Ukimya wa viongozi wa dini, mtasema lini?

Ukimya wa viongozi wa dini, mtasema lini?

Hapa tupate majibu. Baraza LA maaskofu (TEC) na Jumuia ya Kikristo (CCT) ni makundi yanayoheshimika sana.
Kwenye mitandao kumekuwa na tuhuma kuwa pamoja na utawala wa awamu ya tano kuja na speed kubwa ya kusigina katiba na sheria kiasi cha kuhatarisha amani ya nchi kuliko kipindi chochote toka uhuru hawaja kemea hali hiyo kwa vile muhusika ni muumini wao tofauti na JK ambaye walikuwa wanamkomalia hata masuala madogo madogo.
Taarifa hizo binafsi zimenifedhehesha na kujiuliza jee kuna ukweli? Kama ni hivyo hamuoni mna tuondolea imani tuliyokuwa nayo na taasisi hizo?
Kwani bakwata na jumuiya ya kislam wamekemea? Acha utoto kabisa na akili ubaguzi za dini
 
Kiukweli viongoz wetu wa dini wanakosea sana, na wanatukwaza sana
 
Walimkomalia sana Mkwere, sasaivi kimiya kabisa, wakati mkwere alikuwa ni kiongozi mzuri tu, mkuu Ebale umeongea point kabisa chief
 
Kwani bakwata na jumuiya ya kislam wamekemea? Acha utoto kabisa na akili ubaguzi za dini
Nina masikitiko makubwa sana kuwa JF sasa hivi sio tena home of GT bali kichaka cha mbumbumbu.
Ukitumia akili utagundua hakuna hoja ya udini hapo wala hakukuwa na sababu ya kuwataja Bakwata.
Kwa taarifa yako mimi ni wa jumuia hiyo ya CCT, lakini nimehoji kuwa kwa nini kwenye mitandao jumuia hizi CCT na TEC ambazo hapo awali zilikuwa mwiba sana pale utawala ufanyapo jambo linaloweza kuharibu amani na sasa wako kimya? Au kwa vile huyu wanasali naye?
Hapo udini uko wapi? Ukipitia post #11 ya mkuu barafu utapata majibu mazuri zaidi kuwa sakata la ukimya huu wa TEC,CCT na Bakwata ni nini.
Jifunze kutafakari kwa kina hoja na usikubali moyo wako kukuongoza kuchambua jambo, utakupoteza tuu
 
Nina masikitiko makubwa sana kuwa JF sasa hivi sio tena home of GT bali kichaka cha mbumbumbu.
Ukitumia akili utagundua hakuna hoja ya udini hapo wala hakukuwa na sababu ya kuwataja Bakwata.
Kwa taarifa yako mimi ni wa jumuia hiyo ya CCT, lakini nimehoji kuwa kwa nini kwenye mitandao jumuia hizi CCT na TEC ambazo hapo awali zilikuwa mwiba sana pale utawala ufanyapo jambo linaloweza kuharibu amani na sasa wako kimya? Au kwa vile huyu wanasali naye?
Hapo udini uko wapi? Ukipitia post #11 ya mkuu barafu utapata majibu mazuri zaidi kuwa sakata la ukimya huu wa TEC,CCT na Bakwata ni nini.
Jifunze kutafakari kwa kina hoja na usikubali moyo wako kukuongoza kuchambua jambo, utakupoteza tuu
Umenena vyema jf imekuwa watu wasiyona tija kwa taifa kama wewe. Ukichunguza post yako imejaa udini udini tupu kwanza utuaminishe kama wewe siyo mdini halafu hakuna aliyekuuliza unasali wapi? Lakini inaonekana wewe siyo mfuatiliaji wa mambo unaibuka kama kondo tu make laiti ungekuwa mfuatiliaji ungekumbuka siku dr Shoo anasimikwa kuwa mkuu wa KKKT tanzania tamko aliyotoa mbele ya waziri mkuu kasim majaliwa na waziri mkuu mstafu Edward Lowasa usingeleta post hii. Acha udini rudi kwenu pemba ukalime karafuu mzee madevu wewe
 
Umenena vyema jf imekuwa watu wasiyona tija kwa taifa kama wewe. Ukichunguza post yako imejaa udini udini tupu kwanza utuaminishe kama wewe siyo mdini halafu hakuna aliyekuuliza unasali wapi? Lakini inaonekana wewe siyo mfuatiliaji wa mambo unaibuka kama kondo tu make laiti ungekuwa mfuatiliaji ungekumbuka siku dr Shoo anasimikwa kuwa mkuu wa KKKT tanzania tamko aliyotoa mbele ya waziri mkuu kasim majaliwa na waziri mkuu mstafu Edward Lowasa usingeleta post hii. Acha udini rudi kwenu pemba ukalime karafuu mzee madevu wewe
Huwezi kunielewa kwa vile unaandikia moyo na sio akili. Achana na tamko la Dr Shoo, hili sakata la sept1 linalotokana na matamko ya serikali linapelekea uvunjifu mkubwa wa amani kama haliwi handled with care, kwa nini hizi jumuia hazikemei upande wowote?
Au ni kweli kuwa kwa vile Rais ni muumin wao ndio hawamsemi? Hilo ndio swali lilitaka majibu ya kina. Haiwezekani taasisi hizo zinaona tunaelekea kwenye mapambano sisi kwa sisi nao wako kimya.
 
Huwezi kunielewa kwa vile unaandikia moyo na sio akili. Achana na tamko la Dr Shoo, hili sakata la sept1 linalotokana na matamko ya serikali linapelekea uvunjifu mkubwa wa amani kama haliwi handled with care, kwa nini hizi jumuia hazikemei upande wowote?
Au ni kweli kuwa kwa vile Rais ni muumin wao ndio hawamsemi? Hilo ndio swali lilitaka majibu ya kina. Haiwezekani taasisi hizo zinaona tunaelekea kwenye mapambano sisi kwa sisi nao wako kimya.
Unataka waongelee ushoga ili iweje? Kushika ukuta unaona na issue serious
 
Mimi ni mpenzi wa siasa pengine kuliko chochote kile chini ya jua ukiacha kumwabudu Mungu

Siasa za nchi yetu tangu 2015 zimekuwa za visasi toka JPM aingie madarakani hataki kabisa kuambiwa na yeyote. Anasema yeye ndio rais penda tusipende hakuna wa kumfundisha cha kufanya

Lakini naamini Kanisa Katoliki Tanzania lina uwezo wa kumtuliza na kumrudisha katika mstari rais JPM

Ukimya wao unalipeleka taifa ili kubaya

Jitokezeni kukemea haya yanayoendelea

Nawasilisha kwa baraza la maaskofu Katoliki Tanzania (TEC)
 
Mimi ni mpenzi wa siasa pengine kuliko chochote kile chini ya jua ukiacha kumwabudu Mungu

Siasa za nchi yetu tangu 2015 zimekuwa za visasi toka jpm aingie madarakani hataki kabisa kuambiwa na yeyote
Anasema yeye ndio rais penda tusipende hakuna wa kumfundisha cha kufanya
Lakini naamini kanisa katoliki Tanzania lina uwezo wa kumtuliza na kumrudisha katika mstari rais JPM
Ukimya wao unalipeleka taifa ili kubaya

Jitokezeni kukemea haya yanayoendelea

Nawasilisha kwa baraza la maaskofu Katoliki Tanzania (TEC)

Hawawezi kumwambia hata siku moja hata wafe watu mia bado watamsupport JPM sababu ni Mkatoliki mwenzetu
 
Mimi ni mpenzi wa siasa pengine kuliko chochote kile chini ya jua ukiacha kumwabudu Mungu

Siasa za nchi yetu tangu 2015 zimekuwa za visasi toka JPM aingie madarakani hataki kabisa kuambiwa na yeyote. Anasema yeye ndio rais penda tusipende hakuna wa kumfundisha cha kufanya

Lakini naamini Kanisa Katoliki Tanzania lina uwezo wa kumtuliza na kumrudisha katika mstari rais JPM

Ukimya wao unalipeleka taifa ili kubaya

Jitokezeni kukemea haya yanayoendelea

Nawasilisha kwa baraza la maaskofu Katoliki Tanzania (TEC)
Japokuwa huyu raisi wetu ni Mkristu Mkatoliki wa Jumapili lakini anatumia hizo Jumapili kudhurura kwenye kila kanisa linalomjia kichwani. Mara awe kwa Lusekelo mara SDA mara KKKT. Sasa sijui hao mapadre wake na maaskofu wa katoliki watampata wapi wamtulize
 
Mimi ni mpenzi wa siasa pengine kuliko chochote kile chini ya jua ukiacha kumwabudu Mungu

Siasa za nchi yetu tangu 2015 zimekuwa za visasi toka JPM aingie madarakani hataki kabisa kuambiwa na yeyote. Anasema yeye ndio rais penda tusipende hakuna wa kumfundisha cha kufanya

Lakini naamini Kanisa Katoliki Tanzania lina uwezo wa kumtuliza na kumrudisha katika mstari rais JPM

Ukimya wao unalipeleka taifa ili kubaya

Jitokezeni kukemea haya yanayoendelea

Nawasilisha kwa baraza la maaskofu Katoliki Tanzania (TEC)
NDIO KWANZA KANISA LINAMPA BARAKA ZA KUWASHUGHULIKIA MAADUI !!!
 
Japokuwa huyu raisi wetu ni Mkristu Mkatoliki wa Jumapili lakini anatumia hizo Jumapili kudhurura kwenye kila kanisa linalomjia kichwani. Mara awe kwa Lusekelo mara SDA mara KKKT. Sasa sijui hao mapadre wake na maaskofu wa katoliki watampata wapi wamtulize
Huko SDA alienda lini Jumapili? Acha uongo, si Makanisa yenu ya kkkkkkkkktttt yamwambie, Katoliki litawabeba mpaka lini hii? miaka 10 acha kwanza tupumzike
 
Inategemea Kanisa katoriki la nchi gani
 
Back
Top Bottom