza je wanaotapeliwa ni walimu tu...au umeandika tu kauli mbaya ili upate likes na kutuumiza...Vizuri ushindi uwe kwako cute😉
🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾Utatuulia mwalimu wetu bwanHatushindani we si umetaka kujua kwanini mnadharaulika, kuna watumishi wana maisha magumu kama askari magereza? Lakini kwanini hawadharauliki km nyie? Kunifundisha aeiou haizuii kuuona ukilaza mlionao, mikopo kausha damu nyie, kutapeliwa nyie, kujiliza nyie, kama mmeweza kutufundisha mnashindwa nini kujisimamia mkaheshimika kama walimu wa enzi ya nyerere?
Alafu wakati mnapiga mkwara yule mwenye kitambi ndo aongee alafu mwenye mwili mdogo ajidai anaandika andika, wawili wanaobaki mmoja anakua anamsikiliza mkuu wa shule kwa makini alafu yule wa nne anachomekea swali moja mojaSio mkuu wa shule tu hata afisa elimu kata wao na wa wilaya wote watasanda sijui wanalishwaga nini huko vyuoni ni waoga vibaya
We jamaa comments zako zinachekeshaga sana ,nimecheka Hadi mbavu zinaumaKuna jamaa alisema ukitaka kujua walimu ni waoga we tafuta landcruiser hardtop tafuta na marafiki zako wanne mvae suti alafu vamia shule yoyote unaweza kumpiga mkwara mkuu wa shule lisaa lizima bila kukuuliza we ni nani
Yani tukitaja matukio ya walimu wenzie ni aibu bora atulie tu, tatizo kubwa linaanzia kwenye uoga CCM sijui inawatishaga nini hawa watu, asichojua nimekua nikizungukwa na walimu, nawajua kuliko anavyodhani🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾Utatuulia mwalimu wetu bwan
Mpaka leo kuna vimadam huwa navikwepa hasahasa vile vishakunaku🤣🤣🤣Walimu tuheshimiwe....tunafanya kazi ngumu Sana huku jaman
Sawa imetosha na kakuelewa mweeee😂Yani tukitaja matukio ya walimu wenzie ni aibu bora atulie tu, tatizo kubwa linaanzia kwenye uoga CCM sijui inawatishaga nini hawa watu, asichojua nimekua nikizungukwa na walimu, nawajua kuliko anavyodhani