Ukipewa zawadi usiyoipenda utafanyaje?

Ukipewa zawadi usiyoipenda utafanyaje?

The first thing: think of the value mtu aliyoweka kukuwazia na akatake time kukununulia kitu. Hicho chastahili asante.

Ila kuna wapenzi tu --mmekaa miaka na bado hajui size wala rangi wala preference zako na mbaya zaidi akileta atasema ooh kuna mtu alitunganganiza tununue ofisini so nikaona nikuchukulie. Hapo unakuwa ushaharibu, kwanza kibaya pili u mazingira uliyonunulia hayaonyeshi u thought of the other person.
 
ntaipokea & kushukuru ila ntaiweka tu sintaivaa,naweza kuja kumpa mtu wa mbali ambae najua hawezi kukutana na aliyenipa hiyo zawadi
 
Endapo umepewa zawadi au kitu chochote ambacho hukipendi, unafanya nin ili alokupa zawadi asigundue hukipendi??
Mfano umepewa shati jekundu na wewe sio rangi unayoipenda.
Naombeni mawazo yenu.

nitamwambia ujakusudia kunipa mimi hiyo zawadi kwasababu kama ni moenzi hatakuwa anajua unapenda nini kama rafiki wa kawaida mahanga
 
Endapo umepewa zawadi au kitu chochote ambacho hukipendi, unafanya nin ili alokupa zawadi asigundue hukipendi??
Mfano umepewa shati jekundu na wewe sio rangi unayoipenda.
Naombeni mawazo yenu.

nani tena huyo ananisaidia majukumu honey?? am deadly jealous dear
 
Back
Top Bottom