- Thread starter
- #21
Mkuu nieleweke vipi? Kuanzishwa kwa REA hakuna maana utendaji umeanza. Hata Nyerere alitaka makao makuu yahamie Dodoma toka 1972.Mkandara andika basi ueleweke.
Miradi gani haijakamilika?
Enzi za Magufuli kulikuwa hakuna rushwa?
REA imeanzishwa mwaka 2007 hata kabla huyo mtu wako hajawa Rais, kwa nini sifa zote ziende kwake??
Maji toka ziwa Victoria na Program kubwa za maji zilianza enzi Lowassa akiwa Waziri wa maji, kwa nini yeye Magufuli ndiyo mnamvika kila sifa hata asizozistahili??
Halafu kama watu wanakwenda Kanisani wewe kinakukera nini? Mbona hujaandika watu wanaokwenda Bar, Mpirani, kwa makahaba, au kwenye matamasha ya muziki??
Tatizo lenu ni CHUKI na HASADA maana Chuma alikuwa strictly na alijua machimbo yenu yote akayafukia kama Kagame na Wachungaji wa Rwanda. Watu walizoea vya kunyonga, walichokaa tukazaa Wachungaji ambao leo ndio ati habari ya mujini. Miafrika bana, haiwezi badilika kama sii Wachungaji basi Uchawi halafu kutwa mtaani wamevaa kanzu. Kwikwikwi