Ukishangaa ya Mussa!

Ukishangaa ya Mussa!

Kwani unaandika bila ya kuwa na Mantiki? Dodoma imekuwa ni makao Makuu kwa sasa lakini sehemu ya Ikulu yake iko Dar. Dar si Makao Makuu (The Capital City) lakini kuna Ikulu ambayo ni sehemu ya Ikulu ya Chamwino...
Mkuu wee vipi? Tunabishania nini haswa? Nimesema Makao Makuu yamehania Dodoma wakati wa Magufuli wewe unasema ilikuwa makao makuu toka zamani kwa sababu kuna Ikulu. Sasa Dar ina Ikulu mbona sio Makao Makuu tena? Unahitaji akili gani kuelewa?

A capital is a city where a region's government is located. This is where government buildings are and where government leaders work. A region can be defined as a nation, state, province, or other political unit. At the county level, capitals are usually called "county seats.
 
Mkuu wee vipi? Tunabishania nini haswa? Nimesema Makao Makuu yamehania Dodoma wakati wa Magufuli wewe unasema ilikuwa makao makuu toka zamani kwa sababu kuna Ikulu. Sasa Dar ina Ikulu mbona sio Makao Makuu tena? Unahitaji akili gani kuelewa?
Hakuna anayebisha kwamba Makao Makuu yamehamia Dodoma wakati wa zama za Magufuli (Mchungaji wako) bali kudharau wengine kwamba hawakuhusika kuifanya Dodoma kuwa Makao Makuu kwa Mchakato, siyo sawa.
A capital is a city where a region's government is located. This is where government buildings are and where government leaders work. A region can be defined as a nation, state, province, or other political unit. At the county level, capitals are usually called "county seats.
Hii tafsiri ni sawa ila siyo Magufuli peke yake aliyeijenga Dodoma kuwa Makao Makuu ya nchi. Abudu Mungu na siyo huyo mchungaji wako ambaye inawezekana kama mpaka leo angekuwepo angekuambia ufunge mpaka ufe ili uende mbinguni kwake, ungefunga mpaka ufe.
 
Nikumbushe miaka ile ya uongozi wa JK, Chama cha Mapunduzi kilikuwa hatarini yaani kimekwisha kabisa katika ushawishi. Chama hakina sera wala mvuto ilikuwa swala la muda tu. Yaani ilikuwa aibu mtu kujinasibu na Chama na kila mtu alitegemea kuwa huo ndio mwisho wa Utawala wake. Hilo lilikuwa wazi kabisa isipokuwa kwa mbinu za dola.
Kikapata nguvu wakati wa Jpm kama unavyotaka kuaminisha umma kwa nguvu ya Jeshi la polisi na Wasiojulikana😄😄
 
Joka kuu Acha uongo na Propaganda chafu na hasi kama hii. Yaani unajiondoa ufahamu? Hivi nani huyo aliyemwona Hayat Raisi akimpiga Risasi Lissu?

Kama kweli mtu huyo ni katili kwa kiasi hicho mlichomwekea cha ukatili-yaani muuaji, mwenye hasira na Tundu lissu unafikiri angemuacha Lissu aanze kukumbatia Friji la Gari.? Hivi watu makini wangemkosa kummaliza Msaliti yule?
Nadhani wewe ndio unajitoa akili.

Unaniuliza kama nilimuona Magufuli akimfyatulia Lissu risasi?!!

Mbona huwaulizi wanaomsifia Magufuli kwa kujenga miundombinu kama walimuona site akiwa kabeba sululu anachimba msingi?

Cc Mkandara
 
Kikapata nguvu wakati wa Jpm kama unavyotaka kuaminisha umma kwa nguvu ya Jeshi la polisi na Wasiojulikana😄😄
Jeshi haliwezi kukirudisha Chama kupendwa na Wananchi. 2013 ilikuwa aibu kusema wewe CCM au kuvaa gwanda la kijani. Mpaka wana Yanga walitaka kubadili jezi! 😂😂😂

Leo hii CCM imerudi kama wakati wa chama kimoja mpaka Upinzani wenyewe CCM maana mgoni wao alikuwa JPM maana ruzuku zilipotea. Faa masihala!

Kwenye hela Adui yao alikuwa mmoja tu naye kisha ondoka! Sasa hivi aah kila mtu kafunga kamba (tai) shingoni kula kwa urefu wake. Tumerudisha majeshi..
 
Jeshi haliwezi kukirudisha Chama kupendwa na Wananchi. 2013 ilikuwa aibu kusema wewe CCM au kuvaa gwanda la kijani. Mpaka wana Yanga walitaka kubadili jezi! 😂😂😂

Leo hii CCM imerudi kama wakati wa chama kimoja mpaka Upinzani wenyewe CCM maana mgoni wao alikuwa JPM maana ruzuku zilipotea. Faa masihala!

Kwenye hela Adui yao alikuwa mmoja tu naye kisha ondoka! Sasa hivi aah kila mtu kafunga kamba (tai) shingoni kula kwa urefu wake. Tumerudisha majeshi..
Wasiojulikana wameisha aisee acha watu wapumue. We kaa na liccm lako.
 
..nadhani wewe ndio unajitoa akili.

..unaniuliza kama nilimuona Magufuli akimfyatulia Lissu risasi?!!

..mbona huwaulizi wanaomsifia Magufuli kwa kujenga miundombinu kama walimuona site akiwa kabeba sululu anachimba msingi?

Cc Mkandara[/USER
[/QUOTE]

..nadhani wewe ndio unajitoa akili.

..unaniuliza kama nilimuona Magufuli akimfyatulia Lissu risasi?!!

..mbona huwaulizi wanaomsifia Magufuli kwa kujenga miundombinu kama walimuona site akiwa kabeba sululu anachimba msingi?

Cc Mkandara
Hilo gonjwa lako mmalizane wenyewe. Kama sindano imeingia usinishirikishe 😂😂😂
 
Jeshi haliwezi kukirudisha Chama kupendwa na Wananchi. 2013 ilikuwa aibu kusema wewe CCM au kuvaa gwanda la kijani. Mpaka wana Yanga walitaka kubadili jezi! 😂😂😂

Leo hii CCM imerudi kama wakati wa chama kimoja mpaka Upinzani wenyewe CCM maana mgoni wao alikuwa JPM maana ruzuku zilipotea. Faa masihala!

Kwenye hela Adui yao alikuwa mmoja tu naye kisha ondoka! Sasa hivi aah kila mtu kafunga kamba (tai) shingoni kula kwa urefu wake. Tumerudisha majeshi..
Mbona unaandika kimparaganyiko namna hii?? Kweli inaonesha unamuabudu sana jamaa.

Angalia usigeuke kuwa kama mashabiki wa Napoli wanavyomuabudu Diego Armando Maradona!
 
Mbona unaandika kimpraganyiko namna hii?? Kweli inaonesha unamuabudu sana jamaa.

Angalia usigeuke kuwa kama mashabiki wa Napoli wanavyomuabudu Diego Armando Maradona!
Hoja hujibiwa kwa hoja. Kama unaishi Temeke na unajenga nyumba Tabata. Siku ukihamia nyumba hiyo ya Tabata, ndio tunasema Allen kaamua kahamia Tabata sio lini umeanza kujenga msingi. Neno KUHAMIA lina maana yake! kiswahili chepesi kabisa
 
Ndivyo.mlivyo.aminishwa na kanisa la Mchungaji wenu. Kwa sababu nikupe mfano mmoja mdogo kabisa lakini unafikirisha.

Tundu Lissu.alipigwa risasi sijui 16 akiwa.mahututi alishughulikiwa na waziri wa Magufulu pamoja na Spika akapata nafuu. Akaondoka nchi kwenda Kenya na kisha Ubelgiji. Tuliamini kabisa kuwa ni mpongo wa Serikali ya Magufuli - SAWA. Sote tulidhani hivyo.

Lakini huyo huyo Tundu Lissu mwaka 2020 akarudi nchini bila kuhakikishiwa Usalama wake, akagombea Urais na Magufuli akampa Ulinzi kufanya kampeni nchi nzima bila hata tukio moja la kumuua mpaka tumemaliza Uchaguzi. Eeeeh?!!!

Siku inatangazwa kashindwa anakimbua tena ati Magufuli anataka kumuua! Yaani kwa viongozi wa Kiafrika, hasimu wangu urudi nikupe nafasi ya kugombea Urais dhidi yangu, nikupe na Ulinzi! Aaah jamani hili lawezekana kweli? Sii ndio kajileta mwenyewe!

Tundu Lissu ni sehemu ya Mtandao katumiwa sana kuivuruga Chadema akiwa na lengo la yeye kugombea Urais na sii mtu mwingine toka 2012. Tundu Lissu ni mtu mwenye kujisikia yeye, hata hivi sasa Atawavuruga Chadema. Trust me ni swala la muda tu.


Tundu Lissu ndiye alihakikisha Zitto anaondolewa Chadema maana ndiye alikuwa mshindani kwenye kugombea Urais. Tundu Lissu alihakikisha pia Dr. Slaa anaondoka Chadema ili abaki yeye kama mgombea. Tundu Lissu kafanya viongozi wengi wa Chadema waondoke wengine kwenda CCM sii Mbowe! Huyu ni kama fisi, ana tamaa sana ya madaraka, mchumia tumbo toka akiwa wakili..

..hebu sasa fafanua ni nani aliondoa walinzi ktk eneo la serikali mahali aliposhambuliwa Tundu Lissu?

..pia fafanua kwanini waliomshambulia hawajakamatwa mpaka leo wakati Polisi walisema wamepata CCTV cameras toka eneo la tukio.
 
..hebu sasa fafanua ni nani aliondoa walinzi ktk eneo la serikali mahali aliposhambuliwa Tundu Lissu?

..pia fafanua kwanini waliomshambulia hawajakamatwa mpaka leo wakati Polisi walisema wamepata CCTV cameras toka eneo la tukio.
Mkandara hawezi kujibu haya maswali kwa kuwa kaamua kujichetua...

Yupo kwenye mahaba mazito na jamaa, na kama ujuavyo waswahili husema "Mapenzi ni upofu"
 
..hebu sasa fafanua ni nani aliondoa walinzi ktk eneo la serikali mahali aliposhambuliwa Tundu Lissu?

..pia fafanua kwanini waliomshambulia hawajakamatwa mpaka leo wakati Polisi walisema wamepata CCTV cameras toka eneo la tukio.
Mkuu hizi zote habari za simulizi ndio maana nasema mnapenda sana habari za Wachungaji. Jiulize hao walinzi waliondolewa vipi ikiwa hakuna aliyejua Lissu atarudi kwake kula chakula cha Mchana? na kama atarudi anarudi na kina nani na saa ngapi? Hizi info lazima kuna mtu alikuwa nazo kutengeneza mazingira. Lissu anaweza kutusaidi lakini hataki kutoa Ushahidi kwa sababu sio kazi yake! Yeye ni victim hana sababu ya kutoa ushahidi... For real?

Maswala ya CCTV, Ulimsikia Kamanda gani wa Polisi akisema CCTV imepatikana? Je kweli ilikuwepo au tungo za kanisani.

Mwisho, Hivi kuna mtu anajua hatma ya dereva? Kwa.nini dereva nae alisepa wakati yeye sii mtu alotaka kuuawa. Haya Lissu karudi, dereva je huyu yuko wapi na je yu salama au hadith maana hata jina la dereva tulibadilishiwa kama mara 3.
 
Mkuu hizi zote habari za simulizi ndio maana nasema mnapenda sana habari za Wachungaji. Jiulize hao walinzi waliondolewa vipi ikiwa hakuna aliyejua Lissu atarudi kwake kula chakula cha Mchana? na kama atarudi anarudi na kina nani na saa ngapi? Hizi info lazima kuna mtu alikuwa nazo kutengeneza mazingira. Lissu anaweza kutusaidi lakini hataki kutoa Ushahidi kwa sababu sio kazi yake! Yeye ni victim hana sababu ya kutoa ushahidi... For real?

Maswala ya CCTV, Ulimlikia Kamanda gani wa Polisi akisema CCTV imepatikana? Je kweli ilikuwepo au tungo za kanisani.

Mwisho, Hivi kuna.mtu anajua hatma ya dereva? Kwa.nini dereva nae alisepa wakati yeye sii mtu alotaka kuuawa. Haya Lissu karudi, dereva je huyu yuko wapi na je yu salama au hadith maana hata jina la dereva tulibadilishiwa kama mara 3.

sasa kama walinzi hawakuondolewa walifanya nini wakati Lissu anashambuliwa?

Unauliza walijuaje kuwa Lissu ataenda kula lunch?

Niliwahi kusikia kwamba Lissu alikuwa na tabia ya kula lunch nyumbani kwake kipindi anapokuwa kwenye vikao vya bunge.

Masuala ya CCTV nilisoma kwenye gazeti wakimnukuu RPC wa Dodoma. Sijasikia Polisi wakikanusha kupatikana kwa camera hizo.

masuala ya Lissu na dereva Polisi wanatakiwa kutoa wito kama wanaamini watasaidia uchunguzi.

Na Lissu amefika kwa RPC Dodoma zaidi ya mara mbili toka ashambuliwe Polisi wangeweza kumhoji.
 
Wahenga walisema UKISTAAJABU ya Mussa UTAYAONA ya FIrauni. KUMBE Huko Kuona ni zaidi ya kustaajabu maana ni sawa UPUMBAVU wa kuabudu Wachungaji. Sijui kama naeleweka?

Nikumbushe miaka ile ya uongozi wa JK, Chama cha Mapunduzi kilikuwa hatarini yaani kimekwisha kabisa katika ushawishi. Chama hakina sera wala mvuto ilikuwa swala la muda tu. Yaani ilikuwa aibu mtu kujinasibu na Chama na kila mtu alitegemea kuwa huo ndio mwisho wa Utawala wake. Hilo lilikuwa wazi kabisa isipokuwa kwa mbinu za dola.

Wapinzani nao wakaunda nguvu moja ya UKAWA kupambana na dola lakini kama wahenga wasemavyo. Katika Msafara wa Mamba, Kenge nao wamo! Dola ni zaidi ya Chama kimoja ni mtandao mkubwa unaohusu vyombo vyote vya serikali wao hawakuliona hilo.

Nilisema hapa kabla ya Uchaguzi mkuu kuwa Chadema wamefanya kosa kubwa sana kuchanganya nguvu na mahasimu wao, hoja hiyo ilipingwa kwa nguvu kubwa sana na wale wasojua tofauti ya Mamba na Kenge! Kwa sababu kwao hoja kubwa ilikuwa kufika penye maji mengi wakinadi - Mpaka kieleweke!

Nukuu zipo humu humu. Matokeo ya uchaguzi yalipitoka - Upinzani chali, ilikuwaje, Tukaanza kujiuliza funguo za gari kapewa nani?

Chuma akamamata nchi kinyume cha mategemeo ya wengi, hasira zote zikamgeukia Magufuli nsiye hasomu wao, wakati CCM jua linawawakia chama kikarudi kupata nuru! Leo hii imebakia hadithi hadithi..

Nasema hivi kama sio Magufuli kujitoa mhanga kwa chama hiki kuchukua Uongozi kuogmbea Urais mwaka 2015, hiki chama kilikuwa kimekufa kabisa! Ati leo hii kuna watu wanadiriki kabisa kujivunia Chama ilihali wakimnanga Mwendazake! Hawa ndio wale waitwao mitume wa uongo!

Kuna jamii sasa hivi wanaabudu Wachungaji kwa ilani za Utajiri. Hawa watu ni Wapumbavu kwa Marefu na Mapana na katu hutaweza waongoa katika imani zao hata kama wanapotea. Tatizo lake moja tu, Sii rahisi kujua tofauti yetu sisi sote..
Mkuu, CCM iko hai kama chama cha siasa? Au kama chama dola? Au vyovyote vile almuradi kinaendelea kuhema na kutisha wananchi! - kikiwa kimeunganishwa na life support ya dola. Ndio mchango wa Magufuli kwa hiki chama mfu unaojivunia? Katika Tanzania hii hii?
 
Ngoja niongee kiutu Uzima. Mkinambia Magufuli alitegeneza maadui kwa kujaribu kuitoa shilingi mfuko wa matajiri na kuiweka kwa maskini na maendeleo, hilo nakubali kabisa. It was some sort of Socialism ambayo kwa Tanzania ni Siasa isotakiwa kabisa. Mambo matatu ya kutazama.
1. Kukisafisha Chama kurudisha mali za chama kina Kinana wakajiuzuru.
2. Swala la Makinikia na madini (Wawekezaji kina Barrick na Symbion).
3. Swala la Chanjo ya Uviko 19 (Hili big Corparates za madawa). Haya yote yalipongezwa na Wananchi walio wengi lkn Maadui wachache wenye nguvu kubwa.

Now, Tundu Lissu pia mkinambia alitengeneza maadui na ndani ya TISS kwa kuwatukana mara kwa mara, sijui mwambieni alowatuma aje! Kutwa akidai wanataka kumuua toka akiwa Dar! Siku moja alifikia kusimama akatoka nje ya gari na kukaripiana nao (kwa madai yake). Yawezekana Usalama walimweka kilema ajue nguvu yao lkn nia yao sii kumuua.

Pili, Lissu akitafuta Urais kwa nguvu kubwa akijihusisha sana na Mashirika ya nje, jambo ambalo ndani ya Chadema hawakuliafiki. Hii ni katika fikra tu japo haingii akilini.
sasa kama walinzi hawakuondolewa walifanya nini wakati Lissu anashambuliwa?

Unauliza walijuaje kuwa Lissu ataenda kula lunch?

Niliwahi kusikia kwamba Lissu alikuwa na tabia ya kula lunch nyumbani kwake kipindi anapokuwa kwenye vikao vya bunge.

Masuala ya CCTV nilisoma kwenye gazeti wakimnukuu RPC wa Dodoma. Sijasikia Polisi wakikanusha kupatikana kwa camera hizo.

masuala ya Lissu na dereva Polisi wanatakiwa kutoa wito kama wanaamini watasaidia uchunguzi.

Na Lissu amefika kwa RPC Dodoma zaidi ya mara mbili toka ashambuliwe Polisi wangeweza kumhoji.
Umesoma majibu yako? Unasema Uliwahi kusikia Lissu alikuwa na tabia ya kwenda kwake kula chakula! Ya kuambiwa hayo huna hakika.

Yaani Lissu arudi kula lakini viongozi wabunge wengine wote wasiende kula makwao siku hiyo! Hata kumkaribisha Mbowe, mwenyekiti wake!

Okay, nambie ni nani alokuwa mpishi wake, wewe umeambiwa nani, unamjua? Kwa nini mpaka leo hii Lissu anasema sijui mfanyakazi wake alikuwa akifanya kazi kwa Naibu Spika! Sio kwake, Na kamtaja jina lakini sio mke wake wala mpishi wake wa wakati wote huo! Nani alokuwa akimpikia chakula Tundu Lissu? Yuko wapi mpishi huyo?

Na wakati anapigwa risasi mpishi wake alikuwa wapi hadi aje asaidiwe na mpishi wa naibu Spika! (Kwa madai yake)
Kuhusu Walinzi, mimi nakumbuka mh. Kitwanga amewahi kusema palikuwa hakuna walinzi getini ila kila kiongozi alikuwa na mlinzi wake haswa wakati wa usiku. Sikumbuki kama alizungumzia haya wakati ule au Kisa cha Mbowe kuvunja mguu.

Namalizia kusema hivi hata picha za pale kwenye tukio hakuna hata picha moja inayoonyesha getini, aidha hata Mbowe na viongozi walikwenda Hospitali alikopelekwa na sio pale kwenye tukio. Kifupi, nimalizie intelejensia yangu. Sehemu ile haiwezekani kabisa kusiwe na watu waloona tukio hilo likifanyika mchana jua kali hata kama Viongozi hawakuwepo.
 
Ngoja niongee kiutu Uzima. Mkinambia Magufuli alitegeneza maadui kwa kujaribu kuitoa shilingi mfuko wa matajiri na kuiweka kwa maskini na maendeleo, hilo nakubali kabisa. It was some sort of Socialism ambayo kwa Tanzania ni Siasa isotakiwa kabisa. Mambo matatu ya kutazama.
1. Kukisafisha Chama kurudisha mali za chama kina Kinana wakajiuzuru.
2. Swala la Makinikia na madini (Wawekezaji kina Barrick na Symbion).
3. Swala la Chanjo ya Uviko 19 (Hili big Corparates za madawa). Haya yote yalipongezwa na Wananchi walio wengi lkn Maadui wachache wenye nguvu kubwa.

Now, Tundu Lissu pia mkinambia alitengeneza maadui na ndani ya TISS kwa kuwatukana mara kwa mara, sijui mwambieni alowatuma aje! Kutwa akidai wanataka kumuua toka akiwa Dar! Siku moja alifikia kusimama akatoka nje ya gari na kukaripiana nao (kwa madai yake). Yawezekana Usalama walimweka kilema ajue nguvu yao lkn nia yao sii kumuua.

Pili, Lissu akitafuta Urais kwa nguvu kubwa akijihusisha sana na Mashirika ya nje, jambo ambalo ndani ya Chadema hawakuliafiki. Hii ni katika fikra tu japo haingii akilini.

Umesoma majibu yako? Unasema Uliwahi kusikia Lissu alikuwa na tabia ya kwenda kwake kula chakula! Ya kuambiwa hayo huna hakika.

Yaani Lissu arudi kula lakini viongozi wabunge wengine wote wasiende kula makwao siku hiyo! Hata kumkaribisha Mbowe, mwenyekiti wake!

Okay, nambie ni nani alokuwa mpishi wake, wewe umeambiwa nani, unamjua? Kwa nini mpaka leo hii Lissu anasema sijui mfanyakazi wake alikuwa akifanya kazi kwa Naibu Spika! Sio kwake, Na kamtaja jina lakini sio mke wake wala mpishi wake wa wakati wote huo! Nani alokuwa akimpikia chakula Tundu Lissu? Yuko wapi mpishi huyo?

Na wakati anapigwa risasi mpishi wake alikuwa wapi hadi aje asaidiwe na mpishi wa naibu Spika! (Kwa madai yake)
Kuhusu Walinzi, mimi nakumbuka mh. Kitwanga amewahi kusema palikuwa hakuna walinzi getini ila kila kiongozi alikuwa na mlinzi wake haswa wakati wa usiku. Sikumbuki kama alizungumzia haya wakati ule au Kisa cha Mbowe kuvunja mguu.

Namalizia kusema hivi hata picha za pale kwenye tukio hakuna hata picha moja inayoonyesha getini, aidha hata Mbowe na viongozi walikwenda Hospitali alikopelekwa na sio pale kwenye tukio. Kifupi, nimalizie intelejensia yangu. Sehemu ile haiwezekani kabisa kusiwe na watu waloona tukio hilo likifanyika mchana jua kali hata kama Viongozi hawakuwepo.

Lissu amewataja kwa majina waliomsaidia siku ya tukio ambao ni mpishi wake, mtumishi wa nyumbani kwa Naibu Spika, na dereva wake.


Wote hao wangeweza kuhojiwa na Polisi au vyombo vya habari kueleza walichokiona.

According to Lissu wahusika hao hawajahojiwa na Polisi.

Suala la CCTV cameras Lissu amemtaja mpaka Waziri anayedaiwa kuwa ndiye mmiliki. Sasa hapo ni suala la wachunguzi wa habari kuhakiki kama kweli kulikuwa na Camera au ni porojo tu za Lissu.

Hata suala la ulinzi linaweza kuhakikiwa na vyombo vya habari lakini chombo kilichodiriki kufanya hivyo. Hakuna chombo cha habari kilichokuwa na ujasiri wa kudadisi kilichotokea labda kwa kumuogopa anayedhaniwa kuwa amepanga tukio lile.

Kuhusu kauli ya Charles Kitwanga kuhusu ulinzi ninavyokumbuka alikuwa anazungumzia mahali anapoishi Mbowe, sio mahali aliposhambuliwa Lissu.

Suala lingine ni kwamba alipokuwa anaishi Lissu ni jirani na anapoishi Naibu Spika. Kwa hiyo ni 100% mahali hapo pawe na walinzi tena wenye silaha. Swali la kujiuliza ni walikuwa wapi, au walichukua hatua gani wakati Lissu anashambuliwa.

NB:

Kuhusu kuhojiwa na Polisi, mimi sidhani kama kuna mwanasiasa Mtanzania amehojiwa na vyombo vingi vya habari kumzidi Lissu.

Sasa mtu anayepatikana kwa mahojiano na kila chombo cha habari, Polisi wameshindwa vipi kumpata kwa ajili ya mahojiano? Je, hali hiyo inaleta picha gani?
 
Mkuu hizi zote habari za simulizi ndio maana nasema mnapenda sana habari za Wachungaji. Jiulize hao walinzi waliondolewa vipi ikiwa hakuna aliyejua Lissu atarudi kwake kula chakula cha Mchana? na kama atarudi anarudi na kina nani na saa ngapi? Hizi info lazima kuna mtu alikuwa nazo kutengeneza mazingira. Lissu anaweza kutusaidi lakini hataki kutoa Ushahidi kwa sababu sio kazi yake! Yeye ni victim hana sababu ya kutoa ushahidi... For real?

Maswala ya CCTV, Ulimsikia Kamanda gani wa Polisi akisema CCTV imepatikana? Je kweli ilikuwepo au tungo za kanisani.

Mwisho, Hivi kuna mtu anajua hatma ya dereva? Kwa.nini dereva nae alisepa wakati yeye sii mtu alotaka kuuawa. Haya Lissu karudi, dereva je huyu yuko wapi na je yu salama au hadith maana hata jina la dereva tulibadilishiwa kama mara 3.

Nashauri ktk hoja yako usitumie neno Wachungaji, au Kanisa.

Unaweza kuwa unajenga hoja nzuri lakini ukaleta mushkeli kwa kuonekana unakejeli au kushambulia madhehebu fulani.
 
Nashauri ktk hoja yako usitumie neno Wachungaji, au Kanisa.

Unaweza kuwa unajenga hoja nzuri lakini ukaleta mushkeli kwa kuonekana unakejeli au kushambulia madhehebu fulani.
Lakini ndugu yangu kwa mwenye kutaka kunielewa anajua namaanisha nini. Wachungaji sio Mapadre wala Askofu na nimeweka hata mfano wa aina ya Wachungaji kina Zumaridi. Kwa nini mnatafuta neno moja kubadilisha maana ilihali mnaelewa nazungumzia vitu gani?

Hawa Wachungaji wanaojiita Manabii siwaamini kama nisivyowaamini Wanasiasa wa leo, nawaona wote wanatazama fursa zao kwa maslahi binafsi.

Ninao Uhuru na Haki ya kujieleza napokereka! Wao kama wanaona nawakosea waje na hoja yao tujadili hoja zao za mapambio..
 
Lissu amewataja kwa majina waliomsaidia siku ya tukio ambao ni mpishi wake, mtumishi wa nyumbani kwa Naibu Spika, na dereva wake.


Wote hao wangeweza kuhojiwa na Polisi au vyombo vya habari kueleza walichokiona.

According to Lissu wahusika hao hawajahojiwa na Polisi.

Suala la CCTV cameras Lissu amemtaja mpaka Waziri anayedaiwa kuwa ndiye mmiliki. Sasa hapo ni suala la wachunguzi wa habari kuhakiki kama kweli kulikuwa na Camera au ni porojo tu za Lissu.

Hata suala la ulinzi linaweza kuhakikiwa na vyombo vya habari lakini chombo kilichodiriki kufanya hivyo. Hakuna chombo cha habari kilichokuwa na ujasiri wa kudadisi kilichotokea labda kwa kumuogopa anayedhaniwa kuwa amepanga tukio lile.

Kuhusu kauli ya Charles Kitwanga kuhusu ulinzi ninavyokumbuka alikuwa anazungumzia mahali anapoishi Mbowe, sio mahali aliposhambuliwa Lissu.

Suala lingine ni kwamba alipokuwa anaishi Lissu ni jirani na anapoishi Naibu Spika. Kwa hiyo ni 100% mahali hapo pawe na walinzi tena wenye silaha. Swali la kujiuliza ni walikuwa wapi, au walichukua hatua gani wakati Lissu anashambuliwa.

NB:

Kuhusu kuhojiwa na Polisi, mimi sidhani kama kuna mwanasiasa Mtanzania amehojiwa na vyombo vingi vya habari kumzidi Lissu.

Sasa mtu anayepatikana kwa mahojiano na kila chombo cha habari, Polisi wameshindwa vipi kumpata kwa ajili ya mahojiano? Je, hali hiyo inaleta picha gani?
Ebu iweke clip ambayo Lissu kamtaja Mpishi wake. Sijaona pahala Lissu kamtaja dereva wake. Ikisha jina tulopewa mwanzo sio jina la dereva tulopewa akiwa Nairobi. Na kufika Ubelgiji tukapewa jina jingine.

Kuhusu walinzi umerudia palepale. Kama mtumishi wa Naibu Spika akatoka nje kumsaidia baada ya risasi kurushwa huoni kama haikuwa kama kuna mapungufu hapa. Yaani watumishi watoke nje hawa wawili tu! Na nani alomwita nani atoke nje wakati risasi zinarindima! Aliitwa au alikuja tu mwenyewe..

Okay, wametoka nje sijui baada ya dakika ngapi baada ya wale wasojulikana kuondoka! unataka kusema hakuna watu wengine kabisaaa ukiacha askari unao dai hawakuwepo? Okay hakuna askari, Ile block nzima watumishi ni hao wawili tu? Watu wote wamejichimbia isipokuwa hawa mabinti wawili! Does it make sense?

Yaani sku hiyo, kila kiongozi aliondoa walinzi wake. Wakati ule Chadema ina wabunge zaidi ya 100. Ni Lissu pekee mgombea wa Singida ndiye aloishi hapo mjengoni, tena saa saba mchana hakuna watu!

Je, yeye Lissu hakuwa na mlinzi maana kuishi pale viongozi walikuwa na walinzi wao tena yeye akitafutwa na TISS kila anapienda!

Kuhusu kuhojiwa na Polisi. Lissu akiwa Nairobi walikataa kabisa Polisi au usalama kwenda Hospital. Kila alokwenda pale alifanyiwa uchunguzi. Sema hamkuambiwa ukweli kuwa alokubaliwa pekee ni Mama Samia naye alikwenda kwa ruksa ya rais. Ni protokali.

Anyway, mkuu umenitoa.kwenye reli muda mrefu ila nachosema ni hivi. CCM ilikosa kabisa mvuto, ilikuwa taabani ICU na kosa kubwa walofanya UKAWA ni underestimate CCM wakidhani wangeweza kuivunja ngome yake walipomchukua Lowassa na Sumaye. Hawa wote walikuwa mbinu tu ya kupooza matokeo hata kama Lowassa akishindwa wanajua jinsi ya ku deal naye.

Baada ya hapo, Magufuli kacheza karata zote kuirudisha CCM kwa Wananchi na hakika 2020 Upinzani chali, Lowassa karudi mjengoni.

Kazi iendelee
 
Back
Top Bottom