Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 16,824
- 62,076
Nadhani Allen na Jokakuu mnamuweza Mkandara, ngoja niwaachieni mmalizane naye.
Lakini Kiufupi Magufuli hakuwa mtu safi tangu akiwa waziri.
Alivuruga mchakato wa uuzaji wa nyumba za serikali .
Alipokuwa waziri alituingiza ktk hasara nyingi kwa kuingilia kandarasi ambapo tulishitakiwa na kulipa hela nyingi.
Alipokuwa rais alikuwa hafuati sheria za manunuzi ndiyo maana CAG kaibua madudu kibao kwenye SGR na miradi mingine.
Alikuwa haheshimu katiba, hata alipomuondoa CAG ilikuwa ni kinyume cha sheria.
Magufuli hakuipa uhai CCM, bali alizuia vyama vingine visifanye siasa kabisa na kunadi sera na itikadi zao kupitia mikutano ya hadhara. Hata ile ya ndani sometimes ilivamiwa na polisi na kuzuiliwa.
Lakini Kiufupi Magufuli hakuwa mtu safi tangu akiwa waziri.
Alivuruga mchakato wa uuzaji wa nyumba za serikali .
Alipokuwa waziri alituingiza ktk hasara nyingi kwa kuingilia kandarasi ambapo tulishitakiwa na kulipa hela nyingi.
Alipokuwa rais alikuwa hafuati sheria za manunuzi ndiyo maana CAG kaibua madudu kibao kwenye SGR na miradi mingine.
Alikuwa haheshimu katiba, hata alipomuondoa CAG ilikuwa ni kinyume cha sheria.
Magufuli hakuipa uhai CCM, bali alizuia vyama vingine visifanye siasa kabisa na kunadi sera na itikadi zao kupitia mikutano ya hadhara. Hata ile ya ndani sometimes ilivamiwa na polisi na kuzuiliwa.