Ukimya wa viongozi wa dini, mtasema lini?

Ukimya wa viongozi wa dini, mtasema lini?

Hayo ni maono yako na mawakala wengine wa ufisadi.
Hivi unaita watu mafisadi vipi ile mahakama ya mafisadi bado haijafanya kazi
Inakuwaje tuliaminishwa itakuwepo halafu bado mnaendelea kuita watu mafisadi
 
Back
Top Bottom