Vijana wengi wa JF hela hawana ndio maana kila siku ni kataa ndoa tu

LICHADI

JF-Expert Member
Feb 4, 2015
4,150
11,198
Imefika kipindi tu ukifungua App ya jf basi katika mada tano za juu huwezi kosa mada ya kataa ndoa au wanawaka wanaomba sana pesa yaani hoja ya kuwaponda wanawake kuwa ni omba omba huwezi ikosa vijana wanalia lia tu

Jamani mtu ukiwa na hela utajikuta mwenyewe unahonga tu ila pesa ikiwa haipo utaona kama adhabu kuombwa hela, Ukiwa na hela huwezi kuja na mada ya kataa ndoa hapa au kataa mahusiano piga nyeto ww sema hela huna ila Rafiki wa hela ni mwanamke, Ukiwa huna hela utalalamika kataa ndoa Ila siku ukizipata utaoa tu ww sema hapo huna hela bas

Mnaolalamika kuwa ni Kosa huhudumia Binti aliyekwao na ni ombaomba hata wewe unatakiwa uache kuomba tendo la ndoa kabla hujamuowa ili na yeye aendelee kuhudumiwa na wazazi wake, Inshort vijana wa sasa mnataka mserereko yaani mnataka kupewa tendo linalostahili kupewa kwenye Ndoa alafu na hela hamtoi eti akahudumiwe na wazazi wake uliwahi ona wapi
 
Si kweli.
Wengine wanakataa ndoa sababu ya maumivu
Wengine ni mkumbo mtu hajawahi kuwa kwenye ndoa lakini yupo mstari wa mbele kupinga.

Mtu ukiwa busy na maisha muda wa kushinda hapa ni ngumu.

wengi ni vijana miaka 19 -25.
Ile responsibility bado haipo, hakuna kitu kinawafanya wawe commitment na maisha.

ila hakuna mtu anayekataa ndoa kwa sababu za msingi, wengi ni mkumbo tu.
 
Unazingua.

20240217_162510.jpg


PambanaZaidi/CottonandMore
 
Watakushukia kama mwewe ila ukweli ndio huo.
Mwanaume mwenye hela hata haombwi anajikuta anatoa tu. Ila kuna wengine pia hawana hela ila wanajua kuhudumia wapenzi wao na wanapambana kwa ajili amnunulie kakitu girlfriend wake.

Ila apeche alolo wengine hela hawana na wapenzi hawana, makasirikio wanaleta jf.
 
Watakushukia kama mwewe ila ukweli ndio huo.
Mwanaume mwenye hela hata haombwi anajikuta anatoa tu. Ila kuna wengine pia hawana hela ila wanajua kuhudumia wapenzi wao na wanapambana kwa ajili amnunulie kakitu girlfriend wake.

Ila apeche alolo wengine hela hawana na wapenzi hawana, makasirikio wanaleta jf.
Mkuu mambo vipi!
 
Jamani mtu ukiwa na hela utajikuta mwenyewe unahonga tu ila pesa ikiwa haipo utaona kama adhabu kuombwa hela, Ukiwa na hela huwezi kuja na mada ya kataa ndoa hapa au kataa mahusiano piga nyeto ww sema hela huna ila Rafiki wa hela ni mwanamke, Ukiwa huna hela utalalamika kataa ndoa Ila siku ukizipata utaoa tu ww sema hapo huna hela bas
Wenye hela hawatoi hela kirahisi. Labda unazungumzia wapiga dili na wezi wa kalamu ndio wanahonga hovyo.
 
Watakushukia kama mwewe ila ukweli ndio huo.
Mwanaume mwenye hela hata haombwi anajikuta anatoa tu. Ila kuna wengine pia hawana hela ila wanajua kuhudumia wapenzi wao na wanapambana kwa ajili amnunulie kakitu girlfriend wake.

Ila apeche alolo wengine hela hawana na wapenzi hawana, makasirikio wanaleta jf.

Hata wanawake apeche Alolo na fukara ndio hupenda kupewa Pesa.
Lakini wanawake wenye vipato pesa sio tatizo. Nao hununua na kuwapa pesa wanaume zao.
 
Mwanaume hakikisha unakuwa na vitu hivi

1. Kazi/hustle ya kukupatia pesa.

2. Mwonekano wa kiume na msafi.

3. Jiheshimu.

Ukiwa na hivyo vitu hutohngaika kupata mrembo anayejielewa na utapewa mambo matamu all day everyday.

NB: Kama sisi wanaume tunavyopenda wanawake wazuri wenye tako basi na wanawake nao wanataka mwanaume mwenye kipato na si kila siku shida tofauto na hapo utaishia kulaumu tu.
 
Si kweli.
Wengine wanakataa ndoa sababu ya maumivu
Wengine ni mkumbo mtu hajawahi kuwa kwenye ndoa lakini yupo mstari wa mbele kupinga.

Mtu ukiwa busy na maisha muda wa kushinda hapa ni ngumu.

wengi ni vijana miaka 19 -25.
Ile responsibility bado haipo, hakuna kitu kinawafanya wawe commitment na maisha.

ila hakuna mtu anayekataa ndoa kwa sababu za msingi, wengi ni mkumbo tu.
Naunga mkono hoja 💯
 
Ndoa imekosa maana Kwa Dunia ya Leo. Kuoa Kwa Sasa ni kujitaftia matatizo yatakayokupelekea kupata magonjwa na kufa haraka sana.

Ndoa imejaa utapeli wa waziwazi ambao ukianza kupambana na huo utapeli ndani ya ndoa unapata stress, presha, Sonoma, nk.
Mwanamke anakuwa tapeli katika ndoa pale anapohitaji kuhudumiwa na mwanaume na wakati huohuo anavizia kuachana na kugawana mali ambayo mwanaume ameitafuta.
Mbaya zaidi, Sheria za ndoa Sasa zimekuwa kandamizi Kwa mwanaume hata pale mwanamke ana makosa ya kiutapeli katika ndoa, Sheria inaamua mwanamke anaonewa.

Mnufaika wa ndoa Kwa Sasa ni mwanamke pekee ambaye yeye ndoa ni ajira kwake inayompa uhakika wa kula, kulala na kuvaa viziri Kwa kigezo Cha kulea watoto.

Yaani kuoa ni UPUMBAVU SANA.
 
Back
Top Bottom