Ukipewa zawadi usiyoipenda utafanyaje?

Ukipewa zawadi usiyoipenda utafanyaje?

ha haha ha, mie mtu akinipa zawadi natabasam na kushukuru hata kama ni mbaya kiasi gani.

Nitaenda kulilia pembeni.

Siku nyingine naweza elezea kitu nipendacho indirectly. Mtu mwingine ukimkosoa.unamkatisha tamaa, anakuwa hajiamini tena kwenye taste zako.

Hata hivyo wazo tu la kunikumbuka kwa zawadi huwa lina matter.

Very true, hii nilifundishwa na mama.

Umenikumbusha nimeletewa zawadi ya dela toka UK na bro wangu, kiukweli tabasamu la Kongosho sikuliweza nikamshushua hapo hapo nikamshukuru anyway. Nimefurahia mkanda tu.
Nilivuompigia mama, akanigombeza kwa ungratefulness yangu.
Yaani linachekesha, hata siwezi livaa. My priest brother is totally tasteless. I hope hatasoma hapa maana JF anaitumia kupata habari za TZ.
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: Kbd
Pokea na tabasamu
Pia usisahau kumshukuru
Utawapa wengine ndugu, yatima nk
 
Unashukuru kwa zawadi.....ila baada ya muda umwambie ukweli kuwa.....kitu fulani haupendi ili asije akakileta tena siku nyingine.....


Huoni atafunga milango ya kukuletea zawadi kwasababu unachagua sana??
 
Unafiki wa nini. Mwambie aise mpenzi wangu shati hilo japo kuwa ni zuri sipendi rangi hiyo.
 
ha haha ha, mie mtu akinipa zawadi natabasam na kushukuru hata kama ni mbaya kiasi gani.

Nitaenda kulilia pembeni.

Siku nyingine naweza elezea kitu nipendacho indirectly. Mtu mwingine ukimkosoa.unamkatisha tamaa, anakuwa hajiamini tena kwenye taste zako.

Hata hivyo wazo tu la kunikumbuka kwa zawadi huwa lina matter.

Very true, hii nilifundishwa na mama.

Ni kweli, ila huyo ni kaka yangu tunayefuatana so waweza ona licha ya ukaribu lkn kutaniana na kushushuana. Yeye kuwa padre haibadilishi kuwa alikuwa ananikombea wali wangu tulivyokuwa wadogo.
Ila kiukweli he is so tasteless, nguo asiniletee, zawadi zingine sawa. Lol
 
hahaha, ulikosea bwana. Aisee mie nashukuru kwa kila zawadi, na nakaa nazo kweli hata kama situmii. Moyo wangu unashukrani haswaa, nina viatu vililetwa toka sweden na mama wa rafiki yangu. Huwa navivaa mara moja kwa mwaka, ndani. sijawahi kuruka navyo mlango hahaha. But i feel it, kapewa shopping money na wanae na akaniwaza. It is a big thing
Umenikumbusha nimeletewa zawadi ya dela toka UK na bro wangu, kiukweli tabasamu la Kongosho sikuliweza nikamshushua hapo hapo nikamshukuru anyway. Nimefurahia mkanda tu.
Nilivuompigia mama, akanigombeza kwa ungratefulness yangu.
Yaani linachekesha, hata siwezi livaa. My priest brother is totally tasteless. I hope hatasoma hapa maana JF anaitumia kupata habari za TZ.
 
Ni kweli, ila huyo ni kaka yangu tunayefuatana so waweza ona licha ya ukaribu lkn kutaniana na kushushuana. Yeye kuwa padre haibadilishi kuwa alikuwa ananikombea wali wangu tulivyokuwa wadogo.
Ila kiukweli he is so tasteless, nguo asiniletee, zawadi zingine sawa. Lol

Ha ha ha, mie kaka zangu wakiniletea zawadi ya nguo, bora iwe kanga au kitenge, vinginevyo ni nguo ya hg tu.
Kaka waweza mshushua akakuelewa, ila mchuchu dah, atazimia kabisa.

hahaha, ulikosea bwana. Aisee mie nashukuru kwa kila zawadi, na nakaa nazo kweli hata kama situmii. Moyo wangu unashukrani haswaa, nina viatu vililetwa toka sweden na mama wa rafiki yangu. Huwa navivaa mara moja kwa mwaka, ndani. sijawahi kuruka navyo mlango hahaha. But i feel it, kapewa shopping money na wanae na akaniwaza. It is a big thing

Jamani kuna watu hawana taste ya viatu. Kuna mtu aliwahi niletea viatu, bei kuubwa lakini nikawaza, alikuwa anamnunulia Ana Mkapa? Mie ntavaa wapi? Afu yeye anavisifiaaaa Nikashukuru tu.
 
thanks with smile on your face,if ts husband/wife u just find a romantic time to tell her/him with pleased language
 
Napokea, nashukuru, natabasamu natumia mara moja then nagawa
 
Unapokea kwa shukrani af unaweka uwagawie wengine. Kama ni mtu wako wa karibu atakuuliza ile nguo vipi mbona huvai? Ndo pa kufunguka hapo sasa...
 
 
Last edited by a moderator:
wewe ni shehe au pastor... umeletewa kilevi kama wine... utaipokea kwa tabasamu?
kwa kitu kama hii ya kilevi sitapokea ntamrudisha nao na kumpa sababu za kutoaaccept hiyo gift

ila mdau hapa kaongelea shati na imetoa comment kuendana na shati
 
hahaha, ni kweli aisee. Ni sawa na wewe uanze tu kumnunulia zombie sarawili. haikawii kupanda katikati kama ya john komba ujue. Ila kuna watu wana taste kiasi kwamba kabla hujamnunulia kitu unamuomba aje akiangalie kwanza asije akaenda kutupa store. Namshukuru mola siku hizi kuna gift vouchers!
Jamani kuna watu hawana taste ya viatu. Kuna mtu aliwahi niletea viatu, bei kuubwa lakini nikawaza, alikuwa anamnunulia Ana Mkapa? Mie ntavaa wapi? Afu yeye anavisifiaaaa Nikashukuru tu.
 
Zawad ni zawadi ata ukipewa nn we pokea then matumizi utajua wewe...ukikataa utaulizwa why utak???jibu utakuwa huna coz ushasema utaki ajue kuwa hujaipenda zawad yake...we pokea tena kwa full tabasam
 
Back
Top Bottom