Ukimya wake unaniweka njia panda, naomba ushauri

Ukimya wake unaniweka njia panda, naomba ushauri

Jikaze utapewa ukimwi na Huyo mtu maarufu. Lol dnt knw why nimekuchamba hvi Dada wa watu hahahaha Ila umeniuzi
Una uhakika gani nitaupatia kwake. Yeye hana mpango na mimi nami sina mpango wa kumvulia tena pichu. After all.... Ukimwi bado unakutisha enzi hizi? Pole yako!
 
Kwani huezi kua msomaji bila kua na Id? Mfano mm nimekua Niki ingia jf fr ages lkn nakuja kma guest acha kukurupuka na kujiona unajua to a ushauri huezi tambaa na biti. Nakerwa na wajuaji kama nyinyi
14 had the brain that can throw flames.
So why tripping if I may ask you? Kama nakukera kunywa sumu na maandazi.
Unajifanya kitunguu saumu eee? Au mvua na hauna mwere moja!!!!
Anyway control ur anger cos next time you cannot make it along my moves, hard like brick or Chinese arithmetic.... Haha.... Broke b*tches like you are so crusty.
Kama wewe ni head girl nakupiga head, ulinireport kwa headi wenu JF.
 
Basi subiri utayempenda na yeye akupende, atakuja tu. Usipoteze muda, hakupendi.
Nlitaka kudhibitisha hili mkuu. Kwani akili inanitaadharisha ila moyo unanidanganya. Asante
 
Hapo huhitaji kufikiri sana wala kuumiza kichwa, m2 maarufu na mwenye hela kakutana na warembo wangapi bibie na wewe m2 mzima wakati wa2 wa hivyo totoz ndio dili dada, kimbia kama ukoma na mwisho kaangalie kama hajakuunganisha na tanesco ! Then kama uko poa jichunge.
Asee hata nami ni totoz. Ukiniona sifananii na umri wangu asilani. Najitunza haswaa mpaka form 6 wanadhani mie mwenzao. Unafikiri kwanini jamaa alidata na kunitongoza nikiwa kwenye dera na sio kimini? Hilo la tanesco halinitishi mkuu. Kifo ni kifo tu ndugu yangu, Israel mtoa roho ndio huchagua.
 
Unachopaswa kukubaliana kwamba, hakuna mapenz.
Kisha fungua mlango wako ulioufunga.
Am done
 
Bibie una miaka 33 hujajua tu kuwa huna chako hapo??

Watu maarufu na wenye hela kama mimi profile zao huwa ni kumega tu na kuacha, unapomtamkia tu suala la ndoa kengele inagonga kichwani.

Yawezekana anao kama tisa hivi, na wote wanajisifia kama wewe kuwa walimpa mahaba mpaka akafurahia haswaa.

Kifupi umeshapigwa chini, jiongeze tafuta mahali serious, achana na watu maarufu, watu serious na ndoa huwa ni watu decent ambao nyie wakina dada huwa mnawaona " washamba fulani hivi"

Na huo ndio ukweli mchungu, hutaki unaacha
Hiyo statement ya mwisho ndio umeharibu,vinginevyo ushauri mzuri sana.
 
Unachopaswa kukubaliana kwamba, hakuna mapenz.
Kisha fungua mlango wako ulioufunga.
Am done
Asante mkuu. Nimekubali yaishe. Ila kupenda tena, sidhani! Naomba Mungu lisinitokee kabisaa.
 
Nilicho gundua toka kwako Umaarufu ni Tatizo linalo kusumbua
Ah wapi! Umaarufu utanisaidia nn mimi? Kufuatiliwa na camera kila kona sio hamu yangu na wala sitaki kabisaaa. Tena nailaumu nafsi kwa kudumbukia kwenye penzi na mtu maarufu. Hilo nalijutia kwa kweli
 
Ah wapi! Umaarufu utanisaidia nn mimi? Kufuatiliwa na camera kila kona sio hamu yangu na wala sitaki kabisaaa. Tena nailaumu nafsi kwa kudumbukia kwenye penzi na mtu maarufu. Hilo nalijutia kwa kweli
Wee ni mpenzi wa kitu gan...??

Jaribu kufanya mazoez mara kwa Mara na kwa sasa uthije jishughulisha na mambo yoyote ya kimauthiano kuhusu swala la Age usiofie sana maisha ni kujipanga ukikulupuka umeumia
 
Kingine angalia, umri unakutupa
Mkono achana na wanaume wasiona malengo.
Sawa mkuu. Ila wanaume waongo mpaka shetani anawakana. Kwa umri wangu mtu anashindwaje kuwa muwazi mpaka adanganyie ndoa kupata mzigo? Ni ngumu sana kumjua mwenye malengo kwa style hio mkuu. Ni bora kuwa single for life rather than living a fake life for the sake of umri vs ndoa.
 
Alitaka akaufunue kwa mara ya kwanza ukachomoa.. akakupotezea.. ukajileta mwenyewe... keshakufunua basi tena huna jipya... jikatae taratibu mdogo mdogo... ukitafuta chaka...
 
Sawa mkuu. Ila wanaume waongo mpaka shetani anawakana. Kwa umri wangu mtu anashindwaje kuwa muwazi mpaka adanganyie ndoa kupata mzigo? Ni ngumu sana kumjua mwenye malengo kwa style hio mkuu. Ni bora kuwa single for life rather than living a fake life for the sake of umri vs ndoa.
Ikitokea kijana mwenye umri mdogo akakupenda kwa dhati upo tayar kuolewa na yeye...???
 
Alitaka akaufunue kwa mara ya kwanza ukachomoa.. akakupotezea.. ukajileta mwenyewe... keshakufunua basi tena huna jipya... jikatae taratibu mdogo mdogo... ukitafuta chaka...
Lol! Sawa mkuu... Yeye sio wa kwanza na hatokuwa wa mwisho. Hata mi ni mwanadamu nna mihemko kwaio wote tulifunuana[emoji12] . Ngoma droo...
 
Wewe bado mchaga sana. Umri mdogo bado keep on waiting huyo maarufu.
Ah wapi... Nachapa yebo mkuu. Ningojee majanga mengine makubwa zaidi ya hili!? Akuu.... Maumivu nnayopitia saivi ni makali mnoo. Sitaki huruma ya mtu maarufu alafu nije kutendwa zaidi. Kuna watu hawana utu, huyu maarufu ni mmoja wao.
 
Ah wapi... Nachapa yebo mkuu. Ningojee majanga mengine makubwa zaidi ya hili!? Akuu.... Maumivu nnayopitia saivi ni makali mnoo. Sitaki huruma ya mtu maarufu alafu nije kutendwa zaidi. Kuna watu hawana utu, huyu maarufu ni mmoja wao.
Kama unajua yote hayo hata usingekuja huku bidada. Nilidhani hata picha pia huoni. Achana na wote hao n endelea kufanya yako atakuja tu akufahaye
 
Back
Top Bottom