Ukimya wa Rais mstaafu Ali Hassan Mwinyi

Ukimya wa Rais mstaafu Ali Hassan Mwinyi

Na atakaa kimya sana, karidhika mno, nyumba mpya yajengwa, mtoto kawa rais na makamu rais wa muungano, mwenyezi mungu akupe nini tena duniani???!!!
Kweli mzee Mwinyi katimiza lengo lake la kumrithisha mwanae nchi, sasa iliyobaki ni kumuomba Mola kwa sala tano!!
 
Alichokuwa anakitaka ameshafanikiwa mtoto kuwa Rais si mchezo Sasa aongee nini tena
 
Nakuonea huruma kushindia kashata na maji ya kandoro wakati kwenu koromitje ungeweza kufanya kazi ya uvuvi ukaishi maisha bora.
Nina mashamba, mashine ya kusaga na miradi bodaboda kibao.
 
Kiongozi wetu mstaafu Ally H Mwinyi amekuwa haonekani katika hadhara. Na hii sio kawaida yake.

Kama kiongozi mstaafu wa taifa tunapaswa kupewa taarifa zake. Maana tumezoea kwenye matukio mengi kuona Marais Wastaafu wakiwa pamoja. Safari anaonekana mara kwa mara Jakaya Kikwete.

Je, kuna lolote linalomsibu?
Mwinyi ni mzee. Tena mzee kweli kweli. Halafu kuna korona. Huoni ni busara akapumzika nyumbani?
 
Hana tatizo lolote, yupo salama kabisa na mambo yake...
 
Back
Top Bottom