mie mpaka sasa sijapata jibu itakuwaje kama nikizikuta hizo zana kwa muzee
shost, unaonyesha jinsi gani una wivu kupita kiasi, ina maana tangu umeziona condom mpaka sasa ungekuwa bado umezimia hujazinduka , pole sana
mie mpaka sasa sijapata jibu itakuwaje kama nikizikuta hizo zana kwa muzee
shost, unaonyesha jinsi gani una wivu kupita kiasi, ina maana tangu umeziona condom mpaka sasa ungekuwa bado umezimia hujazinduka , pole sana
jamani tusikimbilie tu kuwanunulia mabox ..ulizeni matumizi yake yawezekana kuna mwanaume anachapwa nalo ama anachapwa nalo
Mchezo utaendelea kama kawaida!Niongezee hapo: Na nyie Wanaume mkikuta CONDOM za KIUME/KIKE kwenye mikoba ya wake/wapenzi wenu utafanyaje??
shost, unaonyesha jinsi gani una wivu kupita kiasi, ina maana tangu umeziona condom mpaka sasa ungekuwa bado umezimia hujazinduka , pole sana
Mueleze huyo bado hajakua. Kwa taarifa yake limjamaa lake lina mashori kibao halafu halitumii zana.
Kumuwekea kondom si suala muhimu hapa suala muhimu anazitumia?
tatizo chrispin unatetea sana uzinzi harafu wewe ....
kama anawachota mashori bila kunionyesha aendelee kivyake
Hahaha! Umeshasau ulituambia ungependa kuzaa mpaka kizazi kiishe. Unafikiri bila ngono watoto utawapataje? Hakuna asiyependa ngono, nakuapia. Hata wewe.
naipenda sana ngono ndio lakini swala la kuzaa si nazaa na mme
Akina dada,mama, shangazi na bibi najua wote mna viburudisho vya kurusha navyo roho katika tunda la mema na mabaya....na mnavipenda kweli kweli maana mnasaidiana kwa kila kitu hata kungonoka.
Swali langu Je wewe mama au dada ukiona CONDOM mfukoni mwa suruali ya mmeo aidha wakati unafua au unapanga nguo chafu ikadondoka utafanyaje?
Una-generalize sana.Kuna masista/watawa humu JF.
kuhusu swali,mimi kwa upande wangu,nitafanya utafiti kwanza wa tabia zake.Halafu nitaenda kupima VVU kwa sababu mpaka hapo uaminifu utakuwa mashakani.kisha nitamuweka chini nimuulize anipe ukweli halisi.Na wakati nafanya hayo yote nitaendelea kumuombea kwa Mungu amsaidie abadilike kama kweli ana tabia chafu.
Kwa ufupi ni jambo baya nisilopenda linitokee.
ZD how are you my darling. Nimekumisi sana.
Iam good my dia. I miss you 2!Kaizari alinibana leo sikuweza kupumua.
kuna dada mmoja alikua anamwekea mumewe condom kwenye bag kila akisafairi, jamaa siku akamuuliza mkewe akamwambia wewe ni mwanaume na huko uendako unakutana na mademu kibao na tamaa inakuwepo, so ni bora nikuweke ili usije kufa kwa ngoma kuliko kujidai hufanyi, so jamaa mkewe yupo free ili kuepusha kuambukiza ukimwi
hahahahahahaaa.You must be genius!Lakini kukurupuka ndugu yangu hakutakiwi.Kwa kila jambo kuna majira yake na wakati kwa kila kusudi chini ya mbingu.Tunapaswa kuwa wastahimilivu.Nikikushauri uachane na wachovu hunisikiagi, shauri yako.
hahahahahahaaa.You must be genius!Lakini kukurupuka ndugu yangu hakutakiwi.Kwa kila jambo kuna majira yake na wakati kwa kila kusudi chini ya mbingu.Tunapaswa kuwa wastahimilivu.
Swali langu Je wewe mama au dada ukiona CONDOM mfukoni mwa suruali ya mmeo aidha wakati unafua au unapanga nguo chafu ikadondoka utafanyaje?