Ukimya wa viongozi wa dini, mtasema lini?

Ukimya wa viongozi wa dini, mtasema lini?

Wakatoliki wamekaa kinafiki sana hawawezi kumwambia ukweli,Mi kuna jirani yangu aliniambia kipindi cha bomoa bomoa Kimara Terminal alienda kanisani waumini wakaambiwa wasilalamike wala kutoa ushirikiano kwa vyombo vya habari wasije wakanyimwa misaada na sirikale iliyopo "madharakani".
 
Hawawezi kumwambia hata siku moja hata wafe watu mia bado watamsupport JPM sababu ni Mkatoliki mwenzetu
Hii comment ya KIBASHITE sana..

Unataka kuaminisha Umma kuwa Wakristu waKatoliki wanasapoti mauaji yanayotokea nchini?
 
Uongo uko wapi??Niambie pamoja na hayo yote Kiongozi yupi Mkatoliki aliyeweza kupaza sauti na kusema?? Zaidi ya Paroko wa Manzese??

Pole sana mimi ni MKATOLIKI najua ninachokiongea.Sipendi wanachofanya wanaumiza watu sana tu kwa ukimya wao
Kwani wa kutoa matamko lazima iwe Kanisa Katoliki, mbona kapita makanisa Kibao tu kwanini wasingemshauri ?
 
Yaani siku akija kanisani kwetu halafu tukaambiwa tumwombee haki ya nani NATOKA NJE SIFANYI UJINGA HUO KUMUOMBEA MTU ASIE JITAMBUA BORA KUWAOMBEA WATOTO NA MAITI KULIKO HUYO MTU AJIOMBEE MWENYEWE KWA SHETANI MAANA MUNGU SIDHANI KAMA ANA MUDA MCHAFU WA KUMSIKILIZA
 
kanisani kwetu..wanasema tum saport jpm coz mkatoliki mwenzetu...hata akikosea tuwe kimya....
 
Yaani siku akija kanisani kwetu halafu tukaambiwa tumwombee haki ya nani NATOKA NJE SIFANYI UJINGA HUO KUMUOMBEA MTU ASIE JITAMBUA BORA KUWAOMBEA WATOTO NA MAITI KULIKO HUYO MTU AJIOMBEE MWENYEWE KWA SHETANI MAANA MUNGU SIDHANI KAMA ANA MUDA MCHAFU WA KUMSIKILIZA
Aisee!
 
nzigilwa_es.jpg
picha yake weka namsikiaga ila sijawahi kumuona
Ni askofu msadizi wa Kardinari Pengo.
 
Mimi ni mpenzi wa siasa pengine kuliko chochote kile chini ya jua ukiacha kumwabudu Mungu

Siasa za nchi yetu tangu 2015 zimekuwa za visasi toka JPM aingie madarakani hataki kabisa kuambiwa na yeyote. Anasema yeye ndio rais penda tusipende hakuna wa kumfundisha cha kufanya

Lakini naamini Kanisa Katoliki Tanzania lina uwezo wa kumtuliza na kumrudisha katika mstari rais JPM

Ukimya wao unalipeleka taifa ili kubaya

Jitokezeni kukemea haya yanayoendelea

Nawasilisha kwa baraza la maaskofu Katoliki Tanzania (TEC)
Kama wako kimya ujue yuko kwenye mstari! Hili ndo dhehebu linaloendesha nchi, awe rais sheikh au mpagani, shot caller ni catholic church!!
 
Mimi ni mpenzi wa siasa pengine kuliko chochote kile chini ya jua ukiacha kumwabudu Mungu

Siasa za nchi yetu tangu 2015 zimekuwa za visasi toka JPM aingie madarakani hataki kabisa kuambiwa na yeyote. Anasema yeye ndio rais penda tusipende hakuna wa kumfundisha cha kufanya

Lakini naamini Kanisa Katoliki Tanzania lina uwezo wa kumtuliza na kumrudisha katika mstari rais JPM

Ukimya wao unalipeleka taifa ili kubaya

Jitokezeni kukemea haya yanayoendelea

Nawasilisha kwa baraza la maaskofu Katoliki Tanzania (TEC)
TULIO WENGI TUNAMUELEWA na TUNAMSAPOTI.....MAFISADI na WAHARIFU ndio MNA HALI NGUMU....NCHI IMEKUWA SI SALAMA KWENU.... POLENI SANA CHADEMA na BAVICHWA!
 
Back
Top Bottom