Hii dunia imejaa mamtu ya hovyo sana na yanafikiri yana mamlaka juu ya kila mtu kisa hayajamwona kwenye chaneli zao....yakiona yameshindwa yanakuona wewe ndo mwanga kumbe hata hujui kinachoendelea, yanapigana vita na mamlaka za juu kabisa.Big up. Chuma ulete wapo wengi tu. Mimi nilisumbuliwa nao ila kwa nguvu nilimalizana nao. Yaani ilikuwa nikishika pesa tu lazima matatizo ya kishenzi yajitokeze. Mara magonjwa ya ajabu. Nilipomalizana nao kila kitu kiko shwari kabisa. Mijusi ndiyo nimejua leo na nitapambana nao. Nyumba Safi kabisa yaani mpaka umatamani ukae humo tu usitoke eti unakutana na mjusi ukutani na kimende. Mimi mpaka tandu na majongoo nililetewa. Mpaka chura na nikafafanuliwa kuwa jongoo na chura maana yake ni kama kukufunga usiweze kusogea kimaisha. Uchawi upo na vitabu vya dini vimebainisha. Muhimu omba Mungu na ikishindikana shirikisha wataalam. Maisha ni kujipambania.
Na wakati mwingine vinafukuzana na kudondokea watu.Uko sahihi mkuu hao mijusi ugomvi wangu na wao ni vile wanavyokunya ovyo mavi yao yananuka haswa
Ukiona umefika stage ya kuona ufukara wako unasababishwa na panya au mijusi wenye uwezo wa kuchukuwa fedha kimuujiza basi wewe ujue ni kichaa kamili.Uchawi ni roho kamili, roho huwa haifi kirahisi. Hivyo mchawi akifa hata kama alipokuwa hai hakumrithisha mtu ofisi yake, usitegemee ule uchawi utapotea. Automatically uchawi utamtafuta mrithi atafundishwa katika ulimwengu wa Roho naye atakuwa mkubwa kuliko hata muasisi wake.
Muhimu: Huwezi kuushinda uchawi na wachawi kwa kutokuamini kuwa kuna uchawi. Kwasababu hiyo ndio maana uchawi hauishi bali unakua tu. Inasemekana kuwa Mwafrika huroga ili amtese mtu tu ndipo moyo wake hufurahi, while mzungu huroga ili apate hitaji lake.
Turudi kwenye mada, Uswahilini kuna watu hawataki kufanya kazi za nguvu hivyo hutumia uchawi chuma ulete kujipatia kipato( kiyao tunaita CHITOLA).
Kama una mfereji wa shilingi wachawi huweka wakusanya pesa ndani mwako ambao ni mende, panya, mijusi n.k. Uchawi (roho) inapewa vazi la wadudu au wanyama ili usishtuke mapema.
Utajikuta unapata pesa husongi mbele, unapata pesa matatizo yanakuja, unajua umetumia ku solve matatizo kumbe umepigwa.
Wakati mwingine magonjwa, vifo, ajali, mikosi hutumiwa hawa wadudu kukuletea nyumbani kwako.
Ushuhuda wa kweli: Niliishi Temeke nyumba moja ya kupanga, ile nyumba panya hawakauki, ukitia sumu utawaua kesho utamwona tena panya mwingine. Sikuamka haraka. Wakati nahamia kwangu nilihama na panya mmoja, kila nikiweka sumu hafi watakufa panya wa kawaida tu. Siku moja wife akaniambia kuwa huyu panya si wa kawaida , alirudia hili neno kama mara 3.
Siku moja nikiwa kazini nikampigia simu wife kuwa huyo panya mwisho wake umefika. Siku zilizofuata chache sana nikaambiwa tumefanikiwa kumuua yule panya. Sasa nyumba yangu haijawahi kuguswa tena na panya yeyote. Kuna mjusi vivyo hivyo alileta mazoea nikamfuta kabisa.
Sio wadudu wote ni wa kichawi, wengine huja kwaajili ya mazingira kuwa rafiki kwao, ila cha msingi ni kuwa makini, unaweza kujikuta unaishia pabaya.
Binafsi nilitumia maombi kuwaangamiza, nawashauri tumieni maombi au njia nyingine ambazo mnajua kuwa uchawi hautaweza kusimama endapo zitatumika. Kuna jamaa aliibiwa sana, baada ya kuapply maombi wakafa panya wengi akapewa notice ya kuhama mara moja na mwenye nyumba wake.
Huwezi kuushinda uchawi kwa kuamini kuwa haupo, never. (Huu mstari nimeupenda sana sana).Kama huamini kuwa kuna uchawi basi hufai kuwa mkristo, mwislamu na hata Mbudha.
Vitabu vya imani hizo zimeandika neno uchawi mara nyingi, sasa wewe inaonyesha huna imani.
Huwezi kuushinda uchawi kwa kuamini kuwa haupo, never.
Hakika wewe ni mgonjwa wa akili. Kichwa chako siyo kizima hata kidogo. Litakalofuta utaona hata samani zilizopo ndani kwako zinakuibia fedha.Big up. Chuma ulete wapo wengi tu. Mimi nilisumbuliwa nao ila kwa nguvu nilimalizana nao. Yaani ilikuwa nikishika pesa tu lazima matatizo ya kishenzi yajitokeze. Mara magonjwa ya ajabu. Nilipomalizana nao kila kitu kiko shwari kabisa. Mijusi ndiyo nimejua leo na nitapambana nao. Nyumba Safi kabisa yaani mpaka umatamani ukae humo tu usitoke eti unakutana na mjusi ukutani na kimende. Mimi mpaka tandu na majongoo nililetewa. Mpaka chura na nikafafanuliwa kuwa jongoo na chura maana yake ni kama kukufunga usiweze kusogea kimaisha. Uchawi upo na vitabu vya dini vimebainisha. Muhimu omba Mungu na ikishindikana shirikisha wataalam. Maisha ni kujipambania.
Ukiwa muombaji uchelewi kupewa notice na vizee chuma ulete vyenye nyumbaUchawi ni roho kamili, roho huwa haifi kirahisi. Hivyo mchawi akifa hata kama alipokuwa hai hakumrithisha mtu ofisi yake, usitegemee ule uchawi utapotea. Automatically uchawi utamtafuta mrithi atafundishwa katika ulimwengu wa Roho naye atakuwa mkubwa kuliko hata muasisi wake.
Muhimu: Huwezi kuushinda uchawi na wachawi kwa kutokuamini kuwa kuna uchawi. Kwasababu hiyo ndio maana uchawi hauishi bali unakua tu. Inasemekana kuwa Mwafrika huroga ili amtese mtu tu ndipo moyo wake hufurahi, while mzungu huroga ili apate hitaji lake.
Turudi kwenye mada, Uswahilini kuna watu hawataki kufanya kazi za nguvu hivyo hutumia uchawi chuma ulete kujipatia kipato( kiyao tunaita CHITOLA).
Kama una mfereji wa shilingi wachawi huweka wakusanya pesa ndani mwako ambao ni mende, panya, mijusi n.k. Uchawi (roho) inapewa vazi la wadudu au wanyama ili usishtuke mapema.
Utajikuta unapata pesa husongi mbele, unapata pesa matatizo yanakuja, unajua umetumia ku solve matatizo kumbe umepigwa.
Wakati mwingine magonjwa, vifo, ajali, mikosi hutumiwa hawa wadudu kukuletea nyumbani kwako.
Ushuhuda wa kweli: Niliishi Temeke nyumba moja ya kupanga, ile nyumba panya hawakauki, ukitia sumu utawaua kesho utamwona tena panya mwingine. Sikuamka haraka. Wakati nahamia kwangu nilihama na panya mmoja, kila nikiweka sumu hafi watakufa panya wa kawaida tu. Siku moja wife akaniambia kuwa huyu panya si wa kawaida , alirudia hili neno kama mara 3.
Siku moja nikiwa kazini nikampigia simu wife kuwa huyo panya mwisho wake umefika. Siku zilizofuata chache sana nikaambiwa tumefanikiwa kumuua yule panya. Sasa nyumba yangu haijawahi kuguswa tena na panya yeyote. Kuna mjusi vivyo hivyo alileta mazoea nikamfuta kabisa.
Sio wadudu wote ni wa kichawi, wengine huja kwaajili ya mazingira kuwa rafiki kwao, ila cha msingi ni kuwa makini, unaweza kujikuta unaishia pabaya.
Binafsi nilitumia maombi kuwaangamiza, nawashauri tumieni maombi au njia nyingine ambazo mnajua kuwa uchawi hautaweza kusimama endapo zitatumika. Kuna jamaa aliibiwa sana, baada ya kuapply maombi wakafa panya wengi akapewa notice ya kuhama mara moja na mwenye nyumba wake.
Ahahaha.Ukiona umefika stage ya kuona ufukara wako unasababishwa na panya au mijusi wenye uwezo wa kuchukuwa fedha kimuujiza basi wewe ujue ni kichaa kamili.
Sijasoma hata uzi wako! Huwa natafakari reality ya life hili sioni hata picha kamili.Uchawi ni roho kamili, roho huwa haifi kirahisi. Hivyo mchawi akifa hata kama alipokuwa hai hakumrithisha mtu ofisi yake, usitegemee ule uchawi utapotea. Automatically uchawi utamtafuta mrithi atafundishwa katika ulimwengu wa Roho naye atakuwa mkubwa kuliko hata muasisi wake.
Muhimu: Huwezi kuushinda uchawi na wachawi kwa kutokuamini kuwa kuna uchawi. Kwasababu hiyo ndio maana uchawi hauishi bali unakua tu. Inasemekana kuwa Mwafrika huroga ili amtese mtu tu ndipo moyo wake hufurahi, while mzungu huroga ili apate hitaji lake.
Turudi kwenye mada, Uswahilini kuna watu hawataki kufanya kazi za nguvu hivyo hutumia uchawi chuma ulete kujipatia kipato( kiyao tunaita CHITOLA).
Kama una mfereji wa shilingi wachawi huweka wakusanya pesa ndani mwako ambao ni mende, panya, mijusi n.k. Uchawi (roho) inapewa vazi la wadudu au wanyama ili usishtuke mapema.
Utajikuta unapata pesa husongi mbele, unapata pesa matatizo yanakuja, unajua umetumia ku solve matatizo kumbe umepigwa.
Wakati mwingine magonjwa, vifo, ajali, mikosi hutumiwa hawa wadudu kukuletea nyumbani kwako.
Ushuhuda wa kweli: Niliishi Temeke nyumba moja ya kupanga, ile nyumba panya hawakauki, ukitia sumu utawaua kesho utamwona tena panya mwingine. Sikuamka haraka. Wakati nahamia kwangu nilihama na panya mmoja, kila nikiweka sumu hafi watakufa panya wa kawaida tu. Siku moja wife akaniambia kuwa huyu panya si wa kawaida , alirudia hili neno kama mara 3.
Siku moja nikiwa kazini nikampigia simu wife kuwa huyo panya mwisho wake umefika. Siku zilizofuata chache sana nikaambiwa tumefanikiwa kumuua yule panya. Sasa nyumba yangu haijawahi kuguswa tena na panya yeyote. Kuna mjusi vivyo hivyo alileta mazoea nikamfuta kabisa.
Sio wadudu wote ni wa kichawi, wengine huja kwaajili ya mazingira kuwa rafiki kwao, ila cha msingi ni kuwa makini, unaweza kujikuta unaishia pabaya.
Binafsi nilitumia maombi kuwaangamiza, nawashauri tumieni maombi au njia nyingine ambazo mnajua kuwa uchawi hautaweza kusimama endapo zitatumika. Kuna jamaa aliibiwa sana, baada ya kuapply maombi wakafa panya wengi akapewa notice ya kuhama mara moja na mwenye nyumba wake.
Eti wana aibuUkiona wanaonekana na wanapotea kwa ajabu jua ndio wenyewe.
Ukiwaona wana aibu ukiwatazama jua ndio wenyewe
Ingekuwa hao Wazungu ni watu wabaya wasiofaa kuigwa basi usingeweza kuandika hapa.Huoni aibu kwa kuabudu Imani za kitumwa na kuacha dini za mababu zako, utumwa bado tu, jitambue
Hata away karunguyeyeUchawi ni roho kamili, roho huwa haifi kirahisi. Hivyo mchawi akifa hata kama alipokuwa hai hakumrithisha mtu ofisi yake, usitegemee ule uchawi utapotea. Automatically uchawi utamtafuta mrithi atafundishwa katika ulimwengu wa Roho naye atakuwa mkubwa kuliko hata muasisi wake.
Muhimu: Huwezi kuushinda uchawi na wachawi kwa kutokuamini kuwa kuna uchawi. Kwasababu hiyo ndio maana uchawi hauishi bali unakua tu. Inasemekana kuwa Mwafrika huroga ili amtese mtu tu ndipo moyo wake hufurahi, while mzungu huroga ili apate hitaji lake.
Turudi kwenye mada, Uswahilini kuna watu hawataki kufanya kazi za nguvu hivyo hutumia uchawi chuma ulete kujipatia kipato( kiyao tunaita CHITOLA).
Kama una mfereji wa shilingi wachawi huweka wakusanya pesa ndani mwako ambao ni mende, panya, mijusi n.k. Uchawi (roho) inapewa vazi la wadudu au wanyama ili usishtuke mapema.
Utajikuta unapata pesa husongi mbele, unapata pesa matatizo yanakuja, unajua umetumia ku solve matatizo kumbe umepigwa.
Wakati mwingine magonjwa, vifo, ajali, mikosi hutumiwa hawa wadudu kukuletea nyumbani kwako.
Ushuhuda wa kweli: Niliishi Temeke nyumba moja ya kupanga, ile nyumba panya hawakauki, ukitia sumu utawaua kesho utamwona tena panya mwingine. Sikuamka haraka. Wakati nahamia kwangu nilihama na panya mmoja, kila nikiweka sumu hafi watakufa panya wa kawaida tu. Siku moja wife akaniambia kuwa huyu panya si wa kawaida , alirudia hili neno kama mara 3.
Siku moja nikiwa kazini nikampigia simu wife kuwa huyo panya mwisho wake umefika. Siku zilizofuata chache sana nikaambiwa tumefanikiwa kumuua yule panya. Sasa nyumba yangu haijawahi kuguswa tena na panya yeyote. Kuna mjusi vivyo hivyo alileta mazoea nikamfuta kabisa.
Sio wadudu wote ni wa kichawi, wengine huja kwaajili ya mazingira kuwa rafiki kwao, ila cha msingi ni kuwa makini, unaweza kujikuta unaishia pabaya.
Binafsi nilitumia maombi kuwaangamiza, nawashauri tumieni maombi au njia nyingine ambazo mnajua kuwa uchawi hautaweza kusimama endapo zitatumika. Kuna jamaa aliibiwa sana, baada ya kuapply maombi wakafa panya wengi akapewa notice ya kuhama mara moja na mwenye nyumba wake.
Hahahaahaa Atari Sana mkuu😁Na wakati mwingine vinafukuzana na kudondokea watu.
Hoja dhaifuUchawi ni roho kamili, roho huwa haifi kirahisi. Hivyo mchawi akifa hata kama alipokuwa hai hakumrithisha mtu ofisi yake, usitegemee ule uchawi utapotea. Automatically uchawi utamtafuta mrithi atafundishwa katika ulimwengu wa Roho naye atakuwa mkubwa kuliko hata muasisi wake.
Muhimu: Huwezi kuushinda uchawi na wachawi kwa kutokuamini kuwa kuna uchawi. Kwasababu hiyo ndio maana uchawi hauishi bali unakua tu. Inasemekana kuwa Mwafrika huroga ili amtese mtu tu ndipo moyo wake hufurahi, while mzungu huroga ili apate hitaji lake.
Turudi kwenye mada, Uswahilini kuna watu hawataki kufanya kazi za nguvu hivyo hutumia uchawi chuma ulete kujipatia kipato( kiyao tunaita CHITOLA).
Kama una mfereji wa shilingi wachawi huweka wakusanya pesa ndani mwako ambao ni mende, panya, mijusi n.k. Uchawi (roho) inapewa vazi la wadudu au wanyama ili usishtuke mapema.
Utajikuta unapata pesa husongi mbele, unapata pesa matatizo yanakuja, unajua umetumia ku solve matatizo kumbe umepigwa.
Wakati mwingine magonjwa, vifo, ajali, mikosi hutumiwa hawa wadudu kukuletea nyumbani kwako.
Ushuhuda wa kweli: Niliishi Temeke nyumba moja ya kupanga, ile nyumba panya hawakauki, ukitia sumu utawaua kesho utamwona tena panya mwingine. Sikuamka haraka. Wakati nahamia kwangu nilihama na panya mmoja, kila nikiweka sumu hafi watakufa panya wa kawaida tu. Siku moja wife akaniambia kuwa huyu panya si wa kawaida , alirudia hili neno kama mara 3.
Siku moja nikiwa kazini nikampigia simu wife kuwa huyo panya mwisho wake umefika. Siku zilizofuata chache sana nikaambiwa tumefanikiwa kumuua yule panya. Sasa nyumba yangu haijawahi kuguswa tena na panya yeyote. Kuna mjusi vivyo hivyo alileta mazoea nikamfuta kabisa.
Sio wadudu wote ni wa kichawi, wengine huja kwaajili ya mazingira kuwa rafiki kwao, ila cha msingi ni kuwa makini, unaweza kujikuta unaishia pabaya.
Binafsi nilitumia maombi kuwaangamiza, nawashauri tumieni maombi au njia nyingine ambazo mnajua kuwa uchawi hautaweza kusimama endapo zitatumika. Kuna jamaa aliibiwa sana, baada ya kuapply maombi wakafa panya wengi akapewa notice ya kuhama mara moja na mwenye nyumba wake.
Uko sahihi kabisa. Huwezi kuamini uchawi kama haujawahi kupata evidence ya kwamba kuna baadhi ya viumbe visivyoonekana, yaani havina miili isipokuwa roho tu, na ambavyo tunaishi navyo kwenye mazingira yetu ya kila siku na vina madhara makubwa sana kwetu. Wachawi huwa wanatumia nguvu ya viumbe hivyo kwa kushirikiana na shetani.Mimi huwa siamini katika Uchawi!
Sure mkuu kuna mmoja alipambana akanichoka mwishowe akasema siyo Bure Mimi ni mchawi. Kumbe maombi na chumvi kila mara natumia huko nje ya nyumba na ndani pamoja na kuongea (Asante Mshana Jr kwa elimu hii ya maajabu ya Chumvi).Hii dunia imejaa mamtu ya hovyo sana na yanafikiri yana mamlaka juu ya kila mtu kisa hayajamwona kwenye chaneli zao....yakiona yameshindwa yanakuona wewe ndo mwanga kumbe hata hujui kinachoendelea, yanapigana vita na mamlaka za juu kabisa.
Duuhh. Ngoja nipite taratibu. Ila mambo yangu hayakuhusu. NILISEMA kilichotokea na nilichokifanya.Hakika wewe ni mgonjwa wa akili. Kichwa chako siyo kizima hata kidogo. Litakalofuta utaona hata samani zilizopo ndani kwako zinakuibia fedha.
KabisaaUtengeneze mazingira ya wao, kuishi ,kuzaliana na kuja mara kwa mara..usingizie vitu visivyokuwepo.
Mkuu..usiruhusu hali ya uchafu..takataka..vitamalaki nyumbani kwako.. ikishindikana tumia dawa na mitego.
Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app