Mkuu huogopi yajayo????
Kabla ya sisi wana familia kukaa na kuuliza alieuza shamba, tunamroga kwanza ndio kikao kinafuatia.
Nasema tunakuroga.
Sasa si mtajiroga wenyewe Mkuu? Kama kula mmesha kula dhara la muuzaji ndo dhara la mrogaji ! HahaaaaaaKabla ya sisi wana familia kukaa na kuuliza alieuza shamba, tunamroga kwanza ndio kikao kinafuatia.
Nasema tunakuroga.
Sasa si mtajiroga wenyewe mkuu kaa kula mmesha kula dhara la muuzaji ndo dhara la mrogaji ! Hahaaaaaa.Kabla ya sisi wana familia kukaa na kuuliza alieuza shamba, tunamroga kwanza ndio kikao kinafuatia.
Nasema tunakuroga.
Nasema hivi!!!We kwa akili yako unaona hiki ni kituko- ndo uwezo wako umeishia hapo