SYLLOGIST!
JF-Expert Member
- Dec 28, 2007
- 8,858
- 8,248
Joka kuu Acha uongo na Propaganda chafu na hasi kama hii. Yaani unajiondoa ufahamu? Hivi nani huyo aliyemwona Hayat Raisi akimpiga Risasi Lissu?Kwa mfano, unampiga Mbunge Risasi ktk makazi ya viongozi wa bunge la serikali halafu unategemea watu wasichukizwe.
Kama kweli mtu huyo ni katili kwa kiasi hicho mlichomwekea cha ukatili-yaani muuaji, mwenye hasira na Tundu lissu unafikiri angemuacha Lissu aanze kukumbatia Friji la Gari.? Hivi watu makini wangemkosa kummaliza Msaliti yule?