Stan Mashamba
JF-Expert Member
- Apr 22, 2020
- 3,184
- 2,471
Ni kweli kabisa. Ugonjwa wa "uchama" utawamaliza.Nimejitahidi kusoma kutoka mwanzo hadi mwisho,nilichokiona ni maandishi lakini sijaona HOJA.
Ni kweli kabisa. Ugonjwa wa "uchama" utawamaliza.Nimejitahidi kusoma kutoka mwanzo hadi mwisho,nilichokiona ni maandishi lakini sijaona HOJA.
Usimlinganishe Shangazi na hizo takataka,Alafu hana njaa kama yako.kwani angeamua kukaa kimya ni kipi ambacho anakikosa,anajalibu kuwatetea ninyi WANYONGE.Good piece. 'Like it.
P
Umefaidika na nini? Mtu mweusi ni mbaya kuliko beast kabisa.Kanyooshwa na Jaji Feleshi hana hamu kabisa.
Kuwafurahisha miungu watu kunahitaji kujitoa akili kiasi hiki.Good piece. 'Like it.
P
Ni ngoswe kaka,sio ngoso..!!!...Ya ngoso tumuachie mwenyewe
Ngoso
Shetani hana aibuHivi hauoni aibu?
Why and how?!.
Mimi najiona as I grow old, nabadilika na kuwa Mzalendo zaidi, wiser and see things in much broader sense. It's very unfortunately sio wengi humu sees what I see, hivyo ni kawaida.
Watu walimziea Pasco wa jf, kijana mjenga hoja shupavu asiyeogopa kitu wala mtu, lakini Paskali ni Mzee, makini, mwenye busara and walks very very careful kwenye njia ya reli!.
P
Eli huyuhuyu wa kwenye Bible Samweli,namwona na Kaka Yetu huyu Manjaa anaelekea kibra kabisa siku hizi.Eti ndo anazeeka vizuri!Duh!Eli yupi aliyevunjika shingo mkuu.
No sio woga bali kuongezeka umakini, na kutanguliza uzalendo.Leo umesema ukweli ....kadri mtu anavozeeka ndio huishiwa ujasiri na woga kuongezeka!
Anayeishusha daraja Aston Villa ni Mtanzania na kwa taarifa yako ana kadi ya CHADEMA!Pascal naona umeanza kuwa kama Aston Villa, unashuka daraja huku unajiona ukidhani ni utani!
Ngoja tuyaweke kwenye NUKTA NUNDU!Nimejitahidi kusoma kutoka mwanzo hadi mwisho,nilichokiona ni maandishi lakini sijaona HOJA.